Baby Come Back.........

Baby Come Back.........

MMu has never been bad... its just we miss these vitu adimu

if it was that bad, i would stick to maria roza forum

hahahaha ngoja kwanza niende uwanja wa mapambano yaani siruhusiwi kucheka wiki nzima hii ila hapa sina mbavu daaaaamn! hahahaa
 
tracy,

Katika uhusiano timilifu "hasira" haiwezi ku-lead mtu kuwa provocative - no, never... Ukiona mwenzio anakasirika katika mahusiano na anakuita "we mbwa hebu toka hapa" - lazima huelewe kuwa alishakuita mbwa "kimoyomoyo" a million times, kwahiyo hasira ni "catalyst" tu.. Vile vile ukiona Baba_Enock anarudi nyumbani amepinga kama Serengenti kumi halafu anagonga mlango kwa mateke na huku akimtukana Mama_Enock na kumuita "we Malaya fungua mlango" - fahamu kuwa kuna "Mama_Enock wa pili"

Kwahiyo, in principal and practice, the so called "second chance" ni unafiki tu - Na normally kwenye ndoa huwa ni njia pekee ya ku-protect interests of either side - be it Watoto, Mali, Fame, e.t.c na siyo kwamba hiyo samahani anayokuomba ili mrudiane ni genuine! Not at all.

But the good thing is couple nyingi zinaishi kwa kuombana samahani day-in day-out::: and life goes on, but in real sense huwa mapenzi yanaisha by the time unapokuwa provocative kwa mwenzi wako.

Have you guys ever wondered kwa nini vyakula vyote vinavyopikwa kwenye sehemu za starehe vinaisha kabla ya saa tano usiku? Kwa mfano kuanzia Tegeta kwa Ndevu mpaka Kibira Bunju A, kuna baa after every 50 metres na zote zinatengeneza michemsho na nyama choma nyingi tu, lakini by saa sita usiku majiko huwa yamefungwa! The simple and obvious answer is "Families are no longer EATING together"! Baba anakula baa Mama anakula gesti - simple as that!

Why? Baby Come Back ... Does not hold water!

Aisee...nadhani hii thread ifungwe sasa.

Skulimeti umeongea ya kuongea. Pale kwa Leyla kuna bia zako 5 za baridi kwa hisani ya hii "baby come back" stuff.

I, babu, salute you skulimet, and this yuziful post!
 
tracy,

Katika uhusiano timilifu "hasira" haiwezi ku-lead mtu kuwa provocative - no, never... Ukiona mwenzio anakasirika katika mahusiano na anakuita "we mbwa hebu toka hapa" - lazima huelewe kuwa alishakuita mbwa "kimoyomoyo" a million times, kwahiyo hasira ni "catalyst" tu.. Vile vile ukiona Baba_Enock anarudi nyumbani amepinga kama Serengenti kumi halafu anagonga mlango kwa mateke na huku akimtukana Mama_Enock na kumuita "we Malaya fungua mlango" - fahamu kuwa kuna "Mama_Enock wa pili"

Kwahiyo, in principal and practice, the so called "second chance" ni unafiki tu - Na normally kwenye ndoa huwa ni njia pekee ya ku-protect interests of either side - be it Watoto, Mali, Fame, e.t.c na siyo kwamba hiyo samahani anayokuomba ili mrudiane ni genuine! Not at all.

But the good thing is couple nyingi zinaishi kwa kuombana samahani day-in day-out::: and life goes on, but in real sense huwa mapenzi yanaisha by the time unapokuwa provocative kwa mwenzi wako.

Have you guys ever wondered kwa nini vyakula vyote vinavyopikwa kwenye sehemu za starehe vinaisha kabla ya saa tano usiku? Kwa mfano kuanzia Tegeta kwa Ndevu mpaka Kibira Bunju A, kuna baa after every 50 metres na zote zinatengeneza michemsho na nyama choma nyingi tu, lakini by saa sita usiku majiko huwa yamefungwa! The simple and obvious answer is "Families are no longer EATING together"! Baba anakula baa Mama anakula gesti - simple as that!

Why? Baby Come Back ... Does not hold water!

The Following 7 Users Say Thank You to Baba_Enock For This Useful Post:

Acid (Today), Asprin (Today), Chauro (Yesterday), Dark City (Yesterday), Dena Amsi (Today), Kaizer (Today), MwanajamiiOne (Yesterday)​
 
Aisee...nadhani hii thread ifungwe sasa.

Skulimeti umeongea ya kuongea. Pale kwa Leyla kuna bia zako 5 za baridi kwa hisani ya hii "baby come back" stuff.

I, babu, salute you skulimet, and this yuziful post!

Babu ngonga thanks basi
 
Inategemea, yaani, 'it depends'

Mfano tusker baridi sikuachana nayo 'kwa ubaya'

kuna haja ya kuweka akiba ikifika mahali au sehemu hakuna 'valeur' si nitarudia tusker yangu?

na hivi, sikuwa nimefall in love nayo.....hahahah

nimeona kuna sijui kuevaporate na kucondense?

Hahaha...kijana analeta principles za thermodynamics kwenye baby come back.... madhara ya kutegemea calculations kufaulu mitihani.

Sasa hommie, si unaweza kukosana na Tusker baridi inapokufumania ukifanya mapenzi na dose ya malaria?
 
asee baba enock hapo huu UMEUA!

hiyo makitu unaiwezanga yani ARIF
 
Hahaha...kijana analeta principles za thermodynamics kwenye baby come back.... madhara ya kutegemea calculations kufaulu mitihani.

Sasa hommie, si unaweza kukosana na Tusker baridi inapokufumania ukifanya mapenzi na dose ya malaria?

Asprin... Hizi signature huwa unatoa wapi??
Makwenzi kwa watoto, Ngumi kwa wakubwa:israel::israel::israel:
Test... test 112! Kunywa bia .....maji yana bakteria!!
 
Tangazo:

Namtafuta Smiles, dada yake Wiselady huku mlimani, ananung'unika kuwa ananihudumia PEKE YAKE. yeyote atakayemwona, ampe ujumbe huu maalumu kutoka kwa Mwenyekiti.

Asanteni.
 
Asprin... Hizi signature huwa unatoa wapi??
Makwenzi kwa watoto, Ngumi kwa wakubwa:israel::israel::israel:
Test... test 112! Kunywa bia .....maji yana bakteria!!

Hahahahahaha: MZEE WA MEMKWA!!!
 
Tangazo:

Namtafuta Smiles, dada yake Wiselady huku mlimani, ananung'unika kuwa ananihudumia PEKE YAKE. yeyote atakayemwona, ampe ujumbe huu maalumu kutoka kwa Mwenyekiti.

Asanteni.

Hivi kumbe uko na Wiselady....mwambie sitaihitaji Baby Come Back yake.
 
My love hebu hakikisha hapa, hii SENKSI KAMU BAKI....



The Following User Says Thank You to Dena Amsi For This Useful Post:

Asprin (Today)​

Babu tangu asubuhi nilikuwa sijacheka nimecheka mpaka nimezimia haya bwana. Lakini mgongee na B_E basi
 
Tangazo:

Namtafuta Smiles, dada yake Wiselady huku mlimani, ananung'unika kuwa ananihudumia PEKE YAKE. yeyote atakayemwona, ampe ujumbe huu maalumu kutoka kwa Mwenyekiti.

Asanteni.

Halafu wewe usianze kuchakachua thread kaanzishe yako hukooo ya kumtafuta huyo Smiles wako
 
Back
Top Bottom