Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna bata gani kule?90% wanaishi majalalani na homeless.Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani
Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.l
Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Kwa walioenda ambao wajukuu wanakula bata tz ni akina nani tutajie wa 3 tu.Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani
Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.
Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Ukishakuwa myuesie unakuaje mtz tenaKwa walioenda ambao wajukuu wanakula bata tz ni akina nani tutajie wa 3 tu.
Hao waliofeli life tatizo ni wao binafsi na sio mfumoKuna bata gani kule?90% wanaishi majalalani na homeless.
No life, no nothing,ni wavuta bangi,madawa masingo maza km wote wanauza mchana kweupee.
wanataka kurudi ila warudi wapi?
Babu yangu alipigana na mjerumani mpaka akaomba poo, na hajaenda popote mpaka anakufa.
Leo unaniambia wale walibwagwa huko wanakula bata.
hawana pa kukaa.
Na majority ni West African na wapemba hawa.
Unauhakika babu yako angekutana na bibi yako ili wazae wazazi wenu ili upatikane wewe?Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani
Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.
Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani
Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.
Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
pia inawezekana wewe ungekuwa mke wa mtu huko USA.Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani
Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.
Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.