Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P.Diddy.

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

View attachment 3106362
wameanza kujitaja
 
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P.Diddy.

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

View attachment 3106362
 
Kwani huyu P.diddy ana nini hasa special mpaka wasanii wajikombe kwake?

Kwanini wasanii watake kumtumia yeye tu ili kupanda kimuziki?

Naona utetezi umekua mrefu sana ila wakubwa tumesha elewa.
Ni tajiri wa pili kutoka Jay-Z
Ila naona kwa kuwa aliingia kwenye umalaya na madawa ya kulevya ambayo vijana wengi wanayapapatikia vya bure
Hiyo imemfanya wasanii wakiomba wapige show au kupanda jina ndio anatumia mwanya huo
Mbona tajiri wa kwanza hana makuu?
 
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P.Diddy.

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

View attachment 3106362
Waliingia bwana, tena walimkuta amevaa taulo tu. Akauliza Diamond ni nani, wakajaribu kumtambulisha lakini hakumfahamu, Diamond akajaribu kuimba lakini jamaa aka diss mpaka baadaye ikabidi wamstie Diamond amuonyeshe video za shoo zake. Pdiddy akamuuliza kama anataka kutoka kweli, alipokubali Pdiddy akamfukuza yule dada aliyekuwa akimfanyia massage😅
 
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P.Diddy.

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

View attachment 3106362
Hawa watu walikosa sana ustaarabu, unaalikwa kwa P Didy halafu unaondoka bila kuaga ni tabia ya aina gani hiyo ?
 
FB_IMG_17272695312471475.jpg
 
oWatu kumbe mna info hatari....aisee sasa pale didi alikula uroda gani maan jamaa kakaukaaa
Sasa Didy ndio anapenda waliokosa nyama hao na si umesikia aliwaita chumbani wakaangalie tv? Alafu Tale alivyo zwazwa eti oooh jamaa akatukataza hivi kweli mtoto wa kiume uitwe na kidume mwenzio njoo chumbani tuangalie movie na sebuleni ipo pia ? Masikini Tandale president
 
Waliingia bwana, tena walimkuta amevaa taulo tu. Akauliza Diamond ni nani, wakajaribu kumtambulisha lakini hakumfahamu, Diamond akajaribu kuimba lakini jamaa aka diss mpaka baadaye ikabidi wamstie Diamond amuonyeshe video za shoo zake. Pdiddy akamuuliza kama anataka kutoka kweli, alipokubali Pdiddy akamfukuza yule dada aliyekuwa akimfanyia massage😅
Wameshaanza kujikanyaga, maelezo ya mwanzo ndio ya kweli haya mengine wanataka kuficha ficha tu
 
Back
Top Bottom