Babu Tale na Diamond Platinumz mbona Mwenzenu Bondia Tyson kakiri kuwa P Diddy alitaka Kumshika paja akashtuka ila nyie hamfunguki zaidi kama Yeye?

Babu Tale na Diamond Platinumz mbona Mwenzenu Bondia Tyson kakiri kuwa P Diddy alitaka Kumshika paja akashtuka ila nyie hamfunguki zaidi kama Yeye?

Bongo umaskini wetu ni WA kwenye mifupa, yaaan ambavyo mnashadadia ishu ya mondi na pdidy Mara sijui Salam sk yaan hata sielewi Kuna faida gani mnapata... Nyie mtakua mmetumwa sio Bure, maana kama taifa Kuna mengi ya kujifunza ama kufundishana Ili taifa lisonge mbele ila nyie ni kama mna ajenda ya kuhribu dhima ama lengo la majukwaa haya Kwa kuanzisha mada zisizo kuwa na faida yoyote Kwa wengine... Nyie sio watu wa kawaida, na msitumike ivyo mtajilaumu sana badae... Majuto ni mjukuu!
Kwa Kashfa hii Kubwa vipi mwakani utagombea tena huo Ubunge wako hapo Morogoro au utaachana nao? P Diddy kweli Kiboko.
 
We jamaa hovyo kabisa, sasa wewe kwenye huu uzi unatafuta nn au una mpango wa kujutia pia.
Wabongo bhana.
Ina maana Mkuu hujamjua huyo ni nani? Mwakani nachukua Fomu ili Kushindana nae Kugombea Ubunge huko Jimboni Kwake Morogoro aliko sasa.
 
Kuna uhusiano mkubwa kati ya Umaarufu, fedha,na ushoga.
Angalia mashoga waliopo wasafi
 
Hili jambo limekuwa kubwa kwasababu watu wengi sio wafuatiliaji wa conspiracy theories, Lakini ni mambo ya kawaida kwa industries za muziki na sanaa hapa duniani.

Huyo P didy ni cha mtoto, mwamba ni Jay Z na ukitaka kujua hilo muulize Justin Bieber kilicho mkuta.
jay z kafanyaje tena...naye hizo ndo kazi zake!!!
 
jay z kafanyaje tena...naye hizo ndo kazi zake!!!
I know it's hard to believe this, Lakini Jaz z ni mbaya zaidi kuliko wote. Imagine mtu anakunywa hadi damu za watoto ( Adrenochrome) Kama ushawahi kusikia hiyo kitu.


Bieber alienda kwake wakati bado hajawa mkubwa sana kwenye mziki, akapewa mtoto wa miaka 12 (wakiume) akaambiwa amalizane naye, yani amshuhulikie kitandani.
 
Kilichompeleka la masimba ni tamaa ya kuipata Tuzo ya Grammy awards. Kama ilivyokuwa kwa wizkid, na Burna boy wa Nigeria mana mzee wa upako ni mhusika kwenye hizo tuzo.

Ila kuna kitu cha kujiuliza zaidi ya kuwaza kuhusu kupakana mafuta tu, je faida gani ye Hupata mbali na burudani tu kiasi cha kumfanya atoe pesa kwa celebretes wanaoenda chumbani kwake?🤔

Em niwaze Vipi kama anatumia wageni wa party yake kama sehemu ya soko lake la kuwauza wasichana na vijana wakiume kwa wamama na kwa wanaume wenzao ambao ni mashoga na hao macelibretes wanaoendaga huenda kuwa ni sehem ya wateja wake!🤔

Ila nawaza pia ni Vipi kama anafanya mapenzi na wasanii wakubwa kisha anawalazimisha wawe mawakala wake wa biashara haramu za human trafficking kwa wanawake wazuri na vijana wenye mvuto ambao yeye huwatumia kama bidhaa kwa wateja wake?🤔

Vipi kama anawalazimisha watu wawe mawakala wa kusambaza dawa za kulevya duniani kwa kuwatishia dhidi ya picha chafu alizonazo za hao watu mashuhuri??🤔

Mana haimake sense kama ye atoe pesa tu awagonge wenzake alafu iwe basi tu!

Ila itafahamika tu 😂
Najaribu kuwaza mtu tajiri kama huyu,hivi unapomuuza mtu akatumike kingono na mtu mwingine inamlipa yeye kiasi gani?kuna kitu hata mimi nakiona hapo,inawezekana akishatembea na mtu na kuchukua video ya tukio,anakupa assignment ya wewe kumsafirishia au kumuuzia dawa za kulevya au hata kukublakmail kwa vitisho kuwa ukikataa masharti yake anatuma hizo video chafu mitandaoni...
 
Harafu nilikuwa najua hizi ni stori tu za udaku....kumbe kweli walifika kwa Didi hadi nyumbani?

Hii facial expression na kigugumizi kuelezea hiyo siku....inaleta maswali mengi zaidi.
 
Wote Waliokwenda Kwa P, Diddy Walipumuliwa, Ata Ukimsikiliza Babu Tale kwenye Utetezi wake wa Kumtetea Diamond Tu, unaona kabisa Utetezi wake ni WA Mashaka, MTU Ambaye kamwambia Ukweli P Diddy ni Mwamba Asiyeshindika Mike Tyson, kwamba Yeye ni Chui, Na CHUI ABANDULIWI, AWA WENGINEO WOTE WAMEPUliwa Kisogoni Kwa Tamaa zao
 
P Diddy asiyemwogopa bondia hatari mstaafu hadi akashika paja na kuonyesha matamanio sembuse wale watoto nyoronyoro wa uchafuni

Najua hapo ni Siri Yao ila mwamba p Diddy aliteleza

Utoke Bongo ujipendekeze Kwa mhuni kama p Diddy eti asipite nae

Pesa ina Siri nyingi mno, acha hawa jamaa waringe wanayopitia wanajua wao
 
Back
Top Bottom