Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Sallam kapigwa stop kuingia USA zamani sana enzi za ujana anaishi majuu aliharibu.. kabla hata diamond hajaanza kuimba na wala hajui kama kuna mtu anaitwa sallam
Hata kama ubunge unalipa, ndy lishatokea hilo la msiba mbele yake,,,anapaswa aachane nalo hilo,,,imeshakuwa mkosi huo,,,na kama ataendelea na mipango yake hiyo? basi hicho kifo cha mkewe ni sehemu ya mipango ya babu tale kugombea ubunge,,,,damu ya mtu ni nzito sana...hiyo story ya babu tale ni sawa na wale majambazi waliovamia sehemu wakafanya ubakaji na uuaji kisha wakatokomea,,, halafu asubuhi yake wakafuata mapanga yao walioyasahau Jana,,,, hyo yote ni nguvu za roho za marehemu,,,ubaya unajidhihirisha waziwawazi...Kwa hio mama akifariki.. baba asiende kutafuta kazi kwa ajili ya watoto wake waishi maisha mazuri?
Huyo huyo babu tale watoto wake wakikosa ada mtamsema mtandaoni..
Hujui ubunge unalipa sana... unajua watoto wa wabunge wanavyoishi maisha mazuri.. sasa babu tale kuwatafutia hayo maisha watoto wake mnamponda. Mnajifanya hamjui ubunge unapatikana kwa kugombea jimboni na sio kila siku kuna mda wake.. babu tale akichelewa aseme amlilie mkewe itambidi asubiri tena hadi 2025.. huku hio miaka mitano watoto wanasota maisha ya kubahatisha.. hadi diamond ampe posho
Wat tha fuk, nikiona hii comment ya kua afanye mishe ile wanawe wapate maisha mazuri, ni upuuzi, alishindwa kufanya hivyo wakati mke yupo hai, kuwapa hayo maisha mazuri hadi wanaenda kuzunguka kwa waheshimiwa wakuu wa mikoa na wilaya kuomba msaada, ndio ije kua sasa hivi atawapa hayo maisha mazuri, thats stupidity, greedy, selfish, angewapa maisha mazuri angali mke yupo hai.Wanaohusisha Ubunge na kutoa kafara akili hawana. Hivi professor J na sugu waliupata ubunge kwa kutoa kafara? Muacheni babu take akatafute kazi mpya wanae waishi maisha mazuri.
Wat tha fuk, nikiona hii comment ya kua afanye mishe ile wanawe wapate maisha mazuri, ni upuuzi, alishindwa kufanya hivyo wakati mke yupo hai, kuwapa hayo maisha mazuri hadi wanaenda kuzunguka kwa waheshimiwa wakuu wa mikoa na wilaya kuomba msaada, ndio ije kua sasa hivi atawapa hayo maisha mazuri, thats stupidity, greedy, selfish, angewapa maisha mazuri angali mke yupo hai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeehNafikiria kama ni Dada yangu ameolewa halafu kafariki hata siku 7 hazijaisha shemeji yangu anaendelea na mishe za ubunge ingeniuma sana asee
Prof Jay Mambo yake ni yepi dear hebu mwaga ubuyuKwa prof jay kaa kimya, tuna files zake. Na ushahidi toshaaah
Uwiiiiiiiih dea ngja ntakupa tyuuh, naona si sahihi kuumwaga hapa.Prof Jay Mambo yake ni yepi dear hebu mwaga ubuyu
Kichwa cha habari Morogoro vijijini habari yenyewe Morogoro mjiniWasalaam,
Meneja wa Diamond Platinumz ambaye amefiwa siku tatu zilizopita ,kuanzia leo ameanza mchakato na kuendelea na mchakato wa kugombea ubunge wa Morogoro vijijini tiketi ya CCM.
Pamoja na mpango huo ndugu zake wa karibu wamekuwa wakiweka shinikizo la kupinga ndugu yao kugombea ubunge hasa kipindi hiki ambacho amefiwa na mke wake na uchaguzi umekaribia, na bahati mbaya ni juzi ametoka kufiwa na mke wake hivyo haitaleta picha nzuri kwenye jamii kwani ubunge usimfanye akasahau utu na yeye ni mfiwa hata msiba hajapoa na hata udongo kwenye kaburi la mkewe haujashikana.
Lakini ushauri wa ndugu na watu wa karibu wa Tale umegonga mwamba kwani waki ijayo Babu Tale anatarajia kwenda kuweka kambi Morogoro kwaajili ya maandalizi ya kugombea ubunge wa Morogoro Mjini.
Morogoro vijijini mbunge alikuwa Mzee Mbena. Hilo jimbo ukiwa chama tawala unachukua mapema.
[/QUOTE
Morogoro (V) lina majimbo mawili, Kusini Magharibi ambapo yupo mzee Mbena na Kusini Mashariki yupo Mgumba. So Tale yeye anataka Kusini Mashariki ili apambane vizuri na Mgumba.
Uzuri wao wote ni wazaliwa wa huko huko Mkuyuni.
We nae kama we huamini mi naamini vipo ok?Kwani uchawi na ushirikina au majini yanaaminika kweli?
Duh dhana ya utupu akilini inatutesa sana
umeruka point ya msingi yani unataka kufika kigoma ila unazungukia marekaniUna uhakika kuwa hakuwa na mipango ya kuwa mbunge mwaka huu kabla mpenziwe hajafa? Unataka kusema kuwa mshahara wa umeneja na ubunge ni sawa? Narudia tena "Acha jamaa apate ubunge watoto waishi". Ubunge ungekuwa haulipi basi watu wasingeacha kazi zao za maana wakaukimbilia.
Anafanya nini kwani yaani uhusika wake kwa jamii ya kitanzania uko wapi
Ni mahikirina maarufu sana hapa mjiniAnafanya nini kwani yaani uhusika wake kwa jamii ya kitanzania uko wapi
Eeeh kweli asee, Umenikumbusha hiyo na rangi ya pazia mweeh![emoji848]Hata jinsi upande wa juu wa jeneza ulivyoelekea usawa wa dirisha lilikowa na pazia lenye Nembo.....Dah Maisha Bana.
Wabongo wengi ni wanafiki wanafiki.Kwa hio mama akifariki.. baba asiende kutafuta kazi kwa ajili ya watoto wake waishi maisha mazuri?
Huyo huyo babu tale watoto wake wakikosa ada mtamsema mtandaoni..
Hujui ubunge unalipa sana... unajua watoto wa wabunge wanavyoishi maisha mazuri.. sasa babu tale kuwatafutia hayo maisha watoto wake mnamponda. Mnajifanya hamjui ubunge unapatikana kwa kugombea jimboni na sio kila siku kuna mda wake.. babu tale akichelewa aseme amlilie mkewe itambidi asubiri tena hadi 2025.. huku hio miaka mitano watoto wanasota maisha ya kubahatisha.. hadi diamond ampe posho