Jamani Mimi ninaogopa sana kumjudge mtu..... Shamimu ninamfahamu kwa karibu sana. Ninadiriki kusema Kuwa Kama tunaambiwa kila mtu Yukon responsible kwa happiness yake, why tumseme kwa Kuwa yeye amechagua kuishi maisha ya fur aha? Ndani Ana uh akiwa Kuwa baba Iqra alikuwa hampi karaha Shamimu? Mambo yao ya ndani hatuyajui sasa hayo ya alimwacha ili aolewe na mwenyepesa tunayatoa wapi? Shamimu alikuwa anakutana na watu wenye pesa hata kabla hajaolewa na Moedy, na bado akakubali kuolewa naye so hatuna uhakika Kuwa aliachana na Moedy kwa sababu ya kupenda pesa. Na pia amekuja kukutana na mumewe wa sasa Baada ya kuachana na Moedy. So tulsi judge mtu kwa habari za kusimuliwa.
Mange...... Mange anaishi maisha yake, ambayo Nina hakika Kuwa kwa Kuwa yako hivyo ndo maana ameamua kuyaweka hadharani....... Kabla ya kuolewa na Lance mange alikuwa na blog? Kama alikuwa nayo, je aliyaanika maisha aliyekuwa a nayo? So ni uamuzi wake pia......tukumbuke Kuwa we choose what we want people to know about us..........