Baby Come Back.........

Baby Come Back.........

MJ1,

You just have to let the power of chemistry solve the problems for you. If no chemistry at all, you will never in the first place attempt to see such as useless person.

Emotional issue are never dealt with using philosophical theories. Unaweza kushangaa mtu aliyekusabibishia vidonda vya tumbo ukimwona unamwaga machozi ya furaha wakati mtu ambaye wala hakukufanyia kitu kibaya unatamani umwandikie kadi ya RIP! Tuache utani, haya mambo hayawezi kutungiwa sheria wala katiba! Kama mnabisha undeni kamati ya kupitia katiba zooote zilizopo muone kama kuna siku mtaweza kuandika mpya. Mkithubutu kuifanya hiyo kazi basi niletee bili zote nizilipe mimi!

Ah..........Babu ingawa moyo wangu leo una ukungu kwa uzito lakini kwenye red nimecheka ...........ni kweli kabisa uwii namkumbuka kijana mmoja chuo alikuwaga ananipenda kufa jamani mie nkawa hata kumtizama sitaki loh........eti unatamani kumwandikia kadi ya RIP
 
Speaker ......aksante kwa kulielewa vema swali langu........yes sometimes kuna hicho kisauti deep inside kinakwambia ameona kwako ndo bora ndo mana kakurudia (hasa kama ulijua kuwa alipoondoka kwako alikwenda kwa mwingine) but hiyo sehemu ya pili kuwa yakiharibika ni wewe sio kuwa inategemea?? Coz mwingine anaweza kukucomisha back halafu akaona ni mchezo akaharibu tena akijua akija kukuomba ucome back tena utakubali?

I have once tried that you know.......mara mbili and things turned to be the same ...and even worse



Halafu bado unajiuliza kama umkambakishe au vp. Sis vp umepewa limbwata nini? tena hili litakua limerushwa kama kombora. Atakachokufanya SAFARI HII naona utatafuta bastola umshoot halafu uache familia inatangatanga. MUOMBE MUNGU SANA
 
rr turudiane pls beb com bak......:tongue::tongue:!!
teamo habar ako banaaaaaaaaaaaa
babu matiti auma....
MWAJADILI MAACHANAO ennh..???????au matengano?panapo mahitaji mwahitajiana km kawa?o neva c me again?
 
ah ah ah babu usijali mm ni yule yule mjukuu wako mtiifuuuuuuuuuuuuuu!Happy new year babu
That echo is loud and clear...Wish I could talk you...may be next time via PM ya mobile!!
 
Huyo alikuwa ni mla nyama za watu. Nakupongeza sana kwa kutomruhusu. Ila kuna cases nyingine bwana watu wanarudiana hadi nyie watazamaji mnashangaa. Ndiyo maana mimi nasema hii kemia ina kichaa!

Dah...umenikumbusha jirani yangu, waligombana na mkewe wakatengana. Watu wakamsaidia mkewe, naye akajirusha na mke wa mtu. Mkewe kapata mimba, wakati naye kampa mke wa mtu mimba (huyu mshenzi alivunja ndoa ya mtu). Huwez amini wamerudiana na Mkewe akiwa na MIMBA ya mtu wanayefahamiana.
 
Sawa babu, hivi anayekupenda kwa maana ya kupenda anaweza kukutosa akamaliza mwaka mmoja ndo akakumbuka baby come back? Am telling you, kuna kitu alikuwa anakipata sasa kimemponyoka. Anarudi na imani yake mpya ya baby come back, ukiingia line, akapata kingine anakutenda tena. Hapa Babu naweza kuapa!

hata 2 weeks amalizi...hapo bwana inakuwa mtu kashika mawili, alivyonogewa huko yakawa yakuwa, alivyoona amebugi step akarudi alikotoka, mbaya sana! halafu mtu ukirudiana na mtu kama huyu unakuwa na mapenzi nae kweli au ni upofu tu unatusumbua?...yaani mie ningekuwa nahic labda tukimaliza kufanya matuc (coz nahic ndio kilichomrudisha kuja kujua kama bado unavaa bukta au cku hizi ni gstring) angerudi alikotoka, nicngekuwa na imani nae hata robo.
 
MJ1,

Kuna mambo kibao tu yanaweza kumfanya mtu afikirie kugeuka nyuma hata ikimaanisha kuwa anaweza kugeuka jiwe. Kuna watu wanakuwa kwenye mahusiano na wakati huo hawajitambui. Kwa hiyo wanaweza kujikuta wanaachia lulu bila kujua madhara yake. Kuna wengine wanaamua kwa shinikizo la wapambe au ndugu, na wengine pia wanaweza kuachia ngazi kwa sababu ya mis-calculation i.e wanashindwa ku-balance mzani endapo wana watu zaidi ya mmoja. Na ukizingatia dhamani ya kitu inafikia maximu mara kabla ya kukipata na baada ya hapo inaporomoka kuelekea kwenye zero. Na unapokipoteza hicho kitu basi thamani yake inaweza kupanda hadi ikazidi ile maximum ya kwanza.

Uamuzi wa kumpa nafasi mtu anayerudi kwa kutembelea magoti kama alivyosema AD unategemea mambo mengi ila la msingi ni mazingira ya ile point mlipoachana kwa mara ya mwisho.. Tutaendelea kwenye next edition au kama inatosha poa!

Babu DC

Sawa babu, hivi anayekupenda kwa maana ya kupenda anaweza kukutosa akamaliza mwaka mmoja ndo akakumbuka baby come back? Am telling you, kuna kitu alikuwa anakipata sasa kimemponyoka. Anarudi na imani yake mpya ya baby come back, ukiingia line, akapata kingine anakutenda tena. Hapa Babu naweza kuapa!

Naomba usome hiyo post yangu ya awali kuhusu visababishi vya hilo tatizo halafu uone kuwa kwa kweli mazingira ya kubwagana yanatofautiana sana. Ingawa kuna wengine wanakuwa na visababu uchwara, kashifa au wauaji kama yule BF wa Nyamayao. Ndo maana nasema mazingira ya kusamehe au la hayatabiriki kwa calculations za leo. Ni hadi utakapokutana na hilo tukio ndo utajua la kufanya!
 
rr turudiane pls beb com bak......:tongue::tongue:!!
teamo habar ako banaaaaaaaaaaaa
babu matiti auma....
MWAJADILI MAACHANAO ennh..???????au matengano?panapo mahitaji mwahitajiana km kawa?o neva c me again?

Hapa hatutaki maofu topiki....leo ni mambo ya bebi kamu baki... BTW nimekumisi sana.
 
Hahahaaa....suppose mlikosana na INFII kwa kuwa rafiki yako kakumegea...siyo baby come back mkirudiana "kwa bahati mbaya"?
Asa utakosanaje na Infii kwa kuwa rafiki kamega si sheria zenu zinaruhusu kushare??
 
rr turudiane pls beb com bak......:tongue::tongue:!!
teamo habar ako banaaaaaaaaaaaa
babu matiti auma....
MWAJADILI MAACHANAO ennh..???????au matengano?panapo mahitaji mwahitajiana km kawa?o neva c me again?


Babu yupi unamwongelea wewe Rose?
 
ah ah ah babu usijali mm ni yule yule mjukuu wako mtiifuuuuuuuuuuuuuu!Happy new year babu

The same to you P...

Nikusoma sana. Ndo raha ya MMU...Unakutana breaking news hadi huamini...But life is always there for us all, be it in black or white!
 
hata 2 weeks amalizi...hapo bwana inakuwa mtu kashika mawili, alivyonogewa huko yakawa yakuwa, alivyoona amebugi step akarudi alikotoka, mbaya sana! halafu mtu ukirudiana na mtu kama huyu unakuwa na mapenzi nae kweli au ni upofu tu unatusumbua?...yaani mie ningekuwa nahic labda tukimaliza kufanya matuc (coz nahic ndio kilichomrudisha kuja kujua kama bado unavaa bukta au cku hizi ni gstring) angerudi alikotoka, nicngekuwa na imani nae hata robo.

Nashangaa kwa mara ya kwanza tunaongea lugha moja....kweli mwaka mupya na mambo mapya.

Huu mwaka hakuna unoko. Ngoja nikutumie kadi ya chama. Ada nakulipia.
 
Asa utakosanaje na Infii kwa kuwa rafiki kamega si sheria zenu zinaruhusu kushare??

Hiyo sheria imefanyiwa ammendment...Sharing Is Caring But Please Please share secretly...kwa hisani ya watu wa gesti na kuokoa mauaji ya wanachama

Hahahahaha...mjukuu kuna vya kushea bana lol
 
cjambo kaka yangu mpenzi...mie bwana afadhali hata ningejuaga yule bwana y ameniacha, imagine, tulikuwa kindoroko dinner, tumeagana vzr kabisa mapenzi moto moto, asubuhi unamcal hapokei, call call weee mpaka alijickia kutuma sms kwamba"naomba tuishie hapo tulipofikia"....kaka kidogo nidondoke, na ukituma sms bac kujua kulikoni hazijibiwi...haaaa aliniweza yule jamaa wallaah.....huyu hasameheki mpaka kiama kiama kabisa....hakuna kurudi nyuma kabisa!
Naona leo umeamua kukumbushia machungu...pole sana mshiki!!
 
Naona leo umeamua kukumbushia machungu...pole sana mshiki!!

At least hauposti Via Mobile babu anapata matumaini kuwa uko hai.

Salamu usalule hapo. Tunapatafutia sababu.

Safari ya USALULE WING!!
 
Hiyo sheria imefanyiwa ammendment...Sharing Is Caring But Please Please share secretly...kwa hisani ya watu wa gesti na kuokoa mauaji ya wanachama

Hahahahaha...mjukuu kuna vya kushea bana lol
Hommie kamata hiii kwa Afya yako
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

Kimey (Today)​
 
Hiyo sheria imefanyiwa ammendment...Sharing Is Caring But Please Please share secretly...kwa hisani ya watu wa gesti na kuokoa mauaji ya wanachama

Hahahahaha...mjukuu kuna vya kushea bana lol
Kwa hiyo ile sentensi isemayo ukimpata infii anayejituma muhabarishe na mwenzio mnaiondoa?? basi mtabadilisha katiba yote maana mnashauriwa pia neva fall kwa infii sasa ukianza kumwonea wivu ina maana unafall
 
Hommie kamata hiii kwa Afya yako
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:


Kimey (Today)


Hahaha...hommie hii inaitwa SENKSI KAMU BAKI....Haihitaji limbwata hii....
 
sikiliza we crap,
dem ako akikuletea za ajabu UNAWEKA OVADRAIVU unakanyaga mafuta

always remember....''VAPOURIZED FEELINGS CAN NEVER BE CONDENSED''

MMmmmmmmmmmmmmmm! DEM/BUZI, ATM nk nk nk,
APPLIED
 
Back
Top Bottom