Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
"Tunalipwa milioni 20 show moja, tunalipwa dola elfu 25,000 show moja, hii ni zaidi ya madawa ya kulevya," amesema Tale.

"We get more money from music, sio kwenye madawa ya kulevya, hatufanyi hizo biashara na kama wanahisi sisi tunafanya tunawaruhusu watufanyie investigation hata kwa muda wa miaka kumi ina maana tunavyopita pale airport hawana vifaa vya kutuchunguza?

Ipo wazi hata Global walishindwa kufanya kazi na sisi kwa sababu sisi ni wakubwa.

Sasa leo hii tunauza madawa ya kulevya kwa sababu tunakomaa kwenye bei zetu.

September tunafanya show kubwa ya Unplugged(ni jukwaa moja na Davido na Tiwa Savage nchini UK) na msanii wa kwanza hapa kufanya ile show ni Diamond na ile show hawalipi hela ndogo, wataendelea kuona watu wanauza madawa ya kulevya.

Hakuna msanii wa Tanzania anayefanya show kwa walau dola elfu 10,000 ni Diamond peke yake wengine ni dola elfu 2000, 2500 elfu 3,000 mwisho.
Tuna show Marekani show kumi na tano (15) show kumi na tano dola elfu ngapi?

Na kwa hapa Tanzania hatufanyi show chini ya dola elfu 15,000," ameongeza Tale.
 
Asiongee tu kuwa kiasi fulani ili kuondoa uzushi aonyeshe mikataba anayolipwa aweke hata ili kuondoa uzusha kwanza aanze na ya Serengeti fiesta we need evidence here so.that we can believe Heaveni tupia picha hapa ya hiyo mikataba na amount anayolipwa
 
princess sayuni
Na wewe weka salary slip yako hapa vinginevyo na wewe unauza madawa
 
Last edited by a moderator:
Wabongo wana majungu hakuna wivu tu unasumbua.unakuta msomi ana degree first class na masters ya mzumbe then analipwa mil.2 per year jumla kwa mwaka mil.24.wakati hiyo mil 24 diamond anaingiza kwa show moja ya masaa machache.hapo ndio watu povu zinawatoka Mara kaenda kwa mganga wengine anauza madawa ya kulevya.haya majungu hayasaidii jiajirini muone raha yake sio kuvaa uniform za Nmb na kutamba Nazi mtaani.wakati unaweza kuanzisha microfinance na ukapata faida hata Mara 100 ya mshahara wako
 
Tumekusikia hod kwahiyo gpl wana wivu wa kike au wanawachafua wasafi muwe wachafu
 
Jaman dai kanunua picha 4 picha jamaniiii
 
Hapo GPL wao wanausafi gani kiasi cha kutuhumu wenzao? Mbona Shigongo kapush sana sembe enzi hizo Domo anakunya maji ya mafungu?
 
unakuta msomi ana degree first class na masters ya mzumbe then analipwa mil.2 per year jumla kwa mwaka mil.24.wakati hiyo mil 24 diamond anaingiza kwa show moja ya masaa machache.



Nafikiri ulimaanisha mil.2 per month mkuu
 
babu tale zimemruka yani kalopoka tu kama mwendawazim hvy hiyo pesa ya show milion 30(dola elf 20) ndo analinganisha na pesa ya sembe kama ile ya madawa machache aliokamatwa nayo agnes south yaliyofikia bilion 7 . babu kwa tarifa yako hata mkipiga show 15 tena hata 100 huko marekani bado hizo hela hamuwezi kulinganisha na za sembe so katulie uongee kama manager na sio kuropoka kama kichaa duh ndo matatizo ya mamanager ambao hawana elimu
 
Shigongo na global yake wamuache jamaa. Akitaka washkane pabaya na RUGE aendele. Na ali kiba pia aangalie,akiendele kuendekeza bifu na domo aisahau mawingu. Kunawatu wanatamani kuiona bongoflava inapaa kimataifa,sasa wengine waki emerge na kuanza shutma za kuwashusha wenye bidii katka hlo tena kwa makusudi,haitakuwa rahsi lazma na wao wapate challenges. Katka hli la madawa kumbe domo anajua knachoendelea na ndo mana alivopigiwa na global publishers aliwajibu short then akakata sim. Hebu tuone
 
Back
Top Bottom