AMB
JF-Expert Member
- May 31, 2013
- 206
- 65
Kuna mtu aliripoti kuwa mwanasheria alikuwepo, aliwezaje kuruhusu hayo yote kutokea? Na ni nini wajibu wake kama mwanasberia ambapo hayo yote yametokea mbele yake na asijue mteja wake kapelekwa wapi, kachukuliwa na nani na kwa nini?au na yeye Bashite?Kama haina ryder na murder wazembe saana. Ninja.