kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
- Thread starter
-
- #41
Kwahiyo unamkana mwenzenuWanaume wa Dar es salaam wamezaliwa na kukua jijini, waliokuja kutoka Tomile huko ni wakuja tu.
Huyo mpoto anawashwa washwaHapa kama manager ana clear kwenye jamii madhala aliyoyaleta Mpoto kwa kufanya uma uamini Diamond hakutaka kwenda msibani ila kwa shinikizo lake ,njia pekee ni kumjibu hadharani umma ujue Diamond alienda kwa hiali kama mtanzania wa kawaida
Una akili sanamanager wa msanii haingilii chumbani tu diamond ili sense mahali lazima manager aandae bodyguards afanye uchambuzi wa madhala ya image ,na kujibu kwa niaba take ,hata ukitaka kuongea na diamond unaanzia kwake ,diamond hakwenda msibani kama anaenda kwa rafiki alienda kama msanii
Hayo maneno kaandika Mpoto mwenyewe kwenye insta,co jamaa.
Kabisa mkuu,huyu mtembea peku ameonyesha udhaifu wa kipuuzi kabisa. Amejitangulizi mbele mbele. Kumbe kutengeneza kiki ni kazi kubwa hivi?Mrisho mpoto kweny hili kafeli sana,yani mpoto hakuwa na namba ya diamond hadi aende public? Alaf utamuitaje mtu as if aligoma kwenda msibani.
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Wengi hawajui nini maana ya manager wa msanii. Wengi wakiwa na manager wanamtumia kama mbwembwe tu,ndio maana wengi hawafiki mbali. Huyu manager wa Diamond anaijua kazi yake. Na Diamond anajua nini maana ya managermanager wa msanii haingilii chumbani tu diamond ili sense mahali lazima manager aandae bodyguards afanye uchambuzi wa madhala ya image ,na kujibu kwa niaba take ,hata ukitaka kuongea na diamond unaanzia kwake ,diamond hakwenda msibani kama anaenda kwa rafiki alienda kama msanii
Yes I like this Punchlinehuyo immature manager ndio kamfikisha diamond alipo...nioneshe mature manager unayemfahamu wewe na msanii wake?
Yani alaf anataka kutuaminisha eti yeye ndo kafanya jamaa aende msibani..[emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mkuu,huyu mtembea peku ameonyesha udhaifu wa kipuuzi kabisa. Amejitangulizi mbele mbele. Kumbe kutengeneza kiki ni kazi kubwa hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo ni mzaramu vs mruguru....mtu na mjomba yakeNyumba ya mzaramu haikosi mbilimbi.......hahahaa!
Amekujibu,na akikujibu nistuehuyo immature manager ndio kamfikisha diamond alipo...nioneshe mature manager unayemfahamu wewe na msanii wake?