Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya mpango uende wewe li wajukuu zako wakale bataWakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani
Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.
Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
This is wrong kabisa.
Habari mkuu, uzi huu una shida gani?Bridger hii imekaaje? Is this part of a freespeech?
Mkuu,Habari mkuu, uzi huu una shida gani?
Mimi nanunua mashamba waje wale Bata mbeleni pakishuwa kama masaki,Fanya mpango uende wewe li wajukuu zako wakale bata
Babu yako alikuwepo enzi za utumwa?Babu yangu alinisimulia walipokuja wakamataji alijipaka kinyesi wakakimbia harufu akaja kufa masikini Leo hii sisi wajukuu ndo tunajitafuta na bodaboda na umachinga
Marekani hakuna BATA kwa mtu mweusi.Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani
Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.
Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Ndio kwani utumwa uliisha liniBabu yako alikuwepo enzi za utumwa?
Kwahio umesimuliwa kuwa watu weusi wote wanakula bata?Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani
Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.
Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Google that.Ndio kwani utumwa uliisha lini
Babu yangu alikuwa na miaka sita yupo porini anawinda ndege na manati aliporudi kijijini usiku akakuta wakamataji wameshaondokaGoogle that.
Babu yako enzi za utumwa anazisikia kama wewe.Babu yangu alikuwa na miaka sita yupo porini anawinda ndege na manati aliporudi kijijini usiku akakuta wakamataji wameshaondoka
Kuna wakati mnawaza kama wajinga...unadhani huko marekani hawafanyi KAZI?Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani
Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.
Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Mkuu, nimekusamehe bure.Babu yako alikuwepo enzi za utumwa?