Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Acheni unafiki... babu tale anachofanya ni sahihi.. hana tofauti na mtu mwingine anaetafuta kazi maana hata kipindi cha msiba.. kuna watu wanaenda kwenye interview za kazi..

Babu tale kamuuguza mkewe, amemzika vizuri, ila watu hamridhiki.. baada ya msiba baba si anaenda kazini.. kipindi cha matanga kikifika anashiriki kama kawaida.. babu tale ni mtu makini sana...japo hajasoma sana ila amelea familia yake vizuri tena kwa ustaarabu.. watu wengi wenye kazi kama zake za kusimamia wasaniii ndoa zimewashinda... ila babu tale na uislam wake ameoa mke mmoja na wameishi vizuri bila skendo mpaka kifo kimewatengenisha...

Ameshamzika mke wake.. mwacheni akatafute kazi kwa ajili ya watoto wake awalee vizuri

Maana mnamponda humu huku hamumsaidii kutunza familia... akikaa nyumbani mtamlisha nyinyi na kumlipia ada..

Ubunge una maandalizi yake.. huupati kwa zima moto... watia nia wote kipindi hiki wapo majimboni wanapiga figisu figisu... why mnataka babu tale achelewe akute wenzake wameshamtangulia na kumwacha mbali kwenye figisu... kuwahi muhimu
Mimi si mnafiki hayo yalikuwa maoni yangu Kama wewe unavotoa ya kwako na yaheshimu na Wala sio unafiki sawa.

Hoja yako nimeishia kwa unafiki kwingine sijasoma kabisa
 
Enzi za JK hawa walikuwa wakisafiri wanabeba na ganda.Mpaka leo Sallam kapigwa stop kuingia USA.
Sasa Kama Ganda zimezuiliwa Hali ngumu ya kifezwa wataanza kutoana Sana kafara kumbe ni mirija tu imezibwa.
 
Maisha lazma yaendelee ila kwa abood ni mzik mwingine
Labda kafara iwe nzito any way Maisha ni kupambana
 
Hakuwa mnafiki,kaonyesha jamii kuwa mwisho wa huzuni yake ni hizo siku chache,na hapa ndio unaweza kuunganisha dots za mahusiano yake na mkewe wakati wa uhai wake yalikuwaje...
Exactly kabisa
 
Tatizo kwa Diamond mgawo ni wengi. Na madawa ya kulevya biashara Magufuli kabana. Sasa kisa ni popular kishajiona anafaa kuwa mbunge. Any way ni haki yake kikatiba.
Duu,,aisee!!
 
Back
Top Bottom