Babu Tale na Diamond Platinumz mbona Mwenzenu Bondia Tyson kakiri kuwa P Diddy alitaka Kumshika paja akashtuka ila nyie hamfunguki zaidi kama Yeye?

Babu Tale na Diamond Platinumz mbona Mwenzenu Bondia Tyson kakiri kuwa P Diddy alitaka Kumshika paja akashtuka ila nyie hamfunguki zaidi kama Yeye?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Bondia Mstaafu na Mwigizaji wa Filamu Mike Tyson amefunguka kuwa siku moja akiwa kwenye Kipindi Cha Televisheni na P Diddy wakiwa wamekaa kwenye kochi moja alishangaa kuona mkono wa P Diddy umemgusa kwenye mapaja yake, Tyson alishituka sana kisha akauondoa mkono huo haraka sana na akakaa mbali naye, baada ya Kipindi kuisha alimfata Diddy na akamuambia kuwa yeye ni Chui na Chui hawalaliwi.

"During a talk show on live tv, he (Diddy) started making body contacts, as in placing his hands on my laps. In my heart, I was like; "what a F*! what is this nigha doing?"

I was almost losing my steeze when I jokingly removed his hands and shifted myself away from him and we both laughed over it.

Pia soma: Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

But after the show, when we were off cam, I walked up straight to him and i said.

"LOOK MAN, LETS RESPECT BOUNDARIES, I AM A TIGER and TIGERS DONT GET LAID"----Tyson.

Chanzo: Mitandao ya Ulaya

Kwa utafiti wangu mdogo tu nahisi P Diddy kawachana pia Marinda Mastaa wengi sana Duniani hadi wanaokanusha.
 
Bondia Mstaafu na Mwigizaji wa Filamu Mike Tyson amefunguka kuwa siku moja akiwa kwenye Kipindi Cha Televisheni na P Diddy wakiwa wamekaa kwenye kochi moja alishangaa kuona mkono wa P Diddy umemgusa kwenye mapaja yake, Tyson alishituka sana kisha akauondoa mkono huo haraka sana na akakaa mbali naye, baada ya Kipindi kuisha alimfata Diddy na akamuambia kuwa yeye ni Chui na Chui hawalaliwi.

"During a talk show on live tv, he (Diddy) started making body contacts, as in placing his hands on my laps. In my heart, I was like; "what a f#ck! what is this nigha doing?"

I was almost losing my steeze when I jokingly removed his hands and shifted myself away from him and we both laughed over it.

But after the show, when we were off cam, I walked up straight to him and i said.

"LOOK MAN, LETS RESPECT BOUNDARIES, I AM A TIGER and TIGERS DONT GET LAID"----Tyson.

Chanzo: Mitandao ya Ulaya

Kwa utafiti wangu mdogo tu nahisi P Diddy kawachana pia Marinda Mastaa wengi sana Duniani hadi wanaokanusha.
Mkuu wamesema waliishia Chumbani wewe unataka kujua nini zaidi?
 
Bondia Mstaafu na Mwigizaji wa Filamu Mike Tyson amefunguka kuwa siku moja akiwa kwenye Kipindi Cha Televisheni na P Diddy wakiwa wamekaa kwenye kochi moja alishangaa kuona mkono wa P Diddy umemgusa kwenye mapaja yake, Tyson alishituka sana kisha akauondoa mkono huo haraka sana na akakaa mbali naye, baada ya Kipindi kuisha alimfata Diddy na akamuambia kuwa yeye ni Chui na Chui hawalaliwi.

"During a talk show on live tv, he (Diddy) started making body contacts, as in placing his hands on my laps. In my heart, I was like; "what a f#ck! what is this nigha doing?"

I was almost losing my steeze when I jokingly removed his hands and shifted myself away from him and we both laughed over it.

But after the show, when we were off cam, I walked up straight to him and i said.

"LOOK MAN, LETS RESPECT BOUNDARIES, I AM A TIGER and TIGERS DONT GET LAID"----Tyson.

Chanzo: Mitandao ya Ulaya

Kwa utafiti wangu mdogo tu nahisi P Diddy kawachana pia Marinda Mastaa wengi sana Duniani hadi wanaokanusha.
Harafu nilikuwa najua hizi ni stori tu za udaku....kumbe kweli walifika kwa Didi hadi nyumbani?
 
Hili jambo limekuwa kubwa kwasababu watu wengi sio wafuatiliaji wa conspiracy theories, Lakini ni mambo ya kawaida kwa industries za muziki na sanaa hapa duniani.

Huyo P didy ni cha mtoto, mwamba ni Jay Z na ukitaka kujua hilo muulize Justin Bieber kilicho mkuta.
 
Hao wote waliyoenda washapelekewa moto,waliambiwa tu si mnataka umaarufu na fedha Acha niwapakae mafuta niwachomek3ni mkunyenge
Mambo yenu yatakuwa mukide

Hao lazima wameliwaa tu

Si unasikia miziki yao wanayoimba
Mara nasikia genye, sjui npeleke moto,npake mafuta...yote inadhirihishaaa washapasuliwa

Ova
 
Hao wote waliyoenda washapelekewa moto,waliambiwa tu si mnataka umaarufu na fedha Acha niwapakae mafuta niwachomek3ni mkunyenge
Mambo yenu yatakuwa mukide

Hao lazima wameliwaa tu

Si unasikia miziki yao wanayoimba
Mara nasikia genye, sjui npeleke moto,npake mafuta...yote inadhirihishaaa washapasuliwa

Ova
Hili wala sishangai....mtu anaua mtoto wake kutoa kafara sembuse kuuza inya?
 
Hili suala sielewi kwanini jamaa anawafanyia mastaa wenzake hio michezo.

Ni kama maagano ya ushetani ya yeye kutanirika zaidi? Au kwake ndio starehe zake? Au akiwalawiti ndipo wanapata mafanikio kishirikina?

Haya masuala yanafikirisha sana...
 
Hao wote waliyoenda washapelekewa moto,waliambiwa tu si mnataka umaarufu na fedha Acha niwapakae mafuta niwachomek3ni mkunyenge
Mambo yenu yatakuwa mukide

Hao lazima wameliwaa tu

Si unasikia miziki yao wanayoimba
Mara nasikia genye, sjui npeleke moto,npake mafuta...yote inadhirihishaaa washapasuliwa

Ova
Hata Mimi Mkuu nakubaliana nawe 100% kuwa P Diddy aliwapelekea Moto hawa Wote walioenda Kwake japo wanaficha.
 
Hili suala sielewi kwanini jamaa anawafanyia mastaa wenzake hio michezo.

Ni kama maagano ya ushetani ya yeye kutanirika zaidi? Au kwake ndio starehe zake? Au akiwalawiti ndipo wanapata mafanikio kishirikina?

Haya masuala yanafikirisha sana...
Babu Tale na Diamond Platinumz wanaweza wakawa na Majibu sahihi.
 
Screenshot_20240925-193819_X.jpg
 
Bondia Mstaafu na Mwigizaji wa Filamu Mike Tyson amefunguka kuwa siku moja akiwa kwenye Kipindi Cha Televisheni na P Diddy wakiwa wamekaa kwenye kochi moja alishangaa kuona mkono wa P Diddy umemgusa kwenye mapaja yake, Tyson alishituka sana kisha akauondoa mkono huo haraka sana na akakaa mbali naye, baada ya Kipindi kuisha alimfata Diddy na akamuambia kuwa yeye ni Chui na Chui hawalaliwi.

"During a talk show on live tv, he (Diddy) started making body contacts, as in placing his hands on my laps. In my heart, I was like; "what a f#ck! what is this nigha doing?"

I was almost losing my steeze when I jokingly removed his hands and shifted myself away from him and we both laughed over it.

But after the show, when we were off cam, I walked up straight to him and i said.

"LOOK MAN, LETS RESPECT BOUNDARIES, I AM A TIGER and TIGERS DONT GET LAID"----Tyson.

Chanzo: Mitandao ya Ulaya

Kwa utafiti wangu mdogo tu nahisi P Diddy kawachana pia Marinda Mastaa wengi sana Duniani hadi wanaokanusha.
Wafunguke ili iweje?
 
Hao wote waliyoenda washapelekewa moto,waliambiwa tu si mnataka umaarufu na fedha Acha niwapakae mafuta niwachomek3ni mkunyenge
Mambo yenu yatakuwa mukide

Hao lazima wameliwaa tu

Si unasikia miziki yao wanayoimba
Mara nasikia genye, sjui npeleke moto,npake mafuta...yote inadhirihishaaa washapasuliwa

Ova
Kanye west anakuambia kuna mtu aliahidiwa $200m
 
Back
Top Bottom