NIIPATE MARA NGAPI? Hahaaaaaaa! KILA MTU NA MASTERS YAKE AITUMIE ANAVOPENDA,! Wengine tunapenda kuichapia bakora kama hivi kwa raha zetu! Kwani deni si yangu,! Mtu kama yake kaiweka bench that is his business!
hospital aliyojifungulia ndio kweli ma celebrity wengi wamejifungulia hapo lakini kwa delux room ni uzushi mtupu kajifungulia kwenye room ya kawaida tu Bidada anapenda sana kujishaua, nasi watz ni wavivu wa kugoogle. Kwa uhakika zaidi google hapa: Give birth like a star: Inside A-list maternity suites
Uone tofauti ya chumba chake na vyumba vya wenyenazo.
KWANI DHAMBI JAMANI.? If she can afford it WHY NOT.? Haijakatazwa duniani wala mbinguni, ccm wala chadema!Eeeh bundle za.mange hzo?
Anakulisha mpaka kukuvalisha na bundle juu kweli umaarufu gharama
Soma thread nzima utajua aina ya mtu unaejibizana nae...mie nilishamuaga kwa kuona kumbe nakimbizana na mtu ambae bado saana kuijua dunia na mambo yake japo anajiaminisha hivyo.Hivi dola 1500 ni nyingi eeeh?
Ndo pesa za kushikia bango kweli?
Seriously fashenista dola 1500 aka Buku hero kweli?
Ndo Lara huyu huyu anayekujaga na vistori vyake vya kujiganya anachuna wanaume mapesa nn?
Mmmh ulimbukeni janga la taifa
Wanajijua walionza hii mada umeikuta ukingoni!
Wote waliotoka povu bakora imewakolea haswaaaa!Unamchapa nani bakora?
Wamelala bundle zimekata? Hahaaaaaaa! Either could be true!Mmmh misifa ya kijinga tu huna lolote wasilale sababu ya ujinga wako na limbukeni mwenzio?
The question is DOES WHAT YOU THINK MATTER TO ME.??? The ANSWER IS NAAAAAAAAAAAAH! Not a second!
Hahaaaaa! NYUMBA YA NINI WEWE HUKU MACHAKANI.??? Mwenzio alisema WAMENUNU NYUMBA LA WANARENOVATE, ! Machakani inabidi mjenge nyie mnaoishi nchi za watu kama digi digi hamna karatasi wala nini mnasubiri ile za mwizi 40! Ila mwenzenu URAIA UHAKIKA, ! WANAE WANA UHAKIKA WA THE AMERICAN DREAM,! Bibi yao ana uwezo si ajabu wakaachiwa TRUST FUND, ! Tutahama mjini humu! Watarithi nyumba ya babu jst a matter of time! Ndo aje kujisumbua saka nyoka huku? Atakuwa mwehu!
Millen lazima ashushe, HANA FUTURE MAREKANI na AMERICAN DREAM ANAISOMA RU HUMU, ! Wote na Odemba aliebahatika zungu choka mbaya. Mwammy ndo ANA PROPERTY/REAL ESTATE MIKOCHENI worth 3B Yes i said B for Billion acha hao unaowataja vijumba tu.
Mzungu yule pale kwao, ana privillages kibao, ata akiwa mfagia bustani benefit kibao, sio nyie mnaenda ulaya adu mnazaa na wapopo au negro basi inakuwa purukushani. MashauI kama yale michosho tu. Klyn usiyaongelee coz sitaki shari mie.
Make yourself clear and choose a side! Karibu kwenye baby shower!
Hawa wakina Lara si wamejitoa akili tu ili wapate hzo fadhila
Inataka wagoogle ili wanyimwe michupi?hahaha
Hahaaaaaaa! Leta ubishi bwana niweke heshima jf! Namna hiinunaua band! IM THE BAD GUY HERE IN JF REMEMBER,!
NO BODY TELLS ME WHAT TO DO, I DO WHAT I FEEL LIKE DOING ITS A FREE COUNTRY,! Labda bosi Mange aseme ni google nisije kosa MICHUPI YA VIP MIE! HAHAHAAAAAA.,!Google hyo "URL"unyimwe fadhila manyokooo
Embu cheki LIKES na REP POWER KIDOGO BASIIIII ndo ujue mimi NOMAAAAA,!He he he uneahindwa kiweka heshima mtaan unalaImisha heshima Jf
Name mexane apewe nn sasa?
Tulia we limbukeni kamchambe mange upate mkate wako Wa kila siku
Unamchapa nani bakora?
Hahahaaaaaaaaa! You wish? Mwenzio Dina si alikuwa ananiponda bundle nazipata kwa jasho hizi na POLE alinipa?
Afu unajiaibisha kutoa LAME ALLEGATIONS MANGE ANANILISHA NA HAUNA EVIDENCE HATA ROBO,! U great thinker wako uko wapi?
Hahaaaaaaa! Leta ubishi bwana niweke heshima jf! Namna hiinunaua band! IM THE BAD GUY HERE IN JF REMEMBER,!
Kwa taarifa yako marekaniwanasheria yao ujenzi ni miezi mitano tu na si zaidi ya hapo sasa toka tumesikia story za nyumba kununuliwa mpaka leo ni mwaka. Ukija kwenye swala la urithi huyo mumewe hakuzaliwa peke yake ananduguze wazungu huwa wanaandika watoto wote kwenye urithi au ikiwa wamezeeka sana wanapaswa kupelekwa kwenye nyumba za wazee basi nyumba yao inauzwa na pesa zinakuwa chini ya usimamizi mwanasheria kulipika hapo kwenye nyumba ya wazee endapo watafariki Kama hela itakuwa imebakia ndio watagawana family.
KWANI DHAMBI JAMANI.? If she can afford it WHY NOT.? Haijakatazwa duniani wala mbinguni, ccm wala chadema!