BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Nmepanic matapishi yenu mnayoongea baadhi humu kama wewe, ndio nakuuliza wewe kama nani kusema kizaz hiki kipoteedooh!! we mbona umepanik? au ndio mtekaji?
yule ni baba mwenye familia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmepanic matapishi yenu mnayoongea baadhi humu kama wewe, ndio nakuuliza wewe kama nani kusema kizaz hiki kipoteedooh!! we mbona umepanik? au ndio mtekaji?
Aiseee!! Pia studio kubwa kama hyo af hain security
Wala cctv walikua wamezembea sana
Wanasema ulinz upo ila
Wakat wanavamila hakukua na ulinz maswli mengj yako hapa? Hyo saaa security ilikua wap?
Do you think they are stupid enough wamkamate mtu halafu wakae nae na simu yake waiache tu ikiwa inaita,na msg za whatsap zinasomwa kabisa?!!..kama ni watu wenye nia mbaya obvious iyo simu wameiacha on makusudi ili kuwaingiza maboya kabisaa...sasa ebu waitrace iyo simu halafu uone watakapoambiwa ilipo.....unaweza kukuta simu ipo kantalamba huko halafu Roma mwenyewe wapo nae kwenye mapango ya amboni!!Si Wai trace hiyo simu wanayosema inaita kupitia mtandao wake wa simu.
Mbona huwa makampuni kupitia polisi wanatusaidia mara kwa mara kuwapata vibaka kupitia simu zao why not huyu msanii?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Chadema hawataki Wafuasi wao wajadili kuchemka kwao kwny Uchaguzi wa Bunge la EA Ndio sababu wamekuja na ka Igizo walikoshindwa kukatengeneza vizuri
ruta please usifanye matani imagine ni kaka yako amepotea halafu watu wafanye hivi!!!Yani mtu atekwe halafu waache simu yake hewani? huu ni usanii tuu kama ule wa ben saanane
ndio maana nikakwambia hujaelewa comment yangu unakurupuka tu!! anyway kwa heshima ya roma sitaki kuharibu maudhui ya huu uzi kwa sababu yako so nipotezeeNmepanic matapishi yenu mnayoongea baadhi humu kama wewe, ndio nakuuliza wewe kama nani kusema kizaz hiki kipotee
yule ni baba mwenye familia
Duh, safari hii wamejifunza kutokana na makosa?Waliondoka na camera
IVi wewe humu ndani ulikuja mwenyewe au uliletwa? Nina mashaka na akili iliyomo kwenye kichwa chako pumbavuuuuuu.
Kwa akili yako ya kushikiwa unaona aliruhusu kwa nia nzuri? Ivi ninyi mapunguani wa miaka hii mmelelewa vipi? Kama mnashindwa hata kung'amua mitego midogo kama hiyo ninyi ni wa nini?Hata Ney wa Mitego 'angetekwa ' Kama sio JPM kuwahi kkuruhusu huu wimbo!
Kwa akili yako ya kushikiwa unaona aliruhusu kwa nia nzuri? Ivi ninyi mapunguani wa miaka hii mmelelewa vipi? Kama mnashindwa hata kung'amua mitego midogo kama hiyo ninyi ni wa nini?
Nakushauri ukae utulie na uhangaishe ubongo wako utagundua kinachoendelea.