Babu wa Loliondo aoteshwa tena kikombe; Asema wengi watakifuata

Hapati mtu safari hii labda wajinga.
Hata awamu ya kwanza aliowapata wote ni wajinga,mtu mwenye ufahamu hawezi kuingizwa 'kingi' kwa style ile.Haijakishi wadhifa,elimu au umri,ukiwa zoba unaingizwa mkenge tu.That's the painful truth.
 
Jakaya alietengeneza Dili la kunywesha Wagonjwa mimaji michafu ili kupoteza Agenda za Kisiasa!

Acha Siasa iitwe ni Sanaa!
 
Awamu hii atakunywa mwenyewe.

Any way, kikombe kikiibuka ujue hapo kuna series nyingine inataka kutoka ila kikombe kitatumika kuizima.

This time around Babu you have to drunk with your family.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…