Baby Shower ya Shamim Zeze aka Mrs Chonchi

Status
Not open for further replies.
Soma thread nzima utajua aina ya mtu unaejibizana nae...mie nilishamuaga kwa kuona kumbe nakimbizana na mtu ambae bado saana kuijua dunia na mambo yake japo anajiaminisha hivyo.

Limbukeni sana huyu mwanamke duuu
 
Hahahaaaaaaaaaa! Hio michupi basi atakuwa na KIWANDA! Chupi tuvae sie roho ziwatoke nyie mbona majngaaaaa!

Hehehhe roho zitutoke kwa hzo pichuu za kupewa?heheheheh malimbukeni bana
 

Hahahahahahahaha we mbayaaaaaaaaaaa mie nalala jamani.....kesho tena
 
 
Hehehhe roho zitutoke kwa hzo pichuu za kupewa?heheheheh malimbukeni bana
Mbona hazikukauki mdomoni yakheeeeee? Kila neo chipi kiungio! No be small matter to you oooooh? Kama unahisi tunafaidi njoo ipate CHUPI LA TMK HAHAHAHAAAAAAAAA,!
 
Besides hata jk aka jakaya mrisho kikwete ni doctor now hehehhw bongo bana raha sana
Amani kwenu malimbukeni

Mtu chake, kwa raha zake presidaa ingekuwa rahisi wabongo wote wangekuwa DR. Haalooooo,!
 
hapo aandka tu ni ngumu kumesa fact kapewa kujitoa ufahamu tu message sent and delivered mkuu mfa maji haachi kutapatapa
FACT GANI NAULIZAAA? MTO FACT MBONA HAYUPO.? Nilimuuliza MASWALI YANGU KIMYAAAAAAA,! Diploma na kuhamia mbezi nili niliadjust NEXT ISSUE.? Sijiyoi ufahamu lolote, MIMI NOMAAAAA! Nyie kama mmenawaaaaa haya! Anaekuja naenda nae kama kawa!
 
BORA MUACHANE NA MIMI KUBWA LAO,! Hahahaaaa! MANGE HOYEEEEEEEEE! Kama nawaona vile!
 
 
Nani kama mimi kwa UBISHI HUMU.? HAKUNAAAA,! Hahaaaaaaaa! Rahaaaaa! Utamuuuuuu! JAMVI NIMEACHIWA NAJISHEBEDUAJE SASAAAA,! MANGE OYEEEEEEEEEEE,! Hahaaaaa!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…