Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

Kwa kuongeza sifuri wako vizuri Show ya milioni mbili utasikia milioni mia mbili
 
Miaka kumi gani mingi ili kuonyesha ni uzushi huyo meneja aweke mikataba kiasi anacholipwa asipo weka lazima kuwe na doubt lisemwalo lipo

weka salary slip yako kwanza, mkataba wa malipo in any business ni confidencial.
 

Hii ni Sera ya wanigeria wanaouza poda abroad
 
Mapromota wengne bhana,unadai nje hafanyi shoo isiyozid kiasi kadhaa huku hutaki kuweka uthibitisho,hiyo n njia ya kuwaibia Wtz aonekane yupo juu kweye show zako kwa kujitangza kwenye social media,weka vielelezo ili jamii itambue huo ndo utakua mwisho wa malumbano.
 
"Tunalipwa milioni 20 show moja, tunalipwa dola elfu 25,000 show moja, hii ni zaidi ya madawa ya kulevya," amesema Tale.
 
 
Kaa kimya kama haujui kitu,sio kila range ni vogue...manji ana push range ya kawaida tu billionaire yule.

Mkuu nimeyaona mwenyewe kwa macho ni Vogue.

La Manji niliona ofisini kwake enzi hizo Quality Plaza ,La Mo nilimuona Ocean Road anapita nalo kaweka plate number MO....Hata Nimrodi Mkono ndiyo watu wa kwanza kumiliki Range na alikuwa nazo Mbili Ya Kijani Vogue na Silver Sport na hiyo Sport alikuwa nayo tangu 2006.

Yaani mimi nishindwe kutofautisha Vogue na other range type?




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…