Baby Come Back.........

Baby Come Back.........

tracy,

Katika uhusiano timilifu "hasira" haiwezi ku-lead mtu kuwa provocative - no, never... Ukiona mwenzio anakasirika katika mahusiano na anakuita "we mbwa hebu toka hapa" - lazima huelewe kuwa alishakuita mbwa "kimoyomoyo" a million times, kwahiyo hasira ni "catalyst" tu.. Vile vile ukiona Baba_Enock anarudi nyumbani amepinga kama Serengenti kumi halafu anagonga mlango kwa mateke na huku akimtukana Mama_Enock na kumuita "we Malaya fungua mlango" - fahamu kuwa kuna "Mama_Enock wa pili"

Kwahiyo, in principal and practice, the so called "second chance" ni unafiki tu - Na normally kwenye ndoa huwa ni njia pekee ya ku-protect interests of either side - be it Watoto, Mali, Fame, e.t.c na siyo kwamba hiyo samahani anayokuomba ili mrudiane ni genuine! Not at all.

But the good thing is couple nyingi zinaishi kwa kuombana samahani day-in day-out::: and life goes on, but in real sense huwa mapenzi yanaisha by the time unapokuwa provocative kwa mwenzi wako.

Have you guys ever wondered kwa nini vyakula vyote vinavyopikwa kwenye sehemu za starehe vinaisha kabla ya saa tano usiku? Kwa mfano kuanzia Tegeta kwa Ndevu mpaka Kibira Bunju A, kuna baa after every 50 metres na zote zinatengeneza michemsho na nyama choma nyingi tu, lakini by saa sita usiku majiko huwa yamefungwa! The simple and obvious answer is "Families are no longer EATING together"! Baba anakula baa Mama anakula gesti - simple as that!

Why? Baby Come Back ... Does not hold water!

Baba_Enock..................dah am speechless....aksante sana na kwa hii post naenda lala kwa amani.
 
Babu DC; Kwangu mimi English is better if i want to express my self.. Vinginevyo nahitaji muda mwingi kufikiria na kutafsiri...
Loner hujambo bibie! Mbona umepotea sana? Me mcd u!
 
Kwa maoni yangu;
1. inategemea meachana katika mazingira gani, kwangu mimi nimesha jaribu hiyo kwa watu nilio achana nao kwa kugombana, na kwa kweli nikajaribu na kugundua kua vitu vile vile vilivyo kua vinani boa ni the same, na baada ya hiyo nika geuka bila kuanngalia nyuma.

2. kwa mazingira mengine kama mliachana kwa amani na kukawa kuna feelings zime hang, labda hapo ndiyo kuna chance ya kurudiana.. Pia inategemea ni muda gani tangu meachana...

I do hope this makes sense kwa sababu kuelezea kwa kiswahili ni project kubwa...

umeeleweka vizuri sana, hakikisha kesho una log on tena. tunaweza tukakuhitajia kwa masuali zaidi.

asante kwa ushirikiano.
 
mi na zawadi yako asante kwa kusema ukweli ambao wengi hatupendi kuukubali lakin ndio ulivo izi ndoa nyingi ni batili na izo baby come back ni sababu za kulinda yale tunayopenda yawepo kwa maslahi binafsi lakini si upendo wa kweli unaweza kuambiwa neno hata ukijaribu kulifuta likaendelea kuwepo kichwani miaka yote.

tracy,

Katika uhusiano timilifu "hasira" haiwezi ku-lead mtu kuwa provocative - no, never... Ukiona mwenzio anakasirika katika mahusiano na anakuita "we mbwa hebu toka hapa" - lazima huelewe kuwa alishakuita mbwa "kimoyomoyo" a million times, kwahiyo hasira ni "catalyst" tu.. Vile vile ukiona Baba_Enock anarudi nyumbani amepinga kama Serengenti kumi halafu anagonga mlango kwa mateke na huku akimtukana Mama_Enock na kumuita "we Malaya fungua mlango" - fahamu kuwa kuna "Mama_Enock wa pili"

Kwahiyo, in principal and practice, the so called "second chance" ni unafiki tu - Na normally kwenye ndoa huwa ni njia pekee ya ku-protect interests of either side - be it Watoto, Mali, Fame, e.t.c na siyo kwamba hiyo samahani anayokuomba ili mrudiane ni genuine! Not at all.

But the good thing is couple nyingi zinaishi kwa kuombana samahani day-in day-out::: and life goes on, but in real sense huwa mapenzi yanaisha by the time unapokuwa provocative kwa mwenzi wako.

Have you guys ever wondered kwa nini vyakula vyote vinavyopikwa kwenye sehemu za starehe vinaisha kabla ya saa tano usiku? Kwa mfano kuanzia Tegeta kwa Ndevu mpaka Kibira Bunju A, kuna baa after every 50 metres na zote zinatengeneza michemsho na nyama choma nyingi tu, lakini by saa sita usiku majiko huwa yamefungwa! The simple and obvious answer is "Families are no longer EATING together"! Baba anakula baa Mama anakula gesti - simple as that!

Why? Baby Come Back ... Does not hold water!
 
Babu DC; Kwangu mimi English is better if i want to express my self.. Vinginevyo nahitaji muda mwingi kufikiria na kutafsiri...

Hongera ndugu yangu...kwa wengine hiyo lugha tunaiogopa kama ukoma. Ni heri kukutana na FFU kuliko kuambiwa uko kwenye mazingira ambayo kimatumbi hakiruhusiwi.

Natumai ulikwepa karaha za kuzaliwa madongo kwinama kama sie, akina Kanumba!
 
Baba_Enock..................dah am speechless....aksante sana na kwa hii post naenda lala kwa amani.

MJ1,

Unaweza kutufanyia summary ili sisi wengine ambao kufikiri ni mzigo tuweze kupata desa kwa ulaini?
 
tracy,

Katika uhusiano timilifu "hasira" haiwezi ku-lead mtu kuwa provocative - no, never... Ukiona mwenzio anakasirika katika mahusiano na anakuita "we mbwa hebu toka hapa" - lazima huelewe kuwa alishakuita mbwa "kimoyomoyo" a million times, kwahiyo hasira ni "catalyst" tu.. Vile vile ukiona Baba_Enock anarudi nyumbani amepinga kama Serengenti kumi halafu anagonga mlango kwa mateke na huku akimtukana Mama_Enock na kumuita "we Malaya fungua mlango" - fahamu kuwa kuna "Mama_Enock wa pili"

Kwahiyo, in principal and practice, the so called "second chance" ni unafiki tu - Na normally kwenye ndoa huwa ni njia pekee ya ku-protect interests of either side - be it Watoto, Mali, Fame, e.t.c na siyo kwamba hiyo samahani anayokuomba ili mrudiane ni genuine! Not at all.

But the good thing is couple nyingi zinaishi kwa kuombana samahani day-in day-out::: and life goes on, but in real sense huwa mapenzi yanaisha by the time unapokuwa provocative kwa mwenzi wako.

Have you guys ever wondered kwa nini vyakula vyote vinavyopikwa kwenye sehemu za starehe vinaisha kabla ya saa tano usiku? Kwa mfano kuanzia Tegeta kwa Ndevu mpaka Kibira Bunju A, kuna baa after every 50 metres na zote zinatengeneza michemsho na nyama choma nyingi tu, lakini by saa sita usiku majiko huwa yamefungwa! The simple and obvious answer is "Families are no longer EATING together"! Baba anakula baa Mama anakula gesti - simple as that!

Why? Baby Come Back ... Does not hold water!
Daayyymmm!!!

B_E, to me this is the best post of the past 12 months; sijui nisemeje ila kila word uliyoweka imekaa perfect na post, ujumbe upo clear

I love this post
 
tracy,

Katika uhusiano timilifu "hasira" haiwezi ku-lead mtu kuwa provocative - no, never... Ukiona mwenzio anakasirika katika mahusiano na anakuita "we mbwa hebu toka hapa" - lazima huelewe kuwa alishakuita mbwa "kimoyomoyo" a million times, kwahiyo hasira ni "catalyst" tu.. Vile vile ukiona Baba_Enock anarudi nyumbani amepinga kama Serengenti kumi halafu anagonga mlango kwa mateke na huku akimtukana Mama_Enock na kumuita "we Malaya fungua mlango" - fahamu kuwa kuna "Mama_Enock wa pili"



Kwahiyo, in principal and practice, the so called "second chance" ni unafiki tu - Na normally kwenye ndoa huwa ni njia pekee ya ku-protect interests of either side - be it Watoto, Mali, Fame, e.t.c na siyo kwamba hiyo samahani anayokuomba ili mrudiane ni genuine! Not at all.

But the good thing is couple nyingi zinaishi kwa kuombana samahani day-in day-out::: and life goes on, but in real sense huwa mapenzi yanaisha by the time unapokuwa provocative kwa mwenzi wako.

Have you guys ever wondered kwa nini vyakula vyote vinavyopikwa kwenye sehemu za starehe vinaisha kabla ya saa tano usiku? Kwa mfano kuanzia Tegeta kwa Ndevu mpaka Kibira Bunju A, kuna baa after every 50 metres na zote zinatengeneza michemsho na nyama choma nyingi tu, lakini by saa sita usiku majiko huwa yamefungwa! The simple and obvious answer is "Families are no longer EATING together"! Baba anakula baa Mama anakula gesti - simple as that!

Why? Baby Come Back ... Does not hold water!


The Following User Say Thank You to Baba_Enock For This Useful Post: Dena Amsi (Today),

My Love sijawahi kukugongea thanks lakini kwa hili you deserve. Very useful post ever before!!!
 
Daayyymmm!!!

B_E, to me this is the best post of the past 12 months; sijui nisemeje ila kila word uliyoweka imekaa perfect na post, ujumbe upo clear

I love this post


I concur..hii ni vere vere....so, MMU is not that 'bad ' eeh
 
I concur..hii ni vere vere....so, MMU is not that 'bad ' eeh
MMu has never been bad... its just we miss these vitu adimu

if it was that bad, i would stick to maria roza forum
 
Hommie eti unaweza kufanya baby come back na Tusker ya baridi?


Inategemea, yaani, 'it depends'

Mfano tusker baridi sikuachana nayo 'kwa ubaya'

kuna haja ya kuweka akiba ikifika mahali au sehemu hakuna 'valeur' si nitarudia tusker yangu?

na hivi, sikuwa nimefall in love nayo.....hahahah

nimeona kuna sijui kuevaporate na kucondense?
 
Back
Top Bottom