BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Una utani na mzee mwenzangu wewe eeh???? Mabatini panakuhusu
Na loya wa familia Ruttashobolwa haji kukuwekea dhamana
Hivi mwanamke gani atayekubali kuolewa na mwanaume anayejisifia kushika viuno vya wanawake wote bongoo?
Bora angekuwa anawakula kweli mtu unaweza sema Mume wangu kiwembe...lakini ndo kwanza akitoka hapo anenda kuwavutia hisia za kupiga puchu....khaaaa....
Bora mtu ufe mseja kuliko kuolewa na huyu...huyu saizi yake Mbuta Nanga tu basi...otherwise hakuna wa kuendana nae dunia nzimaa...
Na loya wa familia Ruttashobolwa haji kukuwekea dhamana
Last edited by a moderator:

