RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 41
Mkuu.
mchango wako poa tu lakini umeutia kasoro hapo penye rangi ya buluu. Katika hao wanaokwenda kwa babu wamo wanaokwenda msikitiki. Pia ni wananchi na watanzania wenzako.
Naelewa kuwa maamuzi mengi ya serikali iliyopo hivi sasa yanaudhi na yanaumiza wananchi lakini huwatendei haki hao wanaoingia msikitini kwa kauli yako. Wao pia wanaumia na maamuzi ya "hawa majuha". Na kauli yako hiyo ni kiashiria cha ubaguzi au unahubiri mgawanyiko wa wananchi wenzako?
hujamuelewa mdondo we mtu, seems wewe watokea mikoa ilee isikijua kiswahili vyema