Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,089
Kama mliachana kwa shari mkiwa wawili tu bila kushirikisha ndugu,jamaa na marafiki inawezekana mkarudiana ila kama nao walishirikishwa katika mgogoro huo huo huwa ni vigumu sana kurudiana.
Mtu kakuacha kwa kashfa kubwa tena mbele ya ndugu zako leo hii kaja mikono nyuma eti umsamehe!Hiyo ngumu.
Mtu kakuacha kwa kashfa kubwa tena mbele ya ndugu zako leo hii kaja mikono nyuma eti umsamehe!Hiyo ngumu.