Haiwezi kuwa over jamani tupe facts za ukweli jamani au umeng'ang'ana anakopesheka lol hata akiba na acess bank wanakopesha so hata sinta alikopa akakopesheka hata milioni moja ila nayo ni mkopo.
Na issue na kupotea na kurudi sio sababu kumuogopa mtu fulani sema tu mtu unatingwa na issue nyingine ukipata muda inachungulia... Wengine humu ni housewifes wacha tuandaeandae ingaws umbea tunautaka lol!
MBA YANGU PAPER YANGU ILIKUWA ON MORTGAGE FINANCING, knock ya self out! I know what i know!We hiyo Mortagage umeijua leo banaaa kwani ye ana kampuni au mumewe ana kampuni ya kuwauwezesha kufungua corporate account...
Maana kibongobongo Barclays na Stanbic kwa personal loan wanatoa Hadi million 70 tena unsecured scheme loan so si ajabu maana hizi bank hata US zipo na kama bongo zinamkopesha mtu hela hiyo tena bila hata security ya kiwanja wala nyumba tofaut na local bank kwa US si ajabu..
Usitishe watu na hizo theory za cash flow tulizo karirishwa NBAA kwenye CPA na reality huku bank wanatoa mikopo mikubwa bila dhamana na kama huyo mange alifanya kwenye hizo bank ukweli anaujua ila asemi atazidi kuwachota nyota anajua wengi hawajui wanashabikia vitu wasivyovijua. Speakn frm experience.
Hahaaaaaaa! Mwenzio INTERNATIONAL BANKER, MUME RAIA USA, we baki hivo hivo!
Sidhani kama utajiri wake unakuhusu u should be busy thinking about improving your life rather than kukaa na kuwaza utajiri wa mange, just ushauri tu
MBA YANGU PAPER YANGU ILIKUWA ON MORTGAGE FINANCING, knock ya self out! I know what i know!
He he he umepanic.
Mimi NIMEJIRIDHISHA HANAAAA PASIPO SHAKA LOLOTE,! Wewe mtazamo wako tu utavojiridhisha its up to you! Ukipenda muone hata shammy anayo
BEEF LIKO CURRENT HAPO KABLA YA BEEF NI IRRELEVANT, ! SHAMIM KABLA HAJAOLEWA ALIKUWA ANAISHI WAPI.? Muangalie na upande wa pili! Hata Moni Finance kabla hajala mchongo wqnu finance manager hakuwa na wasifu niliotoa!
hizi thred zingine heading muandike girls only
Hahaaaaaaa! Mwenzio INTERNATIONAL BANKER, MUME RAIA USA, we baki hivo hivo!
qn of sheba nipe Cv ya Klyn nasikiaa ni balaaaaaaaa hiv alijifunguliaa wapiii???Ndio umejidhiirisha kuwa Wanazo MBA si wamesema wanazo unless otherwise u upload cv ya huyo mdada unayedai kasingizia ana masters wakati hana ila bila huo ushaidi wote mnajigroup kwenye MBA kama Huyo shosti wako ni MBA basi na shoga yake sinta ni MBA....
qn of sheba nipe Cv ya Klyn nasikiaa ni balaaaaaaaa hiv alijifunguliaa wapiii???
qn of sheba nipe Cv ya Klyn nasikiaa ni balaaaaaaaa hiv alijifunguliaa wapiii???
Wapo hadi wabongo ni Raia wa USA na wana pesa chafuu ila hawajitangaziiii,,
Hahaaa kajifungulia nje ila sijui nchi gani ila bidada wa watu hata picha ya clinic hajaweka ila wenzangu namimi walio accumulate bima ya afya miaka kumi sasa kelele kutwa kucha vyura wana afadhali nawish akiwa na malaria na mafua awe anatuwekea picha kuwa kaenda kutibiwa pale.
Wewe wape tu hata PHD ukitaka mi kesi, na quality group sitaki!Ndio umejidhiirisha kuwa Wanazo MBA si wamesema wanazo unless otherwise u upload cv ya huyo mdada unayedai kasingizia ana masters wakati hana ila bila huo ushaidi wote mnajigroup kwenye MBA kama Huyo shosti wako ni MBA basi na shoga yake sinta ni MBA....
If YOU GOT IT FLAUNT IT,!!!! Hahahaaaaaaaa! Mtu chake!Wapo hadi wabongo ni Raia wa USA na wana pesa chafuu ila hawajitangaziiii,,
Nyie akina dada hebu sikilizeni, Cedars-Sinai Medical Center si hospitali ya kifahari hata kidogo. Ni hospitali ya mafunzo inayoendesha shughuli zake za tiba na utafiti kama taasisi au asasi isiyo ya kutengeneza faida.
Kwa hiyo msidanganywe eti kisa tu mtu kwenda kujifungulia hapo basi ndo iwe hospitali ya kifahari. Hapana. Hata watu wa kawaida tu wasio matajiri wala wasio na umashuhuri wowote ule huenda hapo kupata tiba mbalimbali.
And you can take my word for it because I know what I'm talking about.
Ingekuwa mtu kaenda kujifungulia UCLA Medical Center (ambayo ni private, for profit hospital) hapo kidogo ningeweza kushtuka maana katika Marekani nzima hii hospitali ina rank kwenye top five best hospitals in the US. Na pia ishatoa Nobel laureate katika medicine (Dr. Louis Ignarro). Cedars-Sinai hata kwenye top 10 haipo. Labda top 20.
Cedars-Sinai hata homeless na low-income people huenda kutibiwa! It ain't all that you all are being made to believe it is.
asante kwa information mkuu mana hapa watu wameng'ang'ania utafikri cjui nin uzuri kuna watu wanafahamu kudaganya wengne waonekane wako juu yan hapa umemalza kila kitu mara niko juu hospital kim kardashian kajifungulia wapenda mashauzi bwana bora umemalza kila kitu
Well, ndo hivyo. Cedars-Sinai kwa bongo tunaweza kuifananisha labda na Muhimbili hivi. Lakini si hospitali ya watu wa matawi ya juu.
Uzuri wa Marekani ni kwamba, facilities zenye ubora wa hali ya juu ni nyingi kiasi cha kuweza kutumiwa na watu wa kada mbalimbali pasipo kuleta tofauti yoyote ile ya kihuduma.