mwami ndalibanye
Member
- Oct 5, 2016
- 31
- 34
umeongea point sana kaka. Dini imekua biasharaNadhani kama lengo la sheikh mbonde lilikuwa ni MAFUNDISHO yawafikie watu ili wamjue Mwenyezi Mungu basi hana haja ya kudai fedha zote hizo ambae inaonekana kama alikuwa na lengo la kupiga pesa kuliko kueneza neno la Mwenyezi Mungu
wacha kuchanganya mambo mkuu misahafu na biblia zote zinauzwa kanda za kwaya na mawaidha vyote vinauzwa hii ya Sheikh unataka saipewe haki yake eti alikuwa anafikisha neno la MunguNadhani kama lengo la sheikh mbonde lilikuwa ni MAFUNDISHO yawafikie watu ili wamjue Mwenyezi Mungu basi hana haja ya kudai fedha zote hizo ambae inaonekana kama alikuwa na lengo la kupiga pesa kuliko kueneza neno la Mwenyezi Mungu
Mpuuzi..Usicheze na Shekhe ubwabwaz...!
Tafakari....!!!!Mawaidha yamekuwa dili kama Msondo Ngoma? Haya twende kazi...
mkumbuke yalikuwa ni makubaliano wangekubaliana zisambazwe bure si tatizo lakini walikubaliana malipo na yeye amezikuta zinauzwa hazikutolewa burePale dini inapokuwa dili. Dini aina ni aina ya ujasiriamali.asante sheikh
nyimbo za injili nisawa watu kudaiwa lkn makubaliano ya Sheikh kulipwa ni vibaya kama umepungua kanisani ni wewe mtu akae aandae mahubiri nyinyi muyauze msimpe hata senti yeye akalipwe na Mungu waende wakae naye wagawane kilicho patikana kwa mujibu wa makubalianoHizi dini ndio maana watu wanaoenda misikitini na makanisani wanapungua kila uchwao, yaani marehemu anadaiwa kwa kurekodi mawaidha ya sheikh tena ili yaenee kws watu halafu amefariki sheikh asamehi anadai pesa nyingi kuliko uhalisia wake. Mimi nitakua wa mwisho kuamini hawa watu.
Wewe ndo kauzu maana hujui ulisemaloNi Ukauzu kudai kuwa dini zimeletwa na waarabu....Nani kakuambia kuwa Katoliki, Anglikan, Lutheran na Ulokole umeletwa na waarabu?
Dini ya uislamu imehimiza mtu asidhulum wala asikubal kudhulumiwaOle wao wanaotumia dini kupata PESA...ole wao wanaowadhulumu watu wa dini ili kupata PESA...
Which crack are u smoking ???Ukiifanya dini kwa kumutumikia mungu haitazuru
Lakin ukifanya dini kama biashara itapendeza zaid
shehe mjanja sana anajua fika kabisa din hizi hazina maana yeyeto maana zimeletwa na waarabu ili wafanikishe biashara zao za kuuza tende na kanzu
Naye kaona aitumie dini kwa biashara zake za kuuza cd ili apate mamilion ya shilings
Haitazuru mazee
Wewe ndio unaupeo zero kabsa...soma uelewe kabla haujajibu.....au ushakula ugolo?Dini ya uislamu imehimiza mtu asidhulum wala asikubal kudhulumiwa
Anauzs kanda zake anajipatia mamilion ila hamuon ka n kosa hilo ...mnataka awe bwege akubal watu watajirike kupitia yeye ....una upeo mdogo
Lini na wapi umeona au kusikia mwanamuziki wa injili anadai marehemu kwa kusambaza injili? Eti kesi ya kusambaza mawaidha sheikh anaipeleka mahakamani! Tena adai hela, baada ya kuipeleka kwa Mungu adai thawabu.nyimbo za injili nisawa watu kudaiwa lkn makubaliano ya Sheikh kulipwa ni vibaya kama umepungua kanisani ni wewe mtu akae aandae mahubiri nyinyi muyauze msimpe hata senti yeye akalipwe na Mungu waende wakae naye wagawane kilicho patikana kwa mujibu wa makubaliano
Safi kabisa tia jela huyu tapeli pumbavu....Kawadhulumu wakina Z.Anto,Tunda Man,Kassim Mganga hawana hata viwanja alafu kawakimbia siku hizi anapika na Kulala kwa Madale alipo Dimond na yeye yupo.
Sasa huyu aende jela hiyo ndio itakuwa fundisho kwa matapeli wengine Said Fella,Ruge na Salam
Sheikh anadai kampuni aliyoingia nayo mkataba ambayo hadi leo inauza kanda za mawaidha yake haijafa ipo lazima aidai kama mdaiwa ni nikampuni inayofaidi jasho lake hadi leoLini na wapi umeona au kusikia mwanamuziki wa injili anadai marehemu kwa kusambaza injili? Eti kesi ya kusambaza mawaidha sheikh anaipeleka mahakamani! Tena adai hela, baada ya kuipeleka kwa Mungu adai thawabu.