Babu yako angechukuliwa utumwani USA we mjukuu wake ungekuwa unakula Bata sasa hivi USA

Babu yako angechukuliwa utumwani USA we mjukuu wake ungekuwa unakula Bata sasa hivi USA

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
 
Hivi hawa mababu zetu hawakuona mapori wakamate mashamba mikocheni,mbezi beach,sinza masaki hadi miaka ya themani mashamba yalikuwa tele huko.
Haya kakamate mashamba Kibaha,chalinze,bagamoyo kesho mjukuu wake asijepost ujinga
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
What if he died before even he landed in America?
Hivi unajua watumwa wangapi walikufa ama kuuwawa huko utumwani?
 
6D924757-51C7-4DC5-B047-C7C55683F2AF.jpeg
 
Nimecheka sana mazee, kwamba babu yako angekuwa manamba 😆😆😆😆
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
 
Babu yangu alinisimulia walipokuja wakamataji alijipaka kinyesi wakakimbia harufu akaja kufa masikini Leo hii sisi wajukuu ndo tunajitafuta na bodaboda na umachinga
 
Back
Top Bottom