Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

Kila kitu ni mipango.....drake kaanza mziki kitambo ila ilimchukua muda kuhama YMCMB house na kununua ya kwake binafsi ya kifahari....diamond ana akili....na kwa show ya mil45 kwa tz inawezekana na ndo maana apigi show nyingi tz kwa mwaka....mwenyewe anakwambia ukipiga show daily watu watakuchoka...inshort huko anakoenda anaskiliza mafunzo kutoka kwa wasanii wenzake na anayafanyia kazi...alafu manager wake ni mtu poa sana bila yeye sidhan kama diamond angeweza kusocialize na watu ivyo.....ni kumpongeza na kuzidi kumsupport.
 
Asiongee tu kuwa kiasi fulani ili kuondoa uzushi aonyeshe mikataba anayolipwa aweke hata ili kuondoa uzusha kwanza aanze na ya Serengeti fiesta we need evidence here so.that we can believe Heaveni tupia picha hapa ya hiyo mikataba na amount anayolipwa

Nakupendea hapo tuuuuy
 
Diamond%20dangote_full.jpg


Tangu mwaka juzi tulifahamu kuwa Diamond Platinumz ndiye msanii wa Tanzania anaelipwa kiasi kikubwa cha pesa, na mwaka jana ikaelezwa kuwa bila milioni 10 au 8 za Kitanzania humpati kwenye show yako.

Lakini kiwango kipya kilichotajwa jana kitawapa kizunguzungu zaidi hasa mapromota wenye mitaji midogo wenye ndoto za kufanya kazi na mwimbaji huyo.

Kwa mujibu wa, Babu Tale ambaye ni meneja wake, hivi sasa kiwango cha chini anachochaji kwa show moja hapa nchini ni $15,000 (sawa na shilingi Milioni 25 za Tanzania).

"Tuna show Marekani show kumi na tano (15), show kumi na tano dola elfu ngapi? Na kwa hapa Tanzania hatufanyi show chini ya dola e15,000." Babu Tale aliiambia Bongo5.

Kwa mujibu wa Babu Tale, wanachaji kiasi cha hadi dola 25,000 kwa show moja za nje ya nchi (ikiwemo Marekani).

"Tunalipwa milioni 20 show moja, tunalipwa dola elfu 25,000 show moja, hii ni zaidi ya madawa ya kulevya." Alisema wakati akikanusha tuhuma kuwa Diamond anauza dawa za kulevya.

Kwa mahesabu ya haraka haraka, shows 15 mara dola 25,000 ni sawa na $375,000 (Sawa na shilingi za Tanzania 625,687,500).

Yesss! Ni zaidi ya Milioni mia sita ishirini na tano za kitanzania.

Kama ni kweli, basi Diamond anastahili kweli kuitwa Dangote wa Bongo Flava.

Bado michongo inaendelea kumiminika ambapo hivi karibuni meneja wa Trey Songz alimtumia ujumbe kuwa atakapokuwa na nafasi amshitue waongee.
 
Hivi blog zenu na team zenu huko Insta haziwatoshi kudanganyana mpaka mlete ugoro wenu kila dakika hapa?
 
Hata weezy hatengenezi hiyo hela.

Inshort, Africa nzima hakuna msanii wa kutengeneza hiyo hela.
 
Diamond%20dangote_full.jpg


Tangu mwaka juzi tulifahamu kuwa Diamond Platinumz ndiye msanii wa Tanzania anaelipwa kiasi kikubwa cha pesa, na mwaka jana ikaelezwa kuwa bila milioni 10 au 8 za Kitanzania humpati kwenye show yako.

Lakini kiwango kipya kilichotajwa jana kitawapa kizunguzungu zaidi hasa mapromota wenye mitaji midogo wenye ndoto za kufanya kazi na mwimbaji huyo.

Kwa mujibu wa, Babu Tale ambaye ni meneja wake, hivi sasa kiwango cha chini anachochaji kwa show moja hapa nchini ni $15,000 (sawa na shilingi Milioni 25 za Tanzania).

“Tuna show Marekani show kumi na tano (15), show kumi na tano dola elfu ngapi? Na kwa hapa Tanzania hatufanyi show chini ya dola e15,000.” Babu Tale aliiambia Bongo5.

Kwa mujibu wa Babu Tale, wanachaji kiasi cha hadi dola 25,000 kwa show moja za nje ya nchi (ikiwemo Marekani).

“Tunalipwa milioni 20 show moja, tunalipwa dola elfu 25,000 show moja, hii ni zaidi ya madawa ya kulevya.” Alisema wakati akikanusha tuhuma kuwa Diamond anauza dawa za kulevya.

Kwa mahesabu ya haraka haraka, shows 15 mara dola 25,000 ni sawa na $375,000 (Sawa na shilingi za Tanzania 625,687,500).

Yesss! Ni zaidi ya Milioni mia sita ishirini na tano za kitanzania.

Kama ni kweli, basi Diamond anastahili kweli kuitwa Dangote wa Bongo Flava.

Bado michongo inaendelea kumiminika ambapo hivi karibuni meneja wa Trey Songz alimtumia ujumbe kuwa atakapokuwa na nafasi amshitue waongee.

Halafu analipa kodi kiasi gani?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
hivi mbona bado amepanga sinza?? manake hela hiyo ndefu sana kwa kuishi maisha yale
 
hivi mbona bado amepanga sinza?? manake hela hiyo ndefu sana kwa kuishi maisha yale

Wapambe ni sheeeda, usikute Diamond mwenyewe labda hana mashauzi ila tatizo wale ambao hawaendi chooni bila uwepo wa Diamond ndio weoye kelele.
 
Mwacheni dogo ale ujana, kujenga kitu gani bwana mbona wahindi kule town wanazaliwa mpaka wanazeeka lakini hawana hata mpango wa kujenga? Tumia hela ikuzoee dogo
 
Wabongo wana majungu hakuna wivu tu unasumbua.unakuta msomi ana degree first class na masters ya mzumbe then analipwa mil.2 per year jumla kwa mwaka mil.24.wakati hiyo mil 24 diamond anaingiza kwa show moja ya masaa machache.hapo ndio watu povu zinawatoka Mara kaenda kwa mganga wengine anauza madawa ya kulevya.haya majungu hayasaidii jiajirini muone raha yake sio kuvaa uniform za Nmb na kutamba Nazi mtaani.wakati unaweza kuanzisha microfinance na ukapata faida hata Mara 100 ya mshahara wako

Aisee unaudhi....!!! Unaongea ukweli sana banaaaaa....!! Hahahahaahahaa.... Acha nicheke nika-expand kagenge mweee walau nitengeneze mshiko wa ziada...!!
 
Kaa kimya kama haujui kitu,sio kila range ni vogue...manji ana push range ya kawaida tu billionaire yule.

na ukiwa billionaire hutakiwi kuishi ki billionaire kama kweli unataka ku maintain status!
 
Back
Top Bottom