Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

Umenena ndugu, kzi za mtaani zinaonekana shombo wakati watu wanavaa tu uniform na kuishia kukabana kulipa bills na mikopo mwisho wa mwezi
 

wewe ndio uweke evidence kuwa wanauza madawa ya kulevya sio kuleta majungu. Mfano: Mimi nikidai mama yako kanunuliwa gari na kikwete ndio nitatakiwa nilete kadi sio nimlazimishe mama yako athibitishe.
 
wewe ndio uweke evidence kuwa wanauza madawa ya kulevya sio kuleta majungu. Mfano: Mimi nikidai mama yako kanunuliwa gari na kikwete ndio nitatakiwa nilete kadi sio nimlazimishe mama yako athibitishe.

Umewehuka nini hebu soma vizuri sasa unamuingiza Jk kwenye swala la kipuuzi kama hili think big si wamejidai wenyewe kukanusha waweke sasa kila kitu wazi kama hawajaweka hio waliosema ni uzushi mtupu na mimi siwezi kuweka ya kwangu mana staki show off character ka ya hao waropokaji wasio na evidence wakiamuliwa kufatiliwa sijui anatoa nini shobo nyingine
 

Aliyewehuka ni wewe unayedai mtu anauza madawa ya kulevya halafu unalazimisha YEYE ndio atoe ushahidi mpaka wa mikataba. Kwa nini wewe unayedai usilete ushahidi??
 
Aliyewehuka ni wewe unayedai mtu anauza madawa ya kulevya halafu unalazimisha YEYE ndio atoe ushahidi mpaka wa mikataba. Kwa nini wewe unayedai usilete ushahidi??

We chizi nini stop ua personal attack umesoma mada kweli kamuulize shingongo aliyeandika habari wewe unaleta upuuzi hapa eti majungu aweke mikataba hapa sio kubwabwaja hapa yeye ndo aliweka hivo kwanini asiweke we need clear evidence otherwise akawaokote wapuuzi wake jibu hoja hapa maana meneja ndo kasema hafu kime ku touch sana unaweza ukawa mmoja wao si bure jibu hoja iliyowekwa unashupalia ujinga eti ushahidi mi ndo nimesoma mambo ya dola elfu thelathini i.d.i.o... Think big
 

Ngoja nirudi tena kwenye mfano wa mama yako:

Mama yako kanunua RAV 4 mpya, wambeya (like yourself) wanadai kanunuliwa na kepten Komba! Shigongo wako anampigia simu, mama yako anajibu kuwa anafanya kazi nzuri ya Benki tena ni bosi, hivyo kununua RAV 4 sio ishu. Wambeya wanakuja JF kudai MAMA YAKO Alete vyeti vya kuajiriwa, salary slip etc....HIYO NDIO THINKING BIG?? C'mon! Mama yako kama hatakuwa na akili kama zako hawezi kuleta salary slip kuthibitisha upuuzi, likewise Diamond halazimiki kuweka mikataba yake ili kuwathibitishia watu kama wewe kuwa HAUZI UNGA! How hard is it kuprove shoo yake moja anatoza kiasi gani? kwa any great thinker like you pretend to be, ni suala la kumpigia simu meneja wake na kumuuliza. Pili, shoo ambazo anafanya ni facts, how hard is it kuzihesabu na kumultiply by bei atakayokwambia meneja?
Last time i checked watu wanao-THINK BIG huwa wanazungumzia HOJA, sio WATU.
 
Alikuja Tunduma kiingilio 50000/=watu watu walikosa nafasi pa kukanyaga miguu, mwacheni jamaa yuko juu.

Huku kitaa ikipigwa Dovido inayofuatia Ni Domo kama sio kitorondo basi ni bambam au no.1
 
Sasa mambo ya mama yanaingiaje hapo na wewe mbona mifano yako ni irrelevant na topic husika mbona mambo mengine wanapenda kusifiwa wakubali yote being a celebrity lazima uswemwe kwa mazuri na mabaya pia nadhani hujui maana ya celebrity huu si umbea huyo manager wake si ndo kasema mitandaoni hayo ya show sijui facts inaenda na evidence sio kukurupuka tu mkiambiwa ukweli sijui chuki.

kajipangeni vizuri hoja nyepesi kabla ya kuanza kusema sijui umbea mjipange mtafte wenye akili wawashauri eti show ni facts uwiiii kama hataki kuweka kilicho mfanya aropoke nini na akiamua kufuatikiwa je muwe mnajipanga sio kuropoka tu ili kitu kionekane
Kajipangeni bwana muwe mnajibu hoja kwa strong reason sio kuongea pointless kama hamna vichwa sijui mnajifurahisha kauli zenye contradiction na sifa zita wa cost sana tu mkiamukiwa kufatiliwa na wana husika think beyond before uttering anything
 
1. mfano wa mama yako ni murua kabisa, nimemtumia mama yako ili ujisikie kama ndugu zake diamond wanavyojisikia watu kama nyinyi mnapoeneza sumu.

2. Being a celeb doesn't mean unatakiwa kukubali yote yanayosemwa juu yako, kwani celeb sio binadamu. Mbona wewe MFANO TU, unaomhusisha mama yako tayari unajisikia vibaya? Mama yako angekuwa celeb mfano waziri ungejisikiaje? Hivyo ndivyo anavyojisikia Diamond na watu wake wa karibu vile vile.

Pili nimesema show zake ni facts. Sasa hapo unabisha nini? Kwani kuna ubishi au utata wowote wa show ambazo tayari ameshapiga? mfano: Diamond ameperform kwenye MTV awards Durban mwaka huu, is that not a FACT to YOU? Au hujui maana ya FACT? Wewe ndio ujipange maana hata hueleweki.

Sasa hesabu hizo shows ambazo amefanya, halafu linganisha na bei ambayo manager wake atakuambia, mbona vitu vingine simple tu, acheni majungu. Dogo anafanya kazi na inaonekana. Bei anayo-charge per show meneja ameshaiweka wazi, shoo anazopiga zinahesabika, sasa hapo unashindwa hesabu ndogo tu hizi?
vinginevyo isiwe tabu, siwezi kukuzuia kuamini kuwa Diamond anauza unga kama umeshaamua hivyo, inspite of the evidence to the contrary. Lakini na wewe usikasirike vile vile eeeh:A S wink:.....captain komba!
 
Hizo hela wanagawanaje wote ie Diamond, Babu Tale na Fella? Maana dollar 15,000/- ni kubwa kama anachukua mtu mmoja? Je kila wiki wanafanya tamasha?
 
Naona tu umepaniki hujui hata unacho andika kajipange vizuri maana unaongea out of topic mara fact sijui na madudu gani irrelevant na mifano haina kichwa wala miguu ndo kutukuwa mwelewa wa mambo na ucelebrity uchwara uliokuja accidentally angekuwa hataki kuongelewa ili kuwaje manager wake akaropoka sasa acheni kuchekesha wenyewe muongee kwenye media ili muonekane mabilionea hafu hamtaki kuongelewa hizo show za kueleweka anazijua mwenyewe non of our bussness sasa mbona unalia sana kuhusu unga only time will tell basi
 

Mwenzio hajui mambo ya burden of proof...just hatred hawez kukuelewa atakutukana tu.
 

sasa hivi ndio nimeangalia ID yako imejiunga lini, ...NISHAKUSOMA! my mistake, YOU WIN!
 
sasa hivi ndio nimeangalia ID yako imejiunga lini, ...NISHAKUSOMA! my mistake, YOU WIN!

Ha ha ha crazy kweli joining jf doesnt matter wewe kwani mtu anakua na id moja umeishiwa tu hoja hadi kuangalia cku ya kujiunga ua an empty set hapo ndo nimejidhorisha kumbe sio great thinker
 
Ha ha ha crazy kweli joining jf doesnt matter wewe kwani mtu anakua na id moja umeishiwa tu hoja hadi kuangalia cku ya kujiunga ua an empty set hapo ndo nimejidhorisha kumbe sio great thinker

wewe mwenyewe ukisoma ulichoandika hapo unakielewa?
 
Hivi ile show ya Ujerumani iliyoleta Fujo aligoma kupanda jukwaani kwa dola ngapi vile?

Punda huyu aache kudanganya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…