Babu Tale na Diamond Platinumz mbona Mwenzenu Bondia Tyson kakiri kuwa P Diddy alitaka Kumshika paja akashtuka ila nyie hamfunguki zaidi kama Yeye?

Babu Tale na Diamond Platinumz mbona Mwenzenu Bondia Tyson kakiri kuwa P Diddy alitaka Kumshika paja akashtuka ila nyie hamfunguki zaidi kama Yeye?

Kilichompeleka la masimba ni tamaa ya kuipata Tuzo ya Grammy awards. Kama ilivyokuwa kwa wizkid, na Burna boy wa Nigeria mana mzee wa upako ni mhusika kwenye hizo tuzo.

Ila kuna kitu cha kujiuliza zaidi ya kuwaza kuhusu kupakana mafuta tu, je faida gani ye Hupata mbali na burudani tu kiasi cha kumfanya atoe pesa kwa celebretes wanaoenda chumbani kwake?🤔

Em niwaze Vipi kama anatumia wageni wa party yake kama sehemu ya soko lake la kuwauza wasichana na vijana wakiume kwa wamama na kwa wanaume wenzao ambao ni mashoga na hao macelibretes wanaoendaga huenda kuwa ni sehem ya wateja wake!🤔

Ila nawaza pia ni Vipi kama anafanya mapenzi na wasanii wakubwa kisha anawalazimisha wawe mawakala wake wa biashara haramu za human trafficking kwa wanawake wazuri na vijana wenye mvuto ambao yeye huwatumia kama bidhaa kwa wateja wake?🤔

Vipi kama anawalazimisha watu wawe mawakala wa kusambaza dawa za kulevya duniani kwa kuwatishia dhidi ya picha chafu alizonazo za hao watu mashuhuri??🤔

Mana haimake sense kama ye atoe pesa tu awagonge wenzake alafu iwe basi tu!

Ila itafahamika tu 😂
 
Kilichompeleka la masimba ni tamaa ya kuipata Tuzo ya Grammy awards. Kama ilivyokuwa kwa wizkid, na Burna boy wa Nigeria mana mzee wa upako ni mhusika kwenye hizo tuzo.

Ila kuna kitu cha kujiuliza zaidi ya kuwaza kuhusu kupakana mafuta tu, je faida gani ye Hupata mbali na burudani tu kiasi cha kumfanya atoe pesa kwa celebretes wanaoenda chumbani kwake?🤔

Em niwaze Vipi kama anatumia wageni wa party yake kama sehemu ya soko lake la kuwauza wasichana na vijana wakiume kwa wamama na kwa wanaume wenzao ambao ni mashoga na hao macelibretes wanaoendaga huenda kuwa ni sehem ya wateja wake!🤔

Ila nawaza pia ni Vipi kama anafanya mapenzi na wasanii wakubwa kisha anawalazimisha wawe mawakala wake wa biashara haramu za human trafficking kwa wanawake wazuri na vijana wenye mvuto ambao yeye huwatumia kama bidhaa kwa wateja wake?🤔

Vipi kama anawalazimisha watu wawe mawakala wa kusambaza dawa za kulevya duniani kwa kuwatishia dhidi ya picha chafu alizonazo za hao watu mashuhuri??🤔

Mana haimake sense kama ye atoe pesa tu awagonge wenzake alafu iwe basi tu!

Ila itafahamika tu 😂
Hii miziki yao ina mambo mengi sana+uchafu mwingi,ili uwe maarufu wanapitia mengi

Ova
 
Kama watu maarufu wanaoshinda na diddy wamekandwa ikafika mpaka kwa mwamba Tyson akachomoa ndo hawa wa tandale waliofika mpaka maskani ya diddy chumbani fisrt time wasikandwe?!
Nawaza kumbe wale madogo wa Mbagala na Mwanayamala tunawaonea sana.

Wenye hela na umaarufu wanadinywa sas aitakuwaje kwa hawa kajamba nani wanashinda na njaa wanalalia Kipande cha mkate na miguu ya kuku?
 
Nawaza kumbe wale madogo wa Mbagala na Mwanayamala tunawaonea sana.

Wenye hela na umaarufu wanadinywa sas aitakuwaje kwa hawa kajamba nani wanashinda na njaa wanalalia Kipande cha mkate na miguu ya kuku?
Kila mtu anamkamata mnyonge wake,mjini kuna vijana wakipewa crown athletic na iPhone 14,sjui 20
Wanadinywaaa
Vijana wa makumbusho na sinza
Wanaopenda kushinda maduka ya nguo na sim wanapenda shotkut kazi laini laini kutwa kupendeza
Waflj wakiwatokea wakiqaahidi pesa hawakatai

Ova
 
Kilichompeleka la masimba ni tamaa ya kuipata Tuzo ya Grammy awards. Kama ilivyokuwa kwa wizkid, na Burna boy wa Nigeria mana mzee wa upako ni mhusika kwenye hizo tuzo.

Ila kuna kitu cha kujiuliza zaidi ya kuwaza kuhusu kupakana mafuta tu, je faida gani ye Hupata mbali na burudani tu kiasi cha kumfanya atoe pesa kwa celebretes wanaoenda chumbani kwake?🤔

Em niwaze Vipi kama anatumia wageni wa party yake kama sehemu ya soko lake la kuwauza wasichana na vijana wakiume kwa wamama na kwa wanaume wenzao ambao ni mashoga na hao macelibretes wanaoendaga huenda kuwa ni sehem ya wateja wake!🤔

Ila nawaza pia ni Vipi kama anafanya mapenzi na wasanii wakubwa kisha anawalazimisha wawe mawakala wake wa biashara haramu za human trafficking kwa wanawake wazuri na vijana wenye mvuto ambao yeye huwatumia kama bidhaa kwa wateja wake?🤔

Vipi kama anawalazimisha watu wawe mawakala wa kusambaza dawa za kulevya duniani kwa kuwatishia dhidi ya picha chafu alizonazo za hao watu mashuhuri??🤔

Mana haimake sense kama ye atoe pesa tu awagonge wenzake alafu iwe basi tu!

Ila itafahamika tu 😂
Hata Mimi najiuliza hapa
 
Hao wote waliyoenda washapelekewa moto,waliambiwa tu si mnataka umaarufu na fedha Acha niwapakae mafuta niwachomek3ni mkunyenge
Mambo yenu yatakuwa mukide

Hao lazima wameliwaa tu

Si unasikia miziki yao wanayoimba
Mara nasikia genye, sjui npeleke moto,npake mafuta...yote inadhirihishaaa washapasuliwa

Ova
Wewe mshikaji utanipasua bandama🤣🤣🤣🤣
 
Alimwambia 50 cents anataka akamfanyie shopping.

50 akamuona huyu jamaa kawehuka nini?

Halafu Diddy alipohojiwa alikiri kwa kujitetea kuwa ni kiushikaji tu kama mwanangu amemuelewa kama mwana na blaa blaaa kibao.
 

Attachments

  • 0ba42fdb2f71175299954625f8088a2a.mp4
    2.3 MB
Bongo umaskini wetu ni WA kwenye mifupa, yaaan ambavyo mnashadadia ishu ya mondi na pdidy Mara sijui Salam sk yaan hata sielewi Kuna faida gani mnapata... Nyie mtakua mmetumwa sio Bure, maana kama taifa Kuna mengi ya kujifunza ama kufundishana Ili taifa lisonge mbele ila nyie ni kama mna ajenda ya kuhribu dhima ama lengo la majukwaa haya Kwa kuanzisha mada zisizo kuwa na faida yoyote Kwa wengine... Nyie sio watu wa kawaida, na msitumike ivyo mtajilaumu sana badae... Majuto ni mjukuu!
 
Bongo umaskini wetu ni WA kwenye mifupa, yaaan mbavyo shadadia ishu ya mondi na pdidy Mara sijui Salam sk yaan hata sielewi Kuna faida gani mnapata... Nyie mtakua mmetumwa sio Bure, maana kama taifa Kuna mengi ya kujifunza ama kufundishana Ili taifa lisonge mbele ila nyie ni kama mna ajenda ya kuhribu dhima ama lengo la majukwaa haya Kwa kuanzisha mada zisizo kuwa na faida yoyote Kwa wengine... Nyie sio watu wa kawaida, na msitumike ivyo mtajilaumu sana badae... Majuto ni mjukuu!
🤔🤔🤔
 
Bongo umaskini wetu ni WA kwenye mifupa, yaaan ambavyo mnashadadia ishu ya mondi na pdidy Mara sijui Salam sk yaan hata sielewi Kuna faida gani mnapata... Nyie mtakua mmetumwa sio Bure, maana kama taifa Kuna mengi ya kujifunza ama kufundishana Ili taifa lisonge mbele ila nyie ni kama mna ajenda ya kuhribu dhima ama lengo la majukwaa haya Kwa kuanzisha mada zisizo kuwa na faida yoyote Kwa wengine... Nyie sio watu wa kawaida, na msitumike ivyo mtajilaumu sana badae... Majuto ni mjukuu!
We jamaa hovyo kabisa, sasa wewe kwenye huu uzi unatafuta nn au una mpango wa kujutia pia.
Wabongo bhana.
 
Back
Top Bottom