Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Sallam kapigwa stop kuingia USA zamani sana enzi za ujana anaishi majuu aliharibu.. kabla hata diamond hajaanza kuimba na wala hajui kama kuna mtu anaitwa sallam
mkuu, ni kweli Sallam alikuwa meneja/promoter wa Mr nice alafu akamtapeli Nice ?