Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

Shigongo usipokubali Kufanya tamasha la matumaini kwa bei ya chini, anakuchafua na magazeti yake. Siyo Sawa hii
 
Wadau wa page hii ifike pahala tuache unafiki na kuongelea vitu ambavyo havina uthibitisho. Huyu Dogo Diamond au Nasibu ukweli kazi yake inakubalika na hakuna asiejua kama Nasibu anapendwa. Sioni sababu ya kumuhusisha kazi yake ya muziki na biashara zingine.Kwa wale watu ambao wamepata bahati ya kusafiri safari za kimataifa hasa nje ya bara la Afrika nadhani wataungana na mimi kwa swala zima la ukaguzi wa viwanja vya ndege. Kuanzia pale nyumbani Dar International Airport.

Vipo vifaa vya kisasa kwa ajili ya kukagua madawa ya kulevya na Airport zingine watu wanazoelekea mizigo inakaguliwa na inakuwa scanned na mitambonyankisasa hivyo naamini swala hilo kwa Diamond anaposafiri nae hukaguliwa kama abiria wengine. Watu wanaposema Diamond anafanya biashara hiyonya madawa hapa maana yake nini?? Maana yake Airport zote anazopita hawafanyi kazi zao vizuri au na wenyewe wanahusika kumpitisha Diamond. Kwa sababu Diamond anaposafiri hana kinga yoyote ka kutokaguliwa.

Diamond sio VIP, Sio DIPLOMATIC na hana special care yoyote anayopewa kiasi cha kuweza kusema labda anatumia kinga hiyo kupitisha mzigo haramu Airport. Kwa maana hii kwa uelewa wangu mdogo inafika pahala kuikubali kazi yake ya muziki au labda kama watu watuthibitishie kuwa amekamatwa na mzigo huo. Naamini vyombo vyetu vya ulinzi Airport vinafanya kazi yake vizuri na vinapopata taarifa kama hizi lazima wazifanyie kazi kujua ukweli wake. DIAMOND PIGA KAZINYAKO DOGO UNA MSULULU WA WANAOKUPENDA NYUMA YAKO. ACHANA NA WENYE FITNA.
 
Hivi inakuaje kwenye ulipaji wa kodi?

Swala la kodi hapa lazima liwe utata, uwezi kulipwa hela marekani ulipe kodi Bongo, ni sawa na wabeba box wote wanalipa kodi huko huko wanakofanyia kazi.
 
Wabongo wana majungu hakuna wivu tu unasumbua.unakuta msomi ana degree first class na masters ya mzumbe then analipwa mil.2 per year jumla kwa mwaka mil.24.wakati hiyo mil 24 diamond anaingiza kwa show moja ya masaa machache.hapo ndio watu povu zinawatoka Mara kaenda kwa mganga wengine anauza madawa ya kulevya.haya majungu hayasaidii jiajirini muone raha yake sio kuvaa uniform za Nmb na kutamba Nazi mtaani.wakati unaweza kuanzisha microfinance na ukapata faida hata Mara 100 ya mshahara wako

Mil45,per show.?bado hatujafika huko waTZ,bado kabsa..
 
Shigongo na global yake wamuache jamaa. Akitaka washkane pabaya na RUGE aendele. Na ali kiba pia aangalie,akiendele kuendekeza bifu na domo aisahau mawingu. Kunawatu wanatamani kuiona bongoflava inapaa kimataifa,sasa wengine waki emerge na kuanza shutma za kuwashusha wenye bidii katka hlo tena kwa makusudi,haitakuwa rahsi lazma na wao wapate challenges. Katka hli la madawa kumbe domo anajua knachoendelea na ndo mana alivopigiwa na global publishers aliwajibu short then akakata sim. Hebu tuone

Ali kiba ameingiaje kwenye hii ishu.?
Kwa taarifa yako clouds hawawez kumtupa ali k 7bu ya diamond,.
Na pia Ali k atakuwrpo kwenye fiesta kwanzia tanga mpaka mikoa mingne yote,na RUge amefutahishwa sana na Ali k kwan ndio alieitoa ile web yake ya kuuza nyimbo ya mkito,na ndo maana juzi kampa mkataba mnono wa fiesta..
 
Kumbe hujui mkuu,diamond ana pasport ya diplomasia..
Na unavosema JKNIA kuna ukaguzi mkali huwez kupita na madawa una maana gani.?coz agnes masogange alipita na mzgo wa bilion7 hapohapo..
 
Kwa hizo hela si angejenga masaki?? AU angekuwa na vitega uchumi kibao?
 
Kashamaliza swimming pool? Hivi Bado anatembelea Toyota? Ndio msanii wa kwanza tajiri kutembelea toyota!

Unajua wasanii wengi walichemka baada ya kupata hela kisha wakaanza kuishi jinsi watu walivyotaka waishi,wakasahau kujipanga,wengi walinunua magari ya kufuraisha macho ya mashabiki,walikaa places kufuraisha mashabiki wamefeki sana kisha walipofulia hao hao waliowataka kuwafuraisha wanawacheka hawakujipanga .....Diamond naona kaja tofauti kidogo,kwa niliyoyaskia kama ni kweli basi atawasaplaiz sn raia.
 
Tumewazowea global watu wa kutunga skendo tu. Wameona OFM imashindwa kumpaka matope sasa wanampakazia madawa. Nenda kwa kamana Nzowa mmshitaki kama mna vielelezo. Kamua bwana mdogo wasikukatishe tamaa.
 
Tumewazowea global watu wa kutunga skendo tu. Wameona OFM imashindwa kumpaka matope sasa wanampakazia madawa. Nenda kwa kamana Nzowa mmshitaki kama mna vielelezo. Kamua bwana mdogo wasikukatishe tamaa.

Kabby upo wapi siku hizi kaka mkuu?
 
Unajua wasanii wengi walichemka baada ya kupata hela kisha wakaanza kuishi jinsi watu walivyotaka waishi,wakasahau kujipanga,wengi walinunua magari ya kufuraisha macho ya mashabiki,walikaa places kufuraisha mashabiki wamefeki sana kisha walipofulia hao hao waliowataka kuwafuraisha wanawacheka hawakujipanga .....Diamond naona kaja tofauti kidogo,kwa niliyoyaskia kama ni kweli basi atawasaplaiz sn raia.

Yap hayo,tuambie na sisi..
 
Unajua wasanii wengi walichemka baada ya kupata hela kisha wakaanza kuishi jinsi watu walivyotaka waishi,wakasahau kujipanga,wengi walinunua magari ya kufuraisha macho ya mashabiki,walikaa places kufuraisha mashabiki wamefeki sana kisha walipofulia hao hao waliowataka kuwafuraisha wanawacheka hawakujipanga .....Diamond naona kaja tofauti kidogo,kwa niliyoyaskia kama ni kweli basi atawasaplaiz sn raia.

Kashamalizia swimming pool? Bado anatembelea TOYOTA lake T CAZ 555.?
 
Kashamalizia swimming pool? Bado anatembelea TOYOTA lake T CAZ 555.?

Kila kitu ni mipango na vipaumbele,sidhani kama Dai anashindwa kununua range au bima au whatever....hivi unajua gari anayotembelea Manji au Mo?
 
Akili za kimaskini zimejaa wivu tu....ndo maana bushoke aliimba maskini kutwa kurogana kwa waganga....mtu kapata mafanikio bila kutumia "mjomba" majungu yanakuwa mengi kama anauza unga si mlaumu vyombo vya usalama vilivyojaa watu waliopata kazi "kiujomba ujomba"
 
Kwa kuwa msumari wa inchi mbili umebaki inchi moja na umejaa kutu (rust) kibao; naomba serikali iruhusu vijana wauze unga kwa muda wa miaka mitano tu! vijana wajikwamue kiuchumi! Haiwezekani bidhaa hii iwe na fedha nyingi kiasi hicho badala ya kubuni njia ya kuiboresha ni kuiponda tu! Marufuku kuuza unga ndani au mtz kutumia unga ila nje ruksa kupeleka watoto wajipatie fedha!

"Dunia hii fedha kwanza (uchumi kwanza) sera ya marekani". Kwa nchi za magharibi na zilizoendelea heri watz au waafrika wote tufe lakini kile wanachotaka kwetu (mali) wapate. Hivyo nasisi acheni tuwapelekee madawa ya kulevya wachoke/wafe - sisi tupate fedha tena nyingi na wakati huo wakiisha victim / kufa hawatatusumbua tena (hawatatuibia mali zetu tena) na manyanyaso yatapungua! Wamefika pabaya wanatulazimisha tuoane wanaume kwa wanaume /ndoa za jinsi moja ati ndo watatupa misaada!

SERIKALI IKUSANYE MAPATO KWA WAUZA UNGA - HATUHITAJI MISAADA TENA
 
Back
Top Bottom