msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,192
Rejea makubaliano yao kuwa watagawana faida!Nadhani kama lengo la sheikh mbonde lilikuwa ni MAFUNDISHO yawafikie watu ili wamjue Mwenyezi Mungu basi hana haja ya kudai fedha zote hizo ambae inaonekana kama alikuwa na lengo la kupiga pesa kuliko kueneza neno la Mwenyezi Mungu