Babu Tale na Diamond Platinumz mbona Mwenzenu Bondia Tyson kakiri kuwa P Diddy alitaka Kumshika paja akashtuka ila nyie hamfunguki zaidi kama Yeye?

Kwa Kashfa hii Kubwa vipi mwakani utagombea tena huo Ubunge wako hapo Morogoro au utaachana nao? P Diddy kweli Kiboko.
 
We jamaa hovyo kabisa, sasa wewe kwenye huu uzi unatafuta nn au una mpango wa kujutia pia.
Wabongo bhana.
Ina maana Mkuu hujamjua huyo ni nani? Mwakani nachukua Fomu ili Kushindana nae Kugombea Ubunge huko Jimboni Kwake Morogoro aliko sasa.
 
Kuna uhusiano mkubwa kati ya Umaarufu, fedha,na ushoga.
Angalia mashoga waliopo wasafi
 
jay z kafanyaje tena...naye hizo ndo kazi zake!!!
 
jay z kafanyaje tena...naye hizo ndo kazi zake!!!
I know it's hard to believe this, Lakini Jaz z ni mbaya zaidi kuliko wote. Imagine mtu anakunywa hadi damu za watoto ( Adrenochrome) Kama ushawahi kusikia hiyo kitu.


Bieber alienda kwake wakati bado hajawa mkubwa sana kwenye mziki, akapewa mtoto wa miaka 12 (wakiume) akaambiwa amalizane naye, yani amshuhulikie kitandani.
 
Najaribu kuwaza mtu tajiri kama huyu,hivi unapomuuza mtu akatumike kingono na mtu mwingine inamlipa yeye kiasi gani?kuna kitu hata mimi nakiona hapo,inawezekana akishatembea na mtu na kuchukua video ya tukio,anakupa assignment ya wewe kumsafirishia au kumuuzia dawa za kulevya au hata kukublakmail kwa vitisho kuwa ukikataa masharti yake anatuma hizo video chafu mitandaoni...
 
Harafu nilikuwa najua hizi ni stori tu za udaku....kumbe kweli walifika kwa Didi hadi nyumbani?
Your browser is not able to display this video.

Hii facial expression na kigugumizi kuelezea hiyo siku....inaleta maswali mengi zaidi.
 
Wote Waliokwenda Kwa P, Diddy Walipumuliwa, Ata Ukimsikiliza Babu Tale kwenye Utetezi wake wa Kumtetea Diamond Tu, unaona kabisa Utetezi wake ni WA Mashaka, MTU Ambaye kamwambia Ukweli P Diddy ni Mwamba Asiyeshindika Mike Tyson, kwamba Yeye ni Chui, Na CHUI ABANDULIWI, AWA WENGINEO WOTE WAMEPUliwa Kisogoni Kwa Tamaa zao
 
P Diddy asiyemwogopa bondia hatari mstaafu hadi akashika paja na kuonyesha matamanio sembuse wale watoto nyoronyoro wa uchafuni

Najua hapo ni Siri Yao ila mwamba p Diddy aliteleza

Utoke Bongo ujipendekeze Kwa mhuni kama p Diddy eti asipite nae

Pesa ina Siri nyingi mno, acha hawa jamaa waringe wanayopitia wanajua wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…