Babu yako angechukuliwa utumwani USA we mjukuu wake ungekuwa unakula Bata sasa hivi USA

Babu yako angechukuliwa utumwani USA we mjukuu wake ungekuwa unakula Bata sasa hivi USA

Ukute walikutana na bibi kwenye kikao cha waganga wa vijiji majirani, hiyo mimba iliyopelekea kuzaliwa sijui ingetungwaje na mzee kamisi kikao sababu yupo Marekani.
 
Hata huko mambele asilimia kubwa ya watu weusi wanaishi kwa kubangaiza...
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Fanya mpango uende wewe li wajukuu zako wakale bata
 
Habari mkuu, uzi huu una shida gani?
Mkuu,

Wewe huoni?

Nauliza huu uzi unamlenga nani?Unamlenga nani huu Uzi? Mtu mweusi, Mwafrika au?

Wewe huoni huu uzi upo offensive?
Utumwa ulikuwa ni mchezo?
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Marekani hakuna BATA kwa mtu mweusi.

Watu bado wako utumwani. Acheni hizi ILLUSIONS
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Kwahio umesimuliwa kuwa watu weusi wote wanakula bata?
 
Ilikuwa west African sio East Africa.

Anyways wazo la kijinga sana
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Kuna wakati mnawaza kama wajinga...unadhani huko marekani hawafanyi KAZI?
Just simple alijificha ili uishi maana huko USA ungekwisha kufa. Mnawaza tu Kula bata na sio kutafuta hiyo bata yenyewe
 
Hao black wenyewe mbona wanakula msoto tu huko marekani?
 
Back
Top Bottom