kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
- Thread starter
- #101
Kasoma madrasaUandishi wa huyu meneja unanitia mashaka, au ndio kama wale Mameneja wa Bar?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasoma madrasaUandishi wa huyu meneja unanitia mashaka, au ndio kama wale Mameneja wa Bar?
Aiseekuna mbea mmoja eti''mondi kaja msibani lkn hata akulia"nikamwambia nenda kachambe,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Man, you got it wrong!!! In short, hawezi kufanya jambo la kuwafurahisha haters wachache! Na hao wanaweza kuwa mashabiki lakini sio mashabiki wake!!! Mtu kama Mange Kimbambi tangu lini akawa shabiki wa Diamond?!Mbona unauliza na kujijibu mwenyewe bila kujua.
Hao haters 99%(sijui kwa utafiti upi) ndio hao hao mashabiki anaowahofia yeye kwamba watamuandama iwapo atatenda vile wao wasivyopendezwa.
Impact ipi?! Yaani impact ya kuhudhuria msiba wa Ruge na si wa mwingine yeyote yule, au?! Mond kutokwenda kwenye msiba wa Ruge kumepunguza nini na endapo angeenda kungeongeza nini?!Na mimi kuhoji ni kwa nini Mondi na sio jide, ni dhahiri kuwa Mondi ndiye mwenye wafuasi wengi kwa sasa, impact yake si ya kulinganishwa na Wenzake wengi, anachofanya Mondi athari yake ni tofauti na mwingine walau kwa wakati huu..
Yaani ukatili kwa sababu tu hakuhudhuria msiba wa Ruge, au?[QUOTE="May Day, post: 30623924, member: 489210]"Shabiki wa aina yako bila shaka pia umejijumuisha kati ya hao WANAFIKI unaowataja hapo juu.[/QUOTE]Wallah tena, wewe ndie unaestahili kuingia kwenye hilo kundi la wanafiki! Kwa sababu wanafiki jinsi walivyo, unaweza kukuta miongoni mwao wanaishi Mikocheni lakini hawakwenda nyumbani kwa akina Ruge! Unaweza kukuta wanaishi Upanga na City Center lakini hawakwenda Karimjee! Lakini hapa wanataka kujionesha ndo walikuwa na uchungu sana na Ruge kiasi kwamba kwa mtu kama Diamond kutokwenda, basi ni ukatili! Sasa kama sio unafiki tuite nini?!Na sijui ni kwa nini unashabikia afanye jambo lenye sura ya ukatili kuliko busara ili hali hana chochote cha kupoteza kwa kuonyesha busara..
Nan mzaramo na nan ni mruguruhapo ni mzaramu vs mruguru....mtu na mjomba yake
AiseeBabu kale[emoji118][emoji118]mwandishi usiharibu majina ya watu bwana.[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wallah tena, wewe ndie unaestahili kuingia kwenye hilo kundi la wanafiki! Kwa sababu wanafiki jinsi walivyo, unaweza kukuta miongoni mwao wanaishi Mikocheni lakini hawakwenda nyumbani kwa akina Ruge! Unaweza kukuta wanaishi Upanga na City Center lakini hawakwenda Karimjee! Lakini hapa wanataka kujionesha ndo walikuwa na uchungu sana na Ruge kiasi kwamba kwa mtu kama Diamond kutokwenda, basi ni ukatili! Sasa kama sio unafiki tuite nini?!Man, you got it wrong!!! In short, hawezi kufanya jambo la kuwafurahisha haters wachache! Na hao wanaweza kuwa mashabiki lakini sio mashabiki wake!!! Mtu kama Mange Kimbambi tangu lini akawa shabiki wa Diamond?!
Impact ipi?! Yaani impact ya kuhudhuria msiba wa Ruge na si wa mwingine yeyote yule, au?! Mond kutokwenda kwenye msiba wa Ruge kumepunguza nini na endapo angeenda kungeongeza nini?!
Yaani ukatili kwa sababu tu hakuhudhuria msiba wa Ruge, au?[QUOTE="May Day, post: 30623924, member: 489210]"Shabiki wa aina yako bila shaka pia umejijumuisha kati ya hao WANAFIKI unaowataja hapo juu.
Wallah tena, wewe ndie unaestahili kuingia kwenye hilo kundi la wanafiki! Kwa sababu wanafiki jinsi walivyo, unaweza kukuta miongoni mwao wanaishi Mikocheni lakini hawakwenda nyumbani kwa akina Ruge! Unaweza kukuta wanaishi Upanga na City Center lakini hawakwenda Karimjee! Lakini hapa wanataka kujionesha ndo walikuwa na uchungu sana na Ruge kiasi kwamba kwa mtu kama Diamond kutokwenda, basi ni ukatili! Sasa kama sio unafiki tuite nini?!Man, you got it wrong!!! In short, hawezi kufanya jambo la kuwafurahisha haters wachache! Na hao wanaweza kuwa mashabiki lakini sio mashabiki wake!!! Mtu kama Mange Kimbambi tangu lini akawa shabiki wa Diamond?!
Impact ipi?! Yaani impact ya kuhudhuria msiba wa Ruge na si wa mwingine yeyote yule, au?! Mond kutokwenda kwenye msiba wa Ruge kumepunguza nini na endapo angeenda kungeongeza nini?!
Yaani ukatili kwa sababu tu hakuhudhuria msiba wa Ruge, au?[QUOTE="May Day, post: 30623924, member: 489210]"Shabiki wa aina yako bila shaka pia umejijumuisha kati ya hao WANAFIKI unaowataja hapo juu.
Duh! We jamaa nimekugundua ni hater unayejificha kwenye kivuli cha kujifanya una busara, manake kulinganisha suala la kuua na kutokwenda msibani, you must have something on him, si bure!!!Hii ni picha tosha kwake kwamba Mondi ana Mashabiki wa kila aina, wapo watakaomshangilia kila anachofanya, hata kama atamchoma Mtu kisu hadharani..
Kujua kuandika sio issue, je unacho cha kuandika?Sasa mbona babutale hajui kuandika?
Wapi nimepotosha?! Au inawezekana hufahamu tafsiri ya neno mnafiki! Kwa kifupi, mnafiki ni yule ambae atajifanya kupigania kitu ambacho hata yeye hakifanyi lakini atataka kuonesha watu kwamba anafanya!! Haya Chifu, niambie ni hoja yako ipi niliyopotosha!!!Mzee unapotosha kabisa hoja zangu.
Ni bora tu niishie hapa.
No baada ya Papa Misifa,akaja Raqey Mohamed jamaa mpiga picha ,ana miliki kampuni ya I-VIEW (aliingia nae mkataba baada ya kutoa project ya nataka kulewa) ,Ruge baada ya kumuuona Dogo ana potential na mvuto wa kibiashara ndio akaanza kumtumia katika events zake,mwisho wa siku wakazinguana katika malipo ,dogo ndio akaamua kusepa kivyake,ndia akawachukua Sallam,Babutale na Fella kwa mujibu wa Fella Diamond kawaajiri kumanage kazi zake,kila kinachopatikana Mondi anachukua 70% wao wanachua 30%.Atakua hajui history za wote na lini Tale alianza kuwa Manager wa Mondi;Ruge alikua hataki kuwa manage directly wasanii so akina Tale na Fela ndio walikua bosheni ila Ruge ndio Manager wa Mondi aliyemtoa baada ya kuachana Papaa Misifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Be specific kazingua nini? Ajisafishe kafanya nini? be specific na si kuficha ficha.Sasa Mkuu kama kila kitu umeona kuwa kimeenda sawa, sioni tena hata haja ya kulumbana.
Hii ni picha tosha kwake kwamba Mondi ana Mashabiki wa kila aina, wapo watakaomshangilia kila anachofanya, hata kama atamchoma Mtu kisu hadharani.
Kupanga ni kuchagua, na mimi pia kama Shabiki wake nimechagua upande wa kuona anajitahidi kufanya yenye busara kwa kila lililo ndani ya uwezo wake.
Kiufupi Mondi amezengua, ila bado ana nafasi ya kufanya jambo kujifsafisha.
Sio sahihi! Ruge hajawahi kum-manage Mond iwe directly or indirectly! Uhusiano wa Ruge na Mond ni wa kibiashara zaidi kuliko kumsaidia!!Atakua hajui history za wote na lini Tale alianza kuwa Manager wa Mondi;Ruge alikua hataki kuwa manage directly wasanii so akina Tale na Fela ndio walikua bosheni ila Ruge ndio Manager wa Mondi aliyemtoa baada ya kuachana Papaa Misifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee unapotosha kabisa hoja zangu.Wallah tena, wewe ndie unaestahili kuingia kwenye hilo kundi la wanafiki! Kwa sababu wanafiki jinsi walivyo, unaweza kukuta miongoni mwao wanaishi Mikocheni lakini hawakwenda nyumbani kwa akina Ruge! Unaweza kukuta wanaishi Upanga na City Center lakini hawakwenda Karimjee! Lakini hapa wanataka kujionesha ndo walikuwa na uchungu sana na Ruge kiasi kwamba kwa mtu kama Diamond kutokwenda, basi ni ukatili! Sasa kama sio unafiki tuite nini?!
Na ndo maana nimekuuliza nitajie ugomvi wa Ruge personally na Diamond, umeshindwa! Nimekupa changamoto utaje ni kwanini unadhani LAZIMA Diamond angehudhuria kwenye msiba wa Ruge, napo umeshindwa! Yaani kutokana na unafiki wako, unataka kujifanya unawafahamu sana Ruge na Diamond kuliko wanavyojifahamu wenyewe?!
Hakika wanena vyemaKujua kuandika sio issue, je unacho cha kuandika?