Sijaelewa hapo....Ni rahisi kwa Kinyakyusa au?
tracy,
Katika uhusiano timilifu "hasira" haiwezi ku-lead mtu kuwa provocative - no, never... Ukiona mwenzio anakasirika katika mahusiano na anakuita "we mbwa hebu toka hapa" - lazima huelewe kuwa alishakuita mbwa "kimoyomoyo" a million times, kwahiyo hasira ni "catalyst" tu.. Vile vile ukiona Baba_Enock anarudi nyumbani amepinga kama Serengenti kumi halafu anagonga mlango kwa mateke na huku akimtukana Mama_Enock na kumuita "we Malaya fungua mlango" - fahamu kuwa kuna "Mama_Enock wa pili"
Kwahiyo, in principal and practice, the so called "second chance" ni unafiki tu - Na normally kwenye ndoa huwa ni njia pekee ya ku-protect interests of either side - be it Watoto, Mali, Fame, e.t.c na siyo kwamba hiyo samahani anayokuomba ili mrudiane ni genuine! Not at all.
But the good thing is couple nyingi zinaishi kwa kuombana samahani day-in day-out::: and life goes on, but in real sense huwa mapenzi yanaisha by the time unapokuwa provocative kwa mwenzi wako.
Have you guys ever wondered kwa nini vyakula vyote vinavyopikwa kwenye sehemu za starehe vinaisha kabla ya saa tano usiku? Kwa mfano kuanzia Tegeta kwa Ndevu mpaka Kibira Bunju A, kuna baa after every 50 metres na zote zinatengeneza michemsho na nyama choma nyingi tu, lakini by saa sita usiku majiko huwa yamefungwa! The simple and obvious answer is "Families are no longer EATING together"! Baba anakula baa Mama anakula gesti - simple as that!
Why? Baby Come Back ... Does not hold water!
Loner hujambo bibie! Mbona umepotea sana? Me mcd u!Babu DC; Kwangu mimi English is better if i want to express my self.. Vinginevyo nahitaji muda mwingi kufikiria na kutafsiri...
Loner hujambo bibie! Mbona umepotea sana? Me mcd u!
Kwa maoni yangu;
1. inategemea meachana katika mazingira gani, kwangu mimi nimesha jaribu hiyo kwa watu nilio achana nao kwa kugombana, na kwa kweli nikajaribu na kugundua kua vitu vile vile vilivyo kua vinani boa ni the same, na baada ya hiyo nika geuka bila kuanngalia nyuma.
2. kwa mazingira mengine kama mliachana kwa amani na kukawa kuna feelings zime hang, labda hapo ndiyo kuna chance ya kurudiana.. Pia inategemea ni muda gani tangu meachana...
I do hope this makes sense kwa sababu kuelezea kwa kiswahili ni project kubwa...
tracy,
Katika uhusiano timilifu "hasira" haiwezi ku-lead mtu kuwa provocative - no, never... Ukiona mwenzio anakasirika katika mahusiano na anakuita "we mbwa hebu toka hapa" - lazima huelewe kuwa alishakuita mbwa "kimoyomoyo" a million times, kwahiyo hasira ni "catalyst" tu.. Vile vile ukiona Baba_Enock anarudi nyumbani amepinga kama Serengenti kumi halafu anagonga mlango kwa mateke na huku akimtukana Mama_Enock na kumuita "we Malaya fungua mlango" - fahamu kuwa kuna "Mama_Enock wa pili"
Kwahiyo, in principal and practice, the so called "second chance" ni unafiki tu - Na normally kwenye ndoa huwa ni njia pekee ya ku-protect interests of either side - be it Watoto, Mali, Fame, e.t.c na siyo kwamba hiyo samahani anayokuomba ili mrudiane ni genuine! Not at all.
But the good thing is couple nyingi zinaishi kwa kuombana samahani day-in day-out::: and life goes on, but in real sense huwa mapenzi yanaisha by the time unapokuwa provocative kwa mwenzi wako.
Have you guys ever wondered kwa nini vyakula vyote vinavyopikwa kwenye sehemu za starehe vinaisha kabla ya saa tano usiku? Kwa mfano kuanzia Tegeta kwa Ndevu mpaka Kibira Bunju A, kuna baa after every 50 metres na zote zinatengeneza michemsho na nyama choma nyingi tu, lakini by saa sita usiku majiko huwa yamefungwa! The simple and obvious answer is "Families are no longer EATING together"! Baba anakula baa Mama anakula gesti - simple as that!
Why? Baby Come Back ... Does not hold water!
tatizo lako huchelewi kudisappear...........
enhe......:coffee::coffee::coffee:
hommie its too early for coffee...dont you think so?
Babu DC; Kwangu mimi English is better if i want to express my self.. Vinginevyo nahitaji muda mwingi kufikiria na kutafsiri...
Baba_Enock..................dah am speechless....aksante sana na kwa hii post naenda lala kwa amani.
Daayyymmm!!!tracy,
Katika uhusiano timilifu "hasira" haiwezi ku-lead mtu kuwa provocative - no, never... Ukiona mwenzio anakasirika katika mahusiano na anakuita "we mbwa hebu toka hapa" - lazima huelewe kuwa alishakuita mbwa "kimoyomoyo" a million times, kwahiyo hasira ni "catalyst" tu.. Vile vile ukiona Baba_Enock anarudi nyumbani amepinga kama Serengenti kumi halafu anagonga mlango kwa mateke na huku akimtukana Mama_Enock na kumuita "we Malaya fungua mlango" - fahamu kuwa kuna "Mama_Enock wa pili"
Kwahiyo, in principal and practice, the so called "second chance" ni unafiki tu - Na normally kwenye ndoa huwa ni njia pekee ya ku-protect interests of either side - be it Watoto, Mali, Fame, e.t.c na siyo kwamba hiyo samahani anayokuomba ili mrudiane ni genuine! Not at all.
But the good thing is couple nyingi zinaishi kwa kuombana samahani day-in day-out::: and life goes on, but in real sense huwa mapenzi yanaisha by the time unapokuwa provocative kwa mwenzi wako.
Have you guys ever wondered kwa nini vyakula vyote vinavyopikwa kwenye sehemu za starehe vinaisha kabla ya saa tano usiku? Kwa mfano kuanzia Tegeta kwa Ndevu mpaka Kibira Bunju A, kuna baa after every 50 metres na zote zinatengeneza michemsho na nyama choma nyingi tu, lakini by saa sita usiku majiko huwa yamefungwa! The simple and obvious answer is "Families are no longer EATING together"! Baba anakula baa Mama anakula gesti - simple as that!
Why? Baby Come Back ... Does not hold water!
tracy,
Katika uhusiano timilifu "hasira" haiwezi ku-lead mtu kuwa provocative - no, never... Ukiona mwenzio anakasirika katika mahusiano na anakuita "we mbwa hebu toka hapa" - lazima huelewe kuwa alishakuita mbwa "kimoyomoyo" a million times, kwahiyo hasira ni "catalyst" tu.. Vile vile ukiona Baba_Enock anarudi nyumbani amepinga kama Serengenti kumi halafu anagonga mlango kwa mateke na huku akimtukana Mama_Enock na kumuita "we Malaya fungua mlango" - fahamu kuwa kuna "Mama_Enock wa pili"
Kwahiyo, in principal and practice, the so called "second chance" ni unafiki tu - Na normally kwenye ndoa huwa ni njia pekee ya ku-protect interests of either side - be it Watoto, Mali, Fame, e.t.c na siyo kwamba hiyo samahani anayokuomba ili mrudiane ni genuine! Not at all.
But the good thing is couple nyingi zinaishi kwa kuombana samahani day-in day-out::: and life goes on, but in real sense huwa mapenzi yanaisha by the time unapokuwa provocative kwa mwenzi wako.
Have you guys ever wondered kwa nini vyakula vyote vinavyopikwa kwenye sehemu za starehe vinaisha kabla ya saa tano usiku? Kwa mfano kuanzia Tegeta kwa Ndevu mpaka Kibira Bunju A, kuna baa after every 50 metres na zote zinatengeneza michemsho na nyama choma nyingi tu, lakini by saa sita usiku majiko huwa yamefungwa! The simple and obvious answer is "Families are no longer EATING together"! Baba anakula baa Mama anakula gesti - simple as that!
Why? Baby Come Back ... Does not hold water!
Daayyymmm!!!
B_E, to me this is the best post of the past 12 months; sijui nisemeje ila kila word uliyoweka imekaa perfect na post, ujumbe upo clear
I love this post
kosa mara ya kwanza si kosa
lakini ukirudia hilo kosa kwa mara ya pili yako ngumu...
nikikukamata tena na yule binti ...
hakuna msamaha tena..
The Following User Say Thank You to Baba_Enock For This Useful Post: Dena Amsi (Today),
My Love sijawahi kukugongea thanks lakini kwa hili you deserve. Very useful post ever before!!!
hommie.....nililala 'njaa' hahaha
MMu has never been bad... its just we miss these vitu adimuI concur..hii ni vere vere....so, MMU is not that 'bad ' eeh
Wala usilalamike we defender gani unapiga chenga golini huku washambuliaji kibao pembeni ?
Hommie eti unaweza kufanya baby come back na Tusker ya baridi?