Baby come back...????
Mtizamo wangu:
Inategemea na mwisho wenu wa mara ya mwisho (kuna wengine wanaachana na kurudiana hadi hawakumbuki idadi)...
MJ1 umezungumzia kuachana kwa kashfa, matusi n.k.
Sio vizuri kurudi nyuma uamuapo kusonga mbele, baada ya maumivu ya kuachana......
BTW: Hivi 'baby come back' inatakiwa imhuzunishe au kumfariji anayeombwa msamaha? Ngoja niombe mods waunganishe hii na ile ya kulivua pendo.....
**** Rose I never left....am always around....geuka nyuma utaniona nikiangalia kila hatua upigayo unapotembea....:love::love::love:
Leo huna hangover, at least naweza kuapa.
Zidumu fikra za Mwenyekiti wa Chamakidumu chama cha mapinduzi!!!
Sina cha kuongeza mpwa,
Hebu tumia coupon yangu kujihudumia chochote unachohitaji!
Kuna hii mtu inaitwa GY....ukiiona ikimbie....
kidumu chama cha mapinduzi!!!
Lile kombe halina tofauti na zile mechi za mchangani bingwa anapewa mbuzi
Komredi hii nayo ni Reflection?:frog:kidumu chama cha mapinduzi!!!
Umepata ile kitu??Leo huna hangover, at least naweza kuapa.
Kuna lijamaa lilikuwa linamtongoza rafiki ya mke wake...nikamwuliza mkeo akijua itakuwaje? Likanambia ntamwambia "Shetani alinidanyanya" Likafanikiwa kummega, na mkewe akajua wakatengana.
Badae jamaa likamfuata mke wake likamwambia warudiane kwa kuwa ulikuwa mpango wa shetani....Wakarudiana, hakikupita kipindi shetani akafanya vitu vyake jamaa likamuumiza tena mkewe.
Halafu babu DC haamini kuwa vitu vingine tunamsingizia shetani.
Mtu muumizaji huwa haachi kama jasiri asivoacha asili.....nisaidieani kumwambia MJ1 mkimuona.
Ile mutu imezaliwa kwa ajili ya bia tu!
Vipi ushawahi kumkam back infii?
Ukishamkam back jiandae na limbwata walahi.
Umepata ile kitu??
tatizo lako huchelewi kudisappear...........of coz without 4geting your Protector.....!!
MSISITIZO:there is NOTHING LIKE BABY COME BACK IN THIS AGE OF DOWANS,RICHMOND etc
tatizo lako huchelewi kudisappear...........
Aksante Baba Enock so should we say.............Baby Come back huwa ni kwa kina dada tu?..............mie nikimkosea kipenzi nisijihangaishe kumplease anirudie??MJ1,
Anyways wengi wanaojua ku-forgive na ku-forget ni Wanawake!
Sidhani kama Mwanaume "kamili" Can forgive and forget! No way!
Yaani that is beyond imagination - Baba_Enock will never "UN-DO" any broken relationship - never never on Earth!