Hahaaaaa! NYUMBA YA NINI WEWE HUKU MACHAKANI.??? Mwenzio alisema WAMENUNU NYUMBA LA WANARENOVATE, ! Machakani inabidi mjenge nyie mnaoishi nchi za watu kama digi digi hamna karatasi wala nini mnasubiri ile za mwizi 40! Ila mwenzenu URAIA UHAKIKA, ! WANAE WANA UHAKIKA WA THE AMERICAN DREAM,! Bibi yao ana uwezo si ajabu wakaachiwa TRUST FUND, ! Tutahama mjini humu! Watarithi nyumba ya babu jst a matter of time! Ndo aje kujisumbua saka nyoka huku? Atakuwa mwehu!
Millen lazima ashushe, HANA FUTURE MAREKANI na AMERICAN DREAM ANAISOMA RU HUMU, ! Wote na Odemba aliebahatika zungu choka mbaya. Mwammy ndo ANA PROPERTY/REAL ESTATE MIKOCHENI worth 3B Yes i said B for Billion acha hao unaowataja vijumba tu.
Mzungu yule pale kwao, ana privillages kibao, ata akiwa mfagia bustani benefit kibao, sio nyie mnaenda ulaya adu mnazaa na wapopo au negro basi inakuwa purukushani. MashauI kama yale michosho tu. Klyn usiyaongelee coz sitaki shari mie.