Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Tetesii atii aliupiga chinii u raisi wa wilaya fulani kanda ya kaskazini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli huyu mtangazaji wa clouds 360 baby kabae ana mvuto mnoo.
Ni mzuri
Ana exposure
Si mjivuni
Social
Mambo Safi
Natamani kumjua zaidi hasa historia yake na asili yake.
Baby kabae jua kabisa katika watu wanaokupenda hapa duniani superbug yupo top three. Kama upo humu jf basi like hii post angalau nipate faraja kwamba umenisoma.
Wako akupendae;
Superbug
Mghosi N'zezeMfuate..
😅😅😅😅😅😅😅 namsihi mtoa mada ajitahidi kula sana mboga za majani na carrots! Zitamsaidia sanaView attachment 1419479
Wale wa picha...
Ndiyo Ukweli WenyeweNi mkenya yule anapewaje u DC?
mimi sijasema aliyepewa uDC ni mkenya,kwa nini umeniuliza?Ni mkenya yule anapewaje u DC?
Ni mkenya huyoKwakweli huyu mtangazaji wa clouds 360 baby kabae ana mvuto mnoo.
Ni mzuri
Ana exposure
Si mjivuni
Social
Mambo Safi
Natamani kumjua zaidi hasa historia yake na asili yake.
Baby kabae jua kabisa katika watu wanaokupenda hapa duniani superbug yupo top three. Kama upo humu jf basi like hii post angalau nipate faraja kwamba umenisoma.
Wako akupendae;
Superbug
Hahaha dah wat man matusi aiseeeHuyu ndy alinganishwe na demu wangu kweli? Kamzidi umri tu
Ooh booyYes ukitoa mama yangu huyu baby ndio next to me! The most beautiful and most loved woman in my life.
Ana kipara huyo hatarii mwambie atoe kilemba kichwani utatamani kufuta huu Uzi wako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaaaAna kipara huyo hatarii mwambie atoe kilemba kichwani utatamani kufuta huu Uzi wako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Babe kabae huyu huyu wa clouds au kuna mwingine? Kama ni huyu wa clouds mimi sijaona ajabu lakeKwakweli huyu mtangazaji wa clouds 360 baby kabae ana mvuto mnoo.
Ni mzuri
Ana exposure
Si mjivuni
Social
Mambo Safi
Natamani kumjua zaidi hasa historia yake na asili yake.
Baby kabae jua kabisa katika watu wanaokupenda hapa duniani superbug yupo top three. Kama upo humu jf basi like hii post angalau nipate faraja kwamba umenisoma.
Wako akupendae;
Superbug
Huyu dada mtu sana,sometime unaweza kuangalia tbc bila kutakaYupo huyu mwingine wa TBC ktk kipindi cha aridhio na yeye si haba.View attachment 1419484View attachment 1419485View attachment 1419486View attachment 1419487View attachment 1419488
Sent using Jamii Forums mobile app
unajua maana ya star?Mh ais
Mh aisee kwakuwa ni star maneno lazima asemwe.
Magu alimmendeaga sanaTetesii atii aliupiga chinii u raisi wa wilaya fulani kanda ya kaskazini
Sent using Jamii Forums mobile app