Babu yako angechukuliwa utumwani USA we mjukuu wake ungekuwa unakula Bata sasa hivi USA

Babu yako angechukuliwa utumwani USA we mjukuu wake ungekuwa unakula Bata sasa hivi USA

Sawa ungezaliwa mambele ila pengine ungekuwa na tabia za huko pia saa hizi

1740350042074.jpeg
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.l
Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Kuna bata gani kule?90% wanaishi majalalani na homeless.
No life, no nothing,ni wavuta bangi,madawa masingo maza km wote wanauza mchana kweupee.
wanataka kurudi ila warudi wapi?
Babu yangu alipigana na mjerumani mpaka akaomba poo, na hajaenda popote mpaka anakufa.
Leo unaniambia wale walibwagwa huko wanakula bata.
hawana pa kukaa.
Na majority ni West African na wapemba hawa.
 
Maisha ya mtu mweusi yametawaliwa na kunyosheana vidole sana. Sisi ni maskini sababu Nyerere hivi, Nyerere that.. Mimi ni maskini sababu Baba yangu hivi, Baba yangu that...

Kama ambavyo Babu yako alivyoshindwa kununua ardhi kwa 300 mwaka 1968 ndivyo wewe unavyoshindwa kununua kiwanja hapo kiluvya kw laki 7 tu.

MTU MWEUSI.
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Kwa walioenda ambao wajukuu wanakula bata tz ni akina nani tutajie wa 3 tu.
 
Kuna bata gani kule?90% wanaishi majalalani na homeless.
No life, no nothing,ni wavuta bangi,madawa masingo maza km wote wanauza mchana kweupee.
wanataka kurudi ila warudi wapi?
Babu yangu alipigana na mjerumani mpaka akaomba poo, na hajaenda popote mpaka anakufa.
Leo unaniambia wale walibwagwa huko wanakula bata.
hawana pa kukaa.
Na majority ni West African na wapemba hawa.
Hao waliofeli life tatizo ni wao binafsi na sio mfumo
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Unauhakika babu yako angekutana na bibi yako ili wazae wazazi wenu ili upatikane wewe?
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.

Nyerere angejua anawaombea Uhuru vijana wa hovyo hivi angehairisha...
🤣
 
Sio kila alie US anakula bata alafu acha maisha ya kizamani
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
pia inawezekana wewe ungekuwa mke wa mtu huko USA.
 
Back
Top Bottom