Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahah zama zimebadilika sio kila homa ni malaria š¤£š¤£š¤£zama zimebadilika... siku hizi pesa tu ndio ya kumtoa nyoka pangoni! Ukiwa na maneno hayo na hauna hela utajiongelesha kila siku katika blue ticks[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mwache aendeleze ngonjera bila pesa aone kitachomkuta