Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kwa Diamond mgawo ni wengi. Na madawa ya kulevya biashara Magufuli kabana. Sasa kisa ni popular kishajiona anafaa kuwa mbunge. Any way ni haki yake kikatiba.Hivi inawezekana babu tale hapo kwa diamond akiwa kama manager hana anachokipata?kweli umaarufu mzigo mzito....basi ni kweli lisemwalo lipo,,,na MUNGU hamfichi mnafiki,,nikitafakari sana kile kilio chake kwenye msiba,,niliona ipo sinema ndani yake...
Halafu kwani watu before ubunge walikuwa wanaishije?
Maana majority ni raia wa kawaida kwani hatuishi, pesa zipo na zinataftwa tu lakini when ur loved one is gone atleast Kuna kipindi, flani hivi.
Yaan mpaka nimeogopa[emoji26]Kweli huyu jamaa since 2015 Kuna Uzi humu, angetulia kidogo kwanza kuepusha maneno ya waja, hafu morogoro mjini Kuna abood pale kumtoa kazi si ndogo.
Ubunge utateketeza wengi
Kile si kilio cha huzuni, hata mtoto mdogo angecheki angejua tuuHivi inawezekana babu tale hapo kwa diamond akiwa kama manager hana anachokipata?kweli umaarufu mzigo mzito....basi ni kweli lisemwalo lipo,,,na MUNGU hamfichi mnafiki,,nikitafakari sana kile kilio chake kwenye msiba,,niliona ipo sinema ndani yake...
Basi atapata ubungeNi Morogoro vijijini ndo anagombea. Sijui ni nani mbunge wa Morogoro vijijini anaemaliza muda wake.
Na JoJoUnaona jamaa wala hata hajatulia kusubiri arobaini ya mkewe. Ubunge ndo priority yake. No wonder mkewe alimuomba Makonda amlelee wanae.
Ndoa ndoano..wahenga hawakukoseaKwa hili kama ilikuwa ni kweli basi jamaa alikuwa na shida kubwa na mkewe ingawa hikuwa rahisi sana kuigundua.
Hili pia nililishangaa kuwa mke anaombaje msaada wa kulelewa watoto, ni either mume hana hela or mume halikua hana mapenzi ya dhati na familia yakeUnaona jamaa wala hata hajatulia kusubiri arobaini ya mkewe. Ubunge ndo priority yake. No wonder mkewe alimuomba Makonda amlelee wanae.
We ni mganga/ kalumanzila mkuu?Kwa hesabu za kawaida bado kuna mambo mazito yamezunguka juu ya saga zima hili.. wingu hilo zote kwa sasa itakuwa ni tafrani kwa upande wa pili. Yawezekana mke alishajua yeye ndio target na ndio maana alianza harakati mapema za kujikomboa(hii ni kwa mujibu wa post flani flani) sasa mbaya zaidi ni kule alikokimbilia ni moto utawaka. Maana ile laser guided missle ukishatumiwa na target iko locked ku intercept inatakiwa utaalam mkubwa. Sina shaka na mtaalam aliemkimbilia, ila tatizo ni life style ya muhusika! Life style inaua nguvu na karama na hata vipawa vya kutibu... alijaribu ila ndio hivyo kombora lilimuondoa mlengwa!
Kazi kwa picha za msiba ule kule Moro, sanduku kuwekwa chini ardhini ndani ya nyumba na huku likiwa juu ya jamvi nusu mwili (Yani nusu juu ya jamvi na nusu juu ya ardhi) na mpangilio wa watu kuzunguka pale ni viashiria tosha kwamba chain ile imekuwa unbreakable..tutarajie uvunaji wa jamaa zaidi kwenye familia yake. Na kwa yule aliejaribu ku intercept lile kombora ndio atamezwa taaluma yake maana maziko yale yalizika vingi/mengi... ngoja tuone
[emoji51][emoji51][emoji28]Kufanyia mpunga wa rambi rambi kwenye kampeni hii vipi [emoji848]
Ila kwa vichwa wa watu Morogoro vijijini Tale angepitishwa angeshinda bila hata hizo mambo ya gizaNi Morogoro vijijini ndo anagombea. Sijui ni nani mbunge wa Morogoro vijijini anaemaliza muda wake.