Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

Kwa kuongeza sifuri wako vizuri Show ya milioni mbili utasikia milioni mia mbili
 
Kwa kuwa msumari wa inchi mbili umebaki inchi moja na umejaa kutu (rust) kibao; naomba serikali iruhusu vijana wauze unga kwa muda wa miaka mitano tu! vijana wajikwamue kiuchumi! Haiwezekani bidhaa hii iwe na fedha nyingi kiasi hicho badala ya kubuni njia ya kuiboresha ni kuiponda tu! Marufuku kuuza unga ndani au mtz kutumia unga ila nje ruksa kupeleka watoto wajipatie fedha!

"Dunia hii fedha kwanza (uchumi kwanza) sera ya marekani". Kwa nchi za magharibi na zilizoendelea heri watz au waafrika wote tufe lakini kile wanachotaka kwetu (mali) wapate. Hivyo nasisi acheni tuwapelekee madawa ya kulevya wachoke/wafe - sisi tupate fedha tena nyingi na wakati huo wakiisha victim / kufa hawatatusumbua tena (hawatatuibia mali zetu tena) na manyanyaso yatapungua! Wamefika pabaya wanatulazimisha tuoane wanaume kwa wanaume /ndoa za jinsi moja ati ndo watatupa misaada!

SERIKALI IKUSANYE MAPATO KWA WAUZA UNGA - HATUHITAJI MISAADA TENA

Hii ni Sera ya wanigeria wanaouza poda abroad
 
Mapromota wengne bhana,unadai nje hafanyi shoo isiyozid kiasi kadhaa huku hutaki kuweka uthibitisho,hiyo n njia ya kuwaibia Wtz aonekane yupo juu kweye show zako kwa kujitangza kwenye social media,weka vielelezo ili jamii itambue huo ndo utakua mwisho wa malumbano.
 
"Tunalipwa milioni 20 show moja, tunalipwa dola elfu 25,000 show moja, hii ni zaidi ya madawa ya kulevya," amesema Tale.
 
babu tale zimemruka yani kalopoka tu kama mwendawazim hvy hiyo pesa ya show milion 30(dola elf 20) ndo analinganisha na pesa ya sembe kama ile ya madawa machache aliokamatwa nayo agnes south yaliyofikia bilion 7 . babu kwa tarifa yako hata mkipiga show 15 tena hata 100 huko marekani bado hizo hela hamuwezi kulinganisha na za sembe so katulie uongee kama manager na sio kuropoka kama kichaa duh ndo matatizo ya mamanager ambao hawana elimu
 
Kaa kimya kama haujui kitu,sio kila range ni vogue...manji ana push range ya kawaida tu billionaire yule.

Mkuu nimeyaona mwenyewe kwa macho ni Vogue.

La Manji niliona ofisini kwake enzi hizo Quality Plaza ,La Mo nilimuona Ocean Road anapita nalo kaweka plate number MO....Hata Nimrodi Mkono ndiyo watu wa kwanza kumiliki Range na alikuwa nazo Mbili Ya Kijani Vogue na Silver Sport na hiyo Sport alikuwa nayo tangu 2006.

Yaani mimi nishindwe kutofautisha Vogue na other range type?

1737961246724.png



1737961311897.png
 
Back
Top Bottom