Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Ukimsikiliiza Chai Jaba na huyu Manager, kama wanapisha maelezo yao vilee!, ila yote 9, kumi Dunia ipo kiganjani.
 
Angeliwa asingestruggle kulikamata soko la marekani, so imani yangu inaniambia hakuliwa huyo dogo ila yule mnigeria nnamashaka nae πŸ˜†πŸ˜†
Didy ni shem wetu hata km ni ngumu kumeza, yawezekana hakukutwa sealed hilo 1 au kaliwa kwa ahadi kemkem hazikutekelezwa, kwani ni mara ngapi mmekula wanawake kwa ahadi za uongo?
 
Angeliwa asingestruggle kulikamata soko la marekani, so imani yangu inaniambia hakuliwa huyo dogo ila yule mnigeria nnamashaka nae πŸ˜†πŸ˜†
Je ni mambo gani waliyoyafanya ambayo Mond mwenyewe alisema hayapaswi kuwekwa public?

Au alipapaswa papaswa tu?

Alivyo ona wese linaletwa akakimbia...πŸ˜„πŸ˜„
 
Didy ni shem wetu hata km ni ngumu kumeza, yawezekana hakukutwa sealed hilo 1 au kaliwa kwa ahadi kemkem hazikutekelezwa, kwani ni mara ngapi mmekula wanawake kwa ahadi za uongo?
Daah inaniwia vigumu kuamini ujue ila sasa nikiskiliza ile clip yake kwamba waliyofanya mengine ni siri ndio nakua sielewi elewi πŸ˜†πŸ˜†
 
Simba ameshasema walifanya yasiyowezekana kuwekwa wazi. Acheni kutuona sisi mamburula πŸ˜„πŸ˜„
 
Daah inaniwia vigumu kuamini ujue ila sasa nikiskiliza ile clip yake kwamba waliyofanya mengine ni siri ndio nakua sielewi elewi πŸ˜†πŸ˜†
Hapo hapo ukikaza utapaelewaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ alivyo mpenda Kiki kutrend na sifa aliliwa na kwenye hiyo video anaongea kinyonge sana, pia media yake imejaza watu walioleft na anawapa shavu sana serikali ipo inamtizama tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…