Babu yako angechukuliwa utumwani USA we mjukuu wake ungekuwa unakula Bata sasa hivi USA

Babu yako angechukuliwa utumwani USA we mjukuu wake ungekuwa unakula Bata sasa hivi USA

What is not wrong about it?

The only thing that aint right here is that our brother does not have enough knowledge about slavery and its effects and how it has led to the existence of a black generation in exile.

Slaves from East Africa did not reach the West, so even his ancestors would not have been of any use if they had been taken into slavery. Therefore, you who have enough education should educate him.

Therefore, you who have enough knowledge should educate him.
 
In the Picture: Gordon, an enslaved African after being whipped on countless occasions. The photo was taken at Baton Rouge, La., in 1863.

Kuna bata hapo?
48C9605800000578-5339177-image-a-2_1517481064812.jpg
 
in the photo:Spectators smiling and gazing at the lynching and burning of Jesse Washington on May 16, 1916, in Waco, Texas.

Nani huyo angetaka baba ake, mama ake, mtoto wake, babu ake, bbi ake aende kwenye mateso kama hayo?

Spectators-at-the-lynching-of-Jesse-Washington.-May-16-1916.-Waco-Texas-close-up.jpg
 
in the photo:On July 19, 1935, just 78 years ago and 70 years after slavery was abolished in the United States, Rubin Stacy was lynched in Fort Lauderdale, Florida as young white girls, women and men looked on with smiles.

Kuna tofauti gani na hivi vicheko vya watoto wa kizungu miaka hiyo na vicheko kuhusu huu Uzi?

Mtu wa mwisho kuwa lynched (modern day lynching)alikuwa George Floyd
The-lynching-of-Rubin-Stacy.-Onlookers-including-four-young-girls.-July-19-1935-Fort-Lauderdale-Florida..jpg
 
Hapa chini, hawa ndio hao anaosema mleta mada, walikimbia hebu jioneeni mateso waliyokutana nayo

In the photo: Survivors who escaped through the arid Kalahari desert in southwest Africa

Herero-genocide.jpg
 
Huko USA, walikuwa wakitoa leseni kwa wazungu za kuwawinda na kuwanyonga mpaka kufa wale wote waliokuwa wakitoroka mateso


The Good Ol’ Boys Roundup was an annual whites-only event run by agents of the Bureau of Alcohol, Tobacco and Firearms in southern Tennessee from 1980-1996. “N***er hunting licenses” were sold there, according to a report from the New York Times.


photo-e1389588871581.jpg
 
Chini, ni picha za watoto wadogo waliokutwai kijijini kwao bila ya Wazazi, baada ya wazazi wao kutekwa, kubakwa, na kuuwawa na wengine kufungwa pingu na minyororo kwenda kuuzwa Ulaya na Marekani.

Hivi unategemea nini kutoka kwa hao watoto? Imagine Kijiji kizima, wameachwa hawajui hata Kujitafutia cha kula, halafu kuna watu unawasikia wakisema Wazungu sio makatili?
kwamba kulikuwa hakuna Skills Flight?
Alice-Seeley-Harris-J.H-Harris-Alice-Seeley-with-a-large-group-of-Congolese-children.-Congo-Free-State-c.1904.-Courtesy-Anti-Slavery-International-Autograph-ABP-.jpg
 
Nani anakumbuka ujumbe uliotumwa hivi karibuni, tena ulitoka siku ambayo Trump aliapishwa Uraisi. Jumbe ule unatofauti gani na ujumbe kwenye hiki kipeperushi chini?
48C95EE300000578-5339177-image-a-43_1517481662666.jpg
 
Niliwahi kumwambia baba yangu kuwa baba yake ndiye aliyetuharibia maisha kwa uoga wake na kujifanya anajua kukimbia.
 
Wakati mwingine inawezekana umasikini wako ni matokeo ya Babu yako kula kona wakati wa zoezi la kukamata watumwa waende wakafanye kazi marekani

Babu yako alijificha porini milimani, inawezekana maisha yako ya mlo mmoja unayopitia sasa ni kwa sababu ya uzembe wa Babu yako kukimbia fursa.

Maana mababu zetu walipelekwa utumwani kwa lazima Leo vijana wanatamani kwenda utumwani kwa lazima sema tu Trump kakaza.
Haya ndo naita mawazo ya kishenzi.
Sawa na mtu kutamani kuwa shoga, alimradi analipwa.
 
Nimesikitishwa sana Batanzania

Ni baeleze Batanzanie

Nimesikitishwa sana na hatua na sababu zilizochukuliwa kufuta posti yangu. Jambo hilo limendhihirishia vitu vingi sana hapa JF, na kimoja wapo ni upuuzi na ujinga(ignorance) wa baadhi ya watu na hata Jamiiforums kwa ujumla.

Jamiiforums inaendeshwa kwa michango ya kifedha na members wake, matangazo ya kibiashara na Misaada kutoka asasi za kiraia na taasisi zingine zilizopo nchi za Ulaya na Marekani, server iko Marekani.

Hawa wachangiajii wa kifedha ndio wanaitwa special interests groups😅
Utegemezi wa misaada unaathiri sana watu, na athari ni hasi haswa.

The implication here, is that dependencies can lead to a lack of impartiality and fairness, with the platform possibly being swayed by the interest of its financial supporters rather than being an unbiased space for all opinions.

Hata Trump aliona hilo🤔

Misaada hii ndio inayowafanya kupuuzia maoni ya vikundi fulani vya jamii, na kupendelea vikundi vingine kama vile vya special interest;ambavyo vinapewa special spaces.

Posti yangu ilikuwa na tatizo gani Brija🤣🤣🤣🤣🤣 ukaifuta?

Je, matukio haya kama kufutiwa posti za baadhi wa memba kwa maoni yao tu ama kuachia posti kama hii hapa yanatokana na mahusiano ya kifedha? Hilo ni la kwako kudadavua.

Uzi huu unapuuzia historia. Uzi huu unaudhi, dharau na kuupuzia mazima historia ya Utumwa.

Ukatili uliofanywa wakati wa enzi za utumwa were immense. Mateso yalikuwa hayaelezeki👇

youths-amputated-hands.jpg


Maumivu yaliyoachwa na yaliyoletwa kwa vizazi vya watu waliofanywa watumwa bado yanaonekana leo, hebu muangalie huyu baba akiangalia viungo vya mwanawe wakike😥😫
BDC_New_Documents_Press_01.jpg


The trauma inflicted on generations of enlaves peolpe is still visible today on end, manifesting in systematic inequalities and enduring social and psychological scars.

Halafu unakuta unaulizwa "Uzi una shida gani?"
What's wrong about it?

Habari mkuu, uzi huu una shida gani?
😔😔😳


Hivi hamuoni hizi negative reactions za watu?
Duh aiseee
And so what's your drift here?

Haya ndo naita mawazo ya kishenzi.
Sawa na mtu kutamani kuwa shoga, alimradi analipwa.

Maoni hasi kutoka kwa baadhi ya wachangiaji wa uzi huu, yanaonyesha kuwa maudhui haya ni kinyume na kinzani na miongozo ya JF na miongozo na sheria zingine mtandaoni.

Yani kuignore and blatantly dismissing such a significant and paniful part of history as if it were a mere game is deeply offensive, harmful, and quite frankly disturbing.

I believe it is essential for the Forum to maintain impartiality(ni vigumu sana kuandika uzi kama huu in reverse, na kuandika kuhusu race zingine)just my observation..

Deleting posts that address these concerns, rather than fostering constructive, criticism; rebuke, rebuttals etc, undermines the intergrity of the platform.

Nawasihi to reconsider kurudisha posti yangu to ensure fair moderation.

Mimi Nkaburu

=========

Huu utegemezi wa misaada itatumaliza Waafrica. IjS
 
Unajua maana halisi ya Utumwa..
mababu na mabibi zetu wengi wamekufa kikatili sana enzi za utumwa.
 
Back
Top Bottom