Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Ndo unachojua.mgao wa nguo.stop hating wewe.hajakuita kwenye blog yake.Fanya yako
We hapa umeitwaa fanya yako nikuoneee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo unachojua.mgao wa nguo.stop hating wewe.hajakuita kwenye blog yake.Fanya yako
Ivi mange anachukuaga namba za watu tigo na Airtel anaanza kuwapigia au kuwatumia message za mashauzi.siwanaenda kwenye blog yake....sasa nashindwa kuelewa kelele za nini.Sio blog ya serikali ile ni yakeeeeee.hee
Ivi mange anachukuaga namba za watu tigo na Airtel anaanza kuwapigia au kuwatumia message za mashauzi.siwanaenda kwenye blog yake....sasa nashindwa kuelewa kelele za nini.Sio blog ya serikali ile ni yakeeeeee.hee
We hapa umeitwaa fanya
yako nikuoneee[/QUOTE
Hii ni jamii forum.upo?
hahahahaha ndo ushangae sasa, kila baada ya saa kuchungulia uturn mange kapost nn, kama anajashaua wanafuata nini huko? wivu tu unawasumbua, na wanayatamani maisha yake sana. wamuache miaka1000000000000000000000
hahahahaha ndo ushangae sasa, kila baada ya saa kuchungulia uturn mange kapost nn, kama anajashaua wanafuata nini huko? wivu tu unawasumbua, na wanayatamani maisha yake sana. wamuache miaka1000000000000000000000
hamna hata mtu anayechunguliaga hv blog yake ndo inaitwaje mana hata si ifahamu halafu kupewa criticism kuhusu vitu unavofanya sio wivu achen wrong assumption kna Beyonce wana maisha ya juu na kupewa mawazo tofauti sio kwamba ni jealous kutofautiana kupo
We hapa umeitwaa fanya yako nikuoneee
FACTS
1. MANGE KIMAMBI (MBA) INTERNATIONAL BANKER, MARRIEDTO INTERNATIONAL ARCHTECTRE WHO HANDLED MULTIPLE WORL PROJECTS IN DUBAI, WORKED WITH STANBIC BANK (PART OF STANDARD BANK) BARCLAYS DUBAI, DUBAI WORD BANK, ARRIED ONCE, MOTHER OF THREE, LIVES IN LA, DRIVES A PORSCHE CYNE, RICH IN LAWS WITH A POOL AND A BIG BACK YARD, DAUGHTER IN PRIVATE SCHOOL, BUSINESS WOMAN AND SOCIALITE
2.SHAMIM (FORM FOUR LEAVER) BLOGGER, DIVORCED AND MARRIED AGAIN TO A ....... DEALER, 1 DAUGHTER, PREVIOLY WORKED WITH DAR HOT WIRE ONLINE CHAT AS MODERATOR, BUSINESS WOMAN NOW WITH 2 SHOPS, LIVES IN MAGOMENI, DRIVES A RAV 4 METALIC.
HAPOCHACHAAAAAAAA! Si mmetaka facts! Hizo hapo! Sijawa Biased kabisaaa! Kila mtu nimempa haki yake! WALE WA FACTS NAOMBA MKUJE HAPA,!
Hahaahaaaaaa! Mimi ni MBA siwezi kukubali MBA mwenzangu adhalilishwe isivo halali na FORM FOUR KWENYE POWDER BUSINESS,! Ndo mfano gani kwa vijana? KINONDONI TUMECHOKA NA MATEJA,Staki kuaminii na we Lara hua unasubiri mgao wa nguo unajishusha hadhi kwa nguo za ajabu ajabu aka vidasoo lolll acheni kufanywa misukule kama ya Lumumbaaa
Lara bado uko bias mbona haujaelezea hapo kati ya hao watoto watatu mmoja ni wa nje ya ndoa au ile kiwi ya kike unataka kutuaminisha ni ya mzungu.
Nyonyo ileeeee
Kwapa limeloa jasho
waeleze hao hawajui, aonyeshe mali zake hadharani anazomiliki ili wamroge?hospitali tu alojifungulia watu roho zinawatoka sembuse mali anazomiliki?
Mgao wa nguo unakujaaa jiandaeee
Watoto tusiwaingize humu Hata wa Shammy si wa mume wake aliemtelekeza? Watoto ni malaika tuwaache kama walivo hapa tudeal na MI BIG BIBI tu!
Ndo INASIKITISHA KABISAAAA,! Namstahi tu coz anaweza kuwa mama yangu mdogo, nita kuwa biased kwa kuficha mengi tuTuwekee na ya Linda basiii
Watoto tusiwaingize humu Hata wa Shammy si wa mume wake aliemtelekeza? Watoto ni malaika tuwaache kama walivo hapa tudeal na MI BIG BIBI tu!
Wote walioonyesha mali zao wamerogwa... Kama hivyo Bakhresa na Mengi wangekuwa waokota makopo...
Huyo mchambia jiwe hasiye hata na stoo huko US nani amroge.. Mashabiki mnashida kweli.
Criticism Sio tatizo kabisa.but kuna tofauti kati ya chuki na criticism.
Hahaahaaaaaa! Mimi ni MBA siwezi kukubali MBA mwenzangu adhalilishwe isivo halali na FORM FOUR KWENYE POWDER BUSINESS,! Ndo mfano gani kwa vijana? KINONDONI TUMECHOKA NA MATEJA,