Babu Tale amnyonyoa Mrisho Mpoto, amwambia aache kiherehere na kutafuta kiki

Babu Tale amnyonyoa Mrisho Mpoto, amwambia aache kiherehere na kutafuta kiki

manager wa msanii haingilii chumbani tu diamond ili sense mahali lazima manager aandae bodyguards afanye uchambuzi wa madhala ya image ,na kujibu kwa niaba take ,hata ukitaka kuongea na diamond unaanzia kwake ,diamond hakwenda msibani kama anaenda kwa rafiki alienda kama msanii
Una akili sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpoto kafanya vema uyo jamaa ndomo alikuwa hana mpango wa kwenda.

The Future is in Our Brain's Tongue's and Hand's.
 
Mrisho mpoto kweny hili kafeli sana,yani mpoto hakuwa na namba ya diamond hadi aende public? Alaf utamuitaje mtu as if aligoma kwenda msibani.



Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Kabisa mkuu,huyu mtembea peku ameonyesha udhaifu wa kipuuzi kabisa. Amejitangulizi mbele mbele. Kumbe kutengeneza kiki ni kazi kubwa hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
manager wa msanii haingilii chumbani tu diamond ili sense mahali lazima manager aandae bodyguards afanye uchambuzi wa madhala ya image ,na kujibu kwa niaba take ,hata ukitaka kuongea na diamond unaanzia kwake ,diamond hakwenda msibani kama anaenda kwa rafiki alienda kama msanii
Wengi hawajui nini maana ya manager wa msanii. Wengi wakiwa na manager wanamtumia kama mbwembwe tu,ndio maana wengi hawafiki mbali. Huyu manager wa Diamond anaijua kazi yake. Na Diamond anajua nini maana ya manager

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa mkuu,huyu mtembea peku ameonyesha udhaifu wa kipuuzi kabisa. Amejitangulizi mbele mbele. Kumbe kutengeneza kiki ni kazi kubwa hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani alaf anataka kutuaminisha eti yeye ndo kafanya jamaa aende msibani..[emoji23][emoji23][emoji23]

Dah kweli kiki hazichagui umri

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Back
Top Bottom