Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
avatar yako naweka 800 unipe uyo250 ongeza 300 itapendeza zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
avatar yako naweka 800 unipe uyo250 ongeza 300 itapendeza zaidi.
AiseeNadhani kama lengo la sheikh mbonde lilikuwa ni MAFUNDISHO yawafikie watu ili wamjue Mwenyezi Mungu basi hana haja ya kudai fedha zote hizo ambae inaonekana kama alikuwa na lengo la kupiga pesa kuliko kueneza neno la Mwenyezi Mungu
+ copy right ya Sikinde= Hatari tupu !Aende tu jela hakuna namna ,Diamond mwenyewe anamatatizo yake ya ulezi sidhani kama atamsaidia
Fanya 1000 itapendeza zaidi.avatar yako naweka 800 unipe uyo
Ni Ukauzu kudai kuwa dini zimeletwa na waarabu....Nani kakuambia kuwa Katoliki, Anglikan, Lutheran na Ulokole umeletwa na waarabu?Ukiifanya dini kwa kumutumikia mungu haitazuru
Lakin ukifanya dini kama biashara itapendeza zaid
shehe mjanja sana anajua fika kabisa din hizi hazina maana yeyeto maana zimeletwa na waarabu ili wafanikishe biashara zao za kuuza tende na kanzu
Naye kaona aitumie dini kwa biashara zake za kuuza cd ili apate mamilion ya shilings
Haitazuru mazee
Fanya 1000 itapendeza zaidi.
[emoji87] [emoji17]Basi wacha nikachekue shekeli zangu Zimbabwe
Na pia hasemi kama haya anayoyasema, pia aliyasema Mahakamani ama? Kama aliyasema, walimjibu nini?kama sio yeye sijaona mahali kokote alipokata rufani kwenye mahakama za juu
Mkuu zile album za Gospel wapi wanagawa bure? Vitabu vya dini vinauzwa! Matamasha ya dini yana viingilio! Magazeti ya dini yanauzwa! Mkuu kikichobaki bure ni Salamu na Hewa tu!Mawaidha yamekuwa dili kama Msondo Ngoma? Haya twende kazi...
Na imekuaje mahakama imetaja yeye na Sio mtu mwingine?Na pia hasemi kama haya anayoyasema, pia aliyasema Mahakamani ama? Kama aliyasema, walimjibu nini?