Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Sallam kapigwa stop kuingia USA zamani sana enzi za ujana anaishi majuu aliharibu.. kabla hata diamond hajaanza kuimba na wala hajui kama kuna mtu anaitwa sallam

mkuu, ni kweli Sallam alikuwa meneja/promoter wa Mr nice alafu akamtapeli Nice ?
 
Kwa hio mama akifariki.. baba asiende kutafuta kazi kwa ajili ya watoto wake waishi maisha mazuri?

Huyo huyo babu tale watoto wake wakikosa ada mtamsema mtandaoni..

Hujui ubunge unalipa sana... unajua watoto wa wabunge wanavyoishi maisha mazuri.. sasa babu tale kuwatafutia hayo maisha watoto wake mnamponda. Mnajifanya hamjui ubunge unapatikana kwa kugombea jimboni na sio kila siku kuna mda wake.. babu tale akichelewa aseme amlilie mkewe itambidi asubiri tena hadi 2025.. huku hio miaka mitano watoto wanasota maisha ya kubahatisha.. hadi diamond ampe posho
Hata kama ubunge unalipa, ndy lishatokea hilo la msiba mbele yake,,,anapaswa aachane nalo hilo,,,imeshakuwa mkosi huo,,,na kama ataendelea na mipango yake hiyo? basi hicho kifo cha mkewe ni sehemu ya mipango ya babu tale kugombea ubunge,,,,damu ya mtu ni nzito sana...hiyo story ya babu tale ni sawa na wale majambazi waliovamia sehemu wakafanya ubakaji na uuaji kisha wakatokomea,,, halafu asubuhi yake wakafuata mapanga yao walioyasahau Jana,,,, hyo yote ni nguvu za roho za marehemu,,,ubaya unajidhihirisha waziwawazi...
 
Wanaohusisha Ubunge na kutoa kafara akili hawana. Hivi professor J na sugu waliupata ubunge kwa kutoa kafara? Muacheni babu take akatafute kazi mpya wanae waishi maisha mazuri.
Wat tha fuk, nikiona hii comment ya kua afanye mishe ile wanawe wapate maisha mazuri, ni upuuzi, alishindwa kufanya hivyo wakati mke yupo hai, kuwapa hayo maisha mazuri hadi wanaenda kuzunguka kwa waheshimiwa wakuu wa mikoa na wilaya kuomba msaada, ndio ije kua sasa hivi atawapa hayo maisha mazuri, thats stupidity, greedy, selfish, angewapa maisha mazuri angali mke yupo hai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wat tha fuk, nikiona hii comment ya kua afanye mishe ile wanawe wapate maisha mazuri, ni upuuzi, alishindwa kufanya hivyo wakati mke yupo hai, kuwapa hayo maisha mazuri hadi wanaenda kuzunguka kwa waheshimiwa wakuu wa mikoa na wilaya kuomba msaada, ndio ije kua sasa hivi atawapa hayo maisha mazuri, thats stupidity, greedy, selfish, angewapa maisha mazuri angali mke yupo hai.

Sent using Jamii Forums mobile app

Una uhakika kuwa hakuwa na mipango ya kuwa mbunge mwaka huu kabla mpenziwe hajafa? Unataka kusema kuwa mshahara wa umeneja na ubunge ni sawa? Narudia tena "Acha jamaa apate ubunge watoto waishi". Ubunge ungekuwa haulipi basi watu wasingeacha kazi zao za maana wakaukimbilia.
 
Wasalaam,

Meneja wa Diamond Platinumz ambaye amefiwa siku tatu zilizopita ,kuanzia leo ameanza mchakato na kuendelea na mchakato wa kugombea ubunge wa Morogoro vijijini tiketi ya CCM.

Pamoja na mpango huo ndugu zake wa karibu wamekuwa wakiweka shinikizo la kupinga ndugu yao kugombea ubunge hasa kipindi hiki ambacho amefiwa na mke wake na uchaguzi umekaribia, na bahati mbaya ni juzi ametoka kufiwa na mke wake hivyo haitaleta picha nzuri kwenye jamii kwani ubunge usimfanye akasahau utu na yeye ni mfiwa hata msiba hajapoa na hata udongo kwenye kaburi la mkewe haujashikana.

Lakini ushauri wa ndugu na watu wa karibu wa Tale umegonga mwamba kwani waki ijayo Babu Tale anatarajia kwenda kuweka kambi Morogoro kwaajili ya maandalizi ya kugombea ubunge wa Morogoro Mjini.
Kichwa cha habari Morogoro vijijini habari yenyewe Morogoro mjini
 
Aisee kwa hiyo monong'ono ya Kafara inaweza kuwa kweli? Aiseeeeeeeee
 
Morogoro vijijini mbunge alikuwa Mzee Mbena. Hilo jimbo ukiwa chama tawala unachukua mapema.
[/QUOTE
Morogoro (V) lina majimbo mawili, Kusini Magharibi ambapo yupo mzee Mbena na Kusini Mashariki yupo Mgumba. So Tale yeye anataka Kusini Mashariki ili apambane vizuri na Mgumba.

Uzuri wao wote ni wazaliwa wa huko huko Mkuyuni.
 
Una uhakika kuwa hakuwa na mipango ya kuwa mbunge mwaka huu kabla mpenziwe hajafa? Unataka kusema kuwa mshahara wa umeneja na ubunge ni sawa? Narudia tena "Acha jamaa apate ubunge watoto waishi". Ubunge ungekuwa haulipi basi watu wasingeacha kazi zao za maana wakaukimbilia.
umeruka point ya msingi yani unataka kufika kigoma ila unazungukia marekani
unasema kua autafute ubunge ili awe na maisha mazuri, ndio nauliza hayo maisha mazuri hajawapa wanae au na mkewe akiwa bado yupo hai? Mume upo ila mkeo anazunguka kuomba msaada kwanini...
 
Nimeanza kusoma page 1 mpaka hapa huyu binti bado hajafika tu?
 
Ni Bongo tu ndio kuna haya maajabu ya kiswahili, Mke alishafariki, alishazikwa, habari yake duniani imekwisha kwahiyo hilo halipaswi kumzuia jamaa kugombea ubunge.

Mtu akishakufa baas, haizuii maisha mengine kuendelea, haya mengine ni Uswahili tu.
 
Kwa hio mama akifariki.. baba asiende kutafuta kazi kwa ajili ya watoto wake waishi maisha mazuri?

Huyo huyo babu tale watoto wake wakikosa ada mtamsema mtandaoni..

Hujui ubunge unalipa sana... unajua watoto wa wabunge wanavyoishi maisha mazuri.. sasa babu tale kuwatafutia hayo maisha watoto wake mnamponda. Mnajifanya hamjui ubunge unapatikana kwa kugombea jimboni na sio kila siku kuna mda wake.. babu tale akichelewa aseme amlilie mkewe itambidi asubiri tena hadi 2025.. huku hio miaka mitano watoto wanasota maisha ya kubahatisha.. hadi diamond ampe posho
Wabongo wengi ni wanafiki wanafiki.
 
Back
Top Bottom