Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa zamani ila sasa hakuna jipya. Kila mtu kwa sasa yupo busy na kupambana na maisha.Ila mshkaji anajua kuwalisha hatter ndimu plus kuwapa vidonda vya tumbo yaani kufa hawafi lakini chamoto wanakiona
Labda kwako ila imetazwamwa live YouTube na watu 400k+ na imetrend kwenye page zote za udaku km haupo kwenye mitandano ya jamii utajuaje hilo.We
Wenyewe wamefurahi ndiyo cha muhimu
Kwa tanasha sina neno, ila kwa dai mmmmh anavyopenda masifa vile.We
Wenyewe wamefurahi ndiyo cha muhimu
Kijana huijui Tanzania vizuri Tanzania wanapenda udaku ile mbaya hii event YouTube pekee imetazamwa 400k+ comments zilikuwa elfu 50+ na atujazungumzia na wengine walioangalia kupitia wasafitv na imetrend kwenye page karibia zote za udaku utasemaje watanzania wapo busy?Ilikuwa zamani ila sasa hakuna jipya. Kila mtu kwa sasa yupo busy na kupambana na maisha.
Wangekuwa wanaweka na umri ungea angalia wenye umri gani wameangalia hzo mamboKijana huijui Tanzania vizuri Tanzania wanapenda udaku ile mbaya hii event YouTube pekee imetazamwa 400k+ comments zilikuwa elfu 50+ na atujazungumzia na wengine walioangalia kupitia wasafitv na imetrend kwenye page karibia zote za udaku utasemaje watanzania wapo busy?
Hiyo inaweza kuwa kwa upande wako ila kwa wengine ikawa tofauti ndo maisha yalivyoWangekuwa wanaweka na umri ungea angalia wenye umri gani wameangalia hzo mambo
Sina jukwaa lolote nalofuatilia mambo Zaid ya jf ninaweza pata kitu Cha kuingiza na si upumbavu huo wa udaku Ni ucheki
Ukiangalia watu waliokuwa wanaaangalia Ni watu ambao hawana Cha kupoteza wanaenda Kama walivyo [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Alafu Cha ajabu boyfriend wake kamwachia avae hivyo hiv sisi wanaume tunakwama wapi?hiv kweli unaweza kutembea na girlfriend wako kavaa hiv na wewe unachukulia poa?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] na kweli, akitoka huko akatuwakilishe na RwandaAnafuraha anapata mtoto muache
duuh saamtu kama huyu ndo unampelekea mama eti ni mepata mke si anakushhangaa na nusu
we ni mmoja wao mbona kama povu hHAHAHAIlikuwa zamani ila sasa hakuna jipya. Kila mtu kwa sasa yupo busy na kupambana na maisha.