qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
wana ubavu walisahau kuwa hi jf na watu ni ma great thinker wao wakaja na mipasho
wapiiiiiii lara1
Si wamezoea kule wanakopakwa mafuta kwa migongo ya chupa wamesahau huku great thinkers goes with vivid examples hawana ubavu wa kumbishia wanaishia kusema ooh wanaume wanachangia humu, kwani nan kasema hii thread ya girls.. Maneno ya mkosaji hawanajipyaa
Bongo mayoooooo! Bongooo eeeh! Ngoja nitoke NDUKI!qn of sheba nipe Cv ya Klyn nasikiaa ni balaaaaaaaa hiv alijifunguliaa wapiii???
Hahaaaaaaaaaa!Lara1 hahah Hilo la wanaume kwenye baby shower hata mie nimejiuliza but nkamyuti maana huku kishumundu hata bby shower hatujui maana yake..... Hebu Nisaidie
Heeeeee mbona kumepoa ghafla???? jamani kwani shetwani kapita humu?? heee raisi wa wabeba box kavuruga kijiwe ghafla watu wametawanyika???????????? wapi team ronya ronya?
Alafu wewe tangaza maslahi sio unatuchora hapa. Nimekusoma mahali unamquote mtu ukarefer sisi kama haters wa Mange. hakuna haters wa Mange hapa ila tumeomba fact ili na sie tushabikie na tuukubali utajiri wake.
Jamani Mimi ninaogopa sana kumjudge mtu..... Shamimu ninamfahamu kwa karibu sana. Ninadiriki kusema Kuwa Kama tunaambiwa kila mtu Yukon responsible kwa happiness yake, why tumseme kwa Kuwa yeye amechagua kuishi maisha ya fur aha? Ndani Ana uh akiwa Kuwa baba Iqra alikuwa hampi karaha Shamimu? Mambo yao ya ndani hatuyajui sasa hayo ya alimwacha ili aolewe na mwenyepesa tunayatoa wapi? Shamimu alikuwa anakutana na watu wenye pesa hata kabla hajaolewa na Moedy, na bado akakubali kuolewa naye so hatuna uhakika Kuwa aliachana na Moedy kwa sababu ya kupenda pesa. Na pia amekuja kukutana na mumewe wa sasa Baada ya kuachana na Moedy. So tulsi judge mtu kwa habari za kusimuliwa.
Mange...... Mange anaishi maisha yake, ambayo Nina hakika Kuwa kwa Kuwa yako hivyo ndo maana ameamua kuyaweka hadharani....... Kabla ya kuolewa na Lance mange alikuwa na blog? Kama alikuwa nayo, je aliyaanika maisha aliyekuwa a nayo? So ni uamuzi wake pia......tukumbuke Kuwa we choose what we want people to know about us..........
Nimesoma cc LARA 1 tu nikaona Jini ndolimecomment sijigusi maisha yangu!Lmao! Usingejibu usichokisoma hata kama umetajwa.... Heheheheiyaaaa
Kwan humu tumo baby shower hahhhahhhhahha acha watu wachangieee
Nimesoma cc LARA 1 tu nikaona Jini ndolimecomment sijigusi maisha yangu!
Wewe KUNA WATU NINA ALLERY NAO HUMU, MIJADALA YA SISHIRIKI MAISHA YANGU,! Ni sworn enemies wangu, tuahafanyaga raw beef wakafungiwa, toka hapo BAAAAAAAAAAAAAAAASSS.! Ila hoja ZISIZOFUNGAMANA NA ALLERGY YANGU NIPO KUZIJIBU ILA ZENYE MKONO WAKE MZIDISCUSS NYIE,!wapiiiiiii lara1
Kuna watu tuna TOFAUTI MIAKA NA MIAKA MAISHA YANGU YA JF SIWEZI KUSOMA WALICHOANDIKA WALA KUCOMMENT COZ KWANGU NI IMPOSSIBLE NA ITABAKI HIVO REGADLESS YA MADA!lara1 mbona unaniangusha shostito hahaha ndo tuseme umesalimu amri he hehehehe mquote ngabu lol au ndo shoka moja mbuyu chini
Rfer THREAD NA 99% YA WACHANGIAJI, ! Halooooooo!
Lara1 Bwana........Hapo kwenye Kuwa Hawa na powder unataka jibu gani nikupe?,,,,,,,,, nway turudi kwenye mada, maana naona unataka kuniattack ilhali mi sikohuko...... Tupo pamoja kwenye fair play mydia just read me between the lines.....ALL IS FARE IN LOVE AND WAR,! Mbona kuna mtu kasema mzungu kibamia sijui alimla Kiboga ndo akajua kibamia?
Hii nogesha genge tu, shamim wala mange hawawez kumind! So coz ni mtu wa karibu sio Hawa kweli wewe mtoto wa Kota za Polisi? Vipi powder nayo unamuungisha ya kujipaka lakini!
Wewe KUNA WATU NINA ALLERY NAO HUMU, MIJADALA YA SISHIRIKI MAISHA YANGU,! Ni sworn enemies wangu, tuahafanyaga raw beef wakafungiwa, toka hapo BAAAAAAAAAAAAAAAASSS.! Ila hoja ZISIZOFUNGAMANA NA ALLERGY YANGU NIPO KUZIJIBU ILA ZENYE MKONO WAKE MZIDISCUSS NYIE,!
Hahahaaa naona nimeleta machafuko ya hali ya hewa mpaka nimeanza kurushiwa madongo though hayarushwi moja kwa moja.
Oh well...it is what it is. Ila watu wanapotosha mno kupita kiasi. Mpaka hata vyuo ambavyo haviko accredited na ambavyo degree zake hazitambuliki vinafisiwa.
Kaazi kweli kweli.
Alinitukania MAMA YANGU embu fatilia hii forum kama kuna conversation yeyote yakw mi nimetoke au thread? Thubutuuuuuuu yangu! Mama anauma wewe! Acha kabisaaa! Afu bila kisa chochote! Hata aseme nini mimi tofauti? Plus sio lazima aseme mtu NILIGOOGLE NA KURESEARCH NA NILIPATA FACT ZANGU NILIZOHITAJI, MI MTHOMI ETI SISUBIRI KAULI ZA WATU AMBAO EDUCATION LEVEL YAO SIIJUI,HEEEE KUMBEEEEE ANGESISEMA HIYO HOSPITAL NI YA JUU WALA USINGESEMAAAAA@ NYANI juuuuu
Mtu ALINIYUKANIA MAMA YANGU.??? Neveeeeeeeeeeeeer! Siwezi oumshushia mama yangu heshima kisa mjadala! Wewe MGENI HUMU HUJUI YALIPOANZIA SO SUIT YOURSELFmhhhhhhhhhhhhh why unajipa stress za kujitakia lara uwe na allergy na mtu yuko nyuma ya keyboard jamani chukulia poa penye muhimu kama hapa inabidi umjibu maana kukaa kwako kimya kunawapa teamB ushindi wa mezani lol