Babu Tale na Salam Sk wamekuwa Mameneja wa hovyo sana wanaombebesha Diamond mzigo wa migogoro na media

Babu Tale na Salam Sk wamekuwa Mameneja wa hovyo sana wanaombebesha Diamond mzigo wa migogoro na media

A

Au they are taking us for a ride kwa kupeana kicks???
si wengi wetu tuna penda umbea... hawa wame piga waandishi hakuna wa kukemea zaidi ya mange kukemea... hata vyama vya haki za nani sijui, vya siasa, vya umoja wa waandshi sijui wahariri, wameacha mambo yaende...

sina taarifa kama wasafi pia wamekemea hili...! kama sio kiki hizi au kwa kuwa kuna bosi mwingine anae ishi dubai kuwa na sauti juu ya brand partner wake mondi kupelekea kumkingia kifua ni nini...?

hapa kuna usaniii tu na maigizo mengi yasiyo isha... ndio maana Zari ana wacheka kwa kuwa ana jua kuwa kiki ni sehemu ya kazi... na labda ana shirikishwa na meneja ana mpanga mke ili kunusuru ndoa za watu, tumeona kwa wolper, van boy na wengine... lakini wengine hawa jiulizi maswali mbona hawa wana wake zao na wengine wana watoto... je ndoa zao mbona ndio kwanza zina kuwa imara badala ya kuvunjika...?

je ungekuwa wewe unge weza kuimili maneno na umalaya wa mwenza wako...? ukiletewa magonjwa au ni njaa zako zina kufanya kung'ang'ania... mbona mwanzo ulikuwa na mtu mwenye pesa zaidi ya huyu wa sasa?
 
si wengi wetu tuna penda umbea... hawa wame piga waandishi hakuna wa kukemea zaidi ya mange kukemea... hata vyama vya haki za nani sijui, vya siasa, vya umoja wa waandshi sijui wahariri, wameacha mambo yaende...

sina taarifa kama wasafi pia wamekemea hili...! kama sio kiki hizi au kwa kuwa kuna bosi mwingine anae ishi dubai kuwa na sauti juu ya brand partner wake mondi kupelekea kumkingia kifua ni nini...?

hapa kuna usaniii tu na maigizo mengi yasiyo isha... ndio maana Zari ana wacheka kwa kuwa ana jua kuwa kiki ni sehemu ya kazi... na labda ana shirikishwa na meneja ana mpanga mke ili kunusuru ndoa za watu, tumeona kwa wolper, van boy na wengine... lakini wengine hawa jiulizi maswali mbona hawa wana wake zao na wengine wana watoto... je ndoa zao mbona ndio kwanza zina kuwa imara badala ya kuvunjika...?

je ungekuwa wewe unge weza kuimili maneno na umalaya wa mwenza wako...? ukiletewa magonjwa au ni njaa zako zina kufanya kung'ang'ania... mbona mwanzo ulikuwa na mtu mwenye pesa zaidi ya huyu wa sasa?
Ukitazama haya mambo kwa jicho la tatu inaonekana these people are taking us Tanzanians for granted-wanatupindua pindua kama wanavyotaka wakijua we will always fall for it-lack of exposure has been our undoing
 
jamani mi nawatetea hawa maneneja wa diamond .....ukiona mpk wameanza kuandika vijembe instagram ujue kuna mengi sana walivumilia na sasa uvumilivu umefka mwisho mi naamini km wamefikia hatua wameamua kufunguka ina maana walishafanya kila linalowezekana ili huu mgogoro uishe lkn imeshindikana tht y wameamua kuja kwa wananchi ili wapate sympath inaoweza kuwasaidia huko mbeleni
 
Salam alikuwa na akili mwanzoni miaka inavyoenda ndo anaharibikiwa. Babu tele naye anaganga njaa tu.

Na Kwa yale waliyomfanyia yule mama South. Familia nzima kuhamia kwake halafu wakaja kumgeuka, naona bado. Mikosi itawafuata tu.
 
Mkuu, Mtu kama Babu Tale, amekuwepo kwny game kwa mda mrefu sana, naamini anajua fitna zote na sheria zote za mchezo, habahatishi. Kama wameweza kumpandisha Diamond mpaka hapo alipo, sidhani kama hao Clouds wanaweza kumshusha, na ukiona imefika mpaka wameongea basi ujue hali haivumiliki....Hao Clouds sio Miungu, na sasa hivi watu hawategemei hizo media kutangaza mziki wao, labda wafunge na social platforms zote ndo wataweza kumwangusha, otherwise....seat back n relax
Mkuu, Mtu kama Babu Tale, amekuwepo kwny game kwa mda mrefu sana, naamini anajua fitna zote na sheria zote za mchezo, habahatishi. Kama wameweza kumpandisha Diamond mpaka hapo alipo, sidhani kama hao Clouds wanaweza kumshusha, na ukiona imefika mpaka wameongea basi ujue hali haivumiliki....Hao Clouds sio Miungu, na sasa hivi watu hawategemei hizo media kutangaza mziki wao, labda wafunge na social platforms zote ndo wataweza kumwangusha, otherwise....seat back n relax
Tale hajamfikisha Dimond popote.....Kama Tale Ana nguvu ya kufikisha watu kwenye level ZA Dimond mbona miaka yote hakuwafikisha huko kina Tunda,Madee na watoto wengine wa Tip Top?!

Tale ni mnyonyaji tu aache unafiki na kimbelembele
 
Ifike hatua sasa clouds wasiwe wanaendesha mziki wetu wa bongoo ..ila these time wamekutana na zege gumu ,ngoja tuone mwisho wake ila kumshusha msaniii km diamond kuna kazi kidgo.
 
Yani asikwambie mtu, ingawa watu wanadisi kwamba unaweza kua na elimu lakini ila huna pesa, kuna connection point ya msingi ni hii shida ni kwamba mameneja wa diamond hawana elimu, kama hauna elimu hata ufanikiwe vipi kina viroja tu vile vya kutokuenda shule utavifanya na watu watajiuliza ebana huyu mtu ana tatizo gani? Tatizo ni kua huyu mtu hajaelimika ndo mana anafanha vitu vya kipuuzi kabisa
 
Ukiangalia hoja za Sallam amesema hawana ugomvi na Clouds bali na Ruge Mutahaba. Hili andiko ni upotoshaji.
 
Ruge ni jipu. Sio kwenye kazi mpaka mapenzi. Ana matatizo sana ndio maana hana nuru wala hanenepi. Kila siku yeye mbna kusaga hatajwi wakat ndio mmiliki wa CMG.

Hii saga inavyoendelea watu wengi wataumbuka. Kijana wa watu kila siku wanamuundia zengwe. Walikuja na hoja ya kusafisha kiti, diamond yuko wapi mpk leo. Wakamuundia tume ya kumzomea na kumrushia machupa. Diamond ndio anazidi kupaa. Hakuna zaidi ya Mungu. Wanaoabudu watu nao waendelee. Diamond ni masikini jeuri. Na bila ya kua masikini jeuri mbona utanyanyasika sana. Kataa kua KAA
 
Mkuu, Mtu kama Babu Tale, amekuwepo kwny game kwa mda mrefu sana, naamini anajua fitna zote na sheria zote za mchezo, habahatishi. Kama wameweza kumpandisha Diamond mpaka hapo alipo, sidhani kama hao Clouds wanaweza kumshusha, na ukiona imefika mpaka wameongea basi ujue hali haivumiliki....Hao Clouds sio Miungu, na sasa hivi watu hawategemei hizo media kutangaza mziki wao, labda wafunge na social platforms zote ndo wataweza kumwangusha, otherwise....seat back n relax
Talle kadandia mafanikio arudi zake Tip top kulee waliomfikisha hapo Diamond ni Ruge na Shigongo
 
Vipi kuhusu mh diwani? I mean mkubwa fella, yeye hana tatizo na Ruge au CMG in general?
 
walikuwa wanatafutana kitambo tu hawa....hata ushirikiano wao ulikuwa wa kinafiki tu.
 
kama youtube na insta na Facebook bado zipo haijaalishe ao mediashithol wakandiy tu wale wasani wachanga sio wcb
 
Ruge na shigongo ndio watu waliomfanya Diamond awe alipo sasa kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki hilo utakuwa unalipata vema ruge ndiyo alikuwa anamiandalia Diamond vitu vya tofauti kama show ya Diamond forever, connection za kuimba BBA , kipindi kile tale alikuwa meneja kivuli mtumikakati alikuwa ni ruge. Upande wa ahigongo kumbuka alivyokuwa anaandaa show dar live huku akizipa promo mwezi mzima na kumpa jamaa offer mara kuingia uwanjan na helcopter mara lift ukumbini

Sema nini dogo baada ya kurubuniwa na mako ndipo shida ilipoanza
 
Sallam na Tale ni watu muhimu sana kwa diamond na wcb kuliko mnavyo fikiria, ila mwisho wa clouds ni WCB Radio na Tv
 
meneja mjinga anapanic kwa ujinga anaojazwa na dancer aliyetoka kufanya kikao na Bashite.

eti nia ni kumshusha Diamond.
 
Wasalaam wana JF...

Ni ukweli ulio wazi vyombo vyetu vyote vya habari vinatabia zinazo fanana na vinatofautiana sana kwa kiasi kidogo sana vyombo vyote vinapenda kubembelezwa ,kuabudiwa,kusifiwa na kupewa kipaumbele...lakini pamoja na haya yote wasanii wetu walio wengi wameweza kutoboa akiweno Diamond Platinumz...
Tutakuwa waongo na wanafiki tukihindwa kujua kuwa ukubwa na alipofikia Diamond kwa sasa kumechangiwa sana tena sana na vyombo vya habari hivi ambazo muda mwingine tunaviona vya wanyonyaji au havitoi haki au vina watangazaji wenye chuki na Roho mbaya kwa wasanii wetu tuwapendao.

Lakini pamoja na mabaya mengi ya media hizi Diamond ameweza kufikia hapa na nina fikiri kabisa alikuwa na watu wanao jua zaidi kutatua migogoro na kuimaliza inapotokea na kizuri zaidi hawa Mameja wake wamekuwa nae siku nyingi japo si sana lakini hivi karibuni Diamond na WCB wamekuwa wakiandamwa na migogoro na media tena migogoro isiyopatiwa ufumbuzi kwa makusudi na wachochea migogoro wakuu wamekuwa ni Mameneja wake wakina Babu Tale na Salam Sk...
Diamond si mkorofi ni mmoja wa watu hummble sana,pamoja na matatizo yake yote lakini si mtu anayependa migogoro na watu bali ni maneneja wake ndio si watatuzi wa migogoro bali ni wachochezi wa migogoro na media.....

Diamond alikuwa na mgogoro na EATV/EARADIO jitihada zilifanywa hasa Fella kutatua huu mgogoro japo mgogoro huu ulikuwa ni wa watangazaji wa Planet bongo na Diamond kwa kuokoteza maneno ya vichochoroni....lakini pamoja na jitihada za Fella kutatua mgogoro huu Babu Tale na Salam hawakuwa tayari na wakaenda mbali zaidi kutopeleka nyimbo pale hata za wasanii wote wa WCB sasa mgogoro huu umegeuzwa wa WCB na EATV/EARADIO.

Sasa wameingia kwenye mgogoro na Clouds baada ya Mose iyobo kuwapiga wambea lakini hili limegeuzwa kama ugomvi wa Clouds na WCB na hii imechangiwa sana na Mameneja hawa wawili Salam na Tale maana kwakweli wana midomo mirefu sana na kibri kilichopitiliza na wameligeuza jambo lile kuwa anayetafutwa ni Diamond kushushwa baada ya Clouds fm kusema wamesikitishwa na wambea wao kutandikwa na Iyobo,najua Clouds wanacho hitaji ni kuombwa radhi na walitegemea ni Diamond,Tale au Salam ndio wajitokeze kuomba msamaha kwa Clouds saa hilo jambo halijafanyika.

Lakini pamoja na hayo yote nilitegemea Mamneja wa Diamond hasa Salam Sk wakimya na si wapiga kelele au kushutumu watu ooooh wanataka kumshusha Diamond,ooh wana chuki kitu ambacho pengine si cha uhakika bali ni hisia....kwakweli Maneneja wa Diamond wamekuwa watu wa kuendekeza migogoro na kumbebesha migogoro Diamond isiyo na tija......
Sioni sababu ya Salam kuanza kutamba na kutoa povu instagram kwa jambo pengine halipo kabisa maana hata dunia inajua kuwa ni vigumu sana kumshusha Diamond kwa sasa maana walishamuacha akapanda...

Kama ni swala la Iyobo kuwapiga wambea wa Clouds hayo ni maswala yanayo muhusu Iyobo na wale wambea waliotandikwa hivyo ni vyema na ni busara kwa mameneja kujiweka pembeni na jambo hilo kwanza ni jambo la wanawake hivyo si vyema kujihusisha nalo.

Pamoja na WCB kupanga kufungua vituo vyao vya radio bado kabisa vyombo vilivyopo vinahitajika sana tena sana kwa ustawi wa wa wasanii wa WCB hivyo ni vyema sana mameneja mkafanya jitihada za kutatua migogoro kuliko kuikuza.

Wasalaam

Wamekataa kua kaa
 
Sallam na Tale ni watu muhimu sana kwa diamond na wcb kuliko mnavyo fikiria, ila mwisho wa clouds ni WCB Radio na Tv
Unajidanganya hiyo radio na tv

Mwambieni moze iyobo amalizane na shilawadu yeye kaliingiza kwa wasafi kutafuta huruma walivyowajinga nao wamelibeba

Chriss brown alimtwanga rihanna sheria za nchi zilisimama kama kawaida hata iyobo anakosa la kujeruh halihusian na wasafi sisi ni wepes wa kudanganywa clouds kwa hili mnawaonea
 
Back
Top Bottom