Baby Shower ya Shamim Zeze aka Mrs Chonchi

Baby Shower ya Shamim Zeze aka Mrs Chonchi

Status
Not open for further replies.
Mange labda mumpambanishe na Mwammy kidogo profeasional wise na financial wise ndo atasubiri sanaaa! NDO MAANA SHE NEVER TAKES A DIVE AT MWAMMY HATA SIKU MOJA! ILA HAWA WENGINE SHULE LESS WALIOKIMBIA UMANDE ANAWAGARAGAZA KABISA KABISAAA!
 
Wote walioonyesha mali zao wamerogwa... Kama hivyo Bakhresa na Mengi wangekuwa waokota makopo...
Huyo mchambia jiwe hasiye hata na stoo huko US nani amroge.. Mashabiki mnashida kweli.

fungua na wewe blog urodheshe mali zako na mashauzi weka utakavyo hakuna atakae kuuliza.
 
Hiyo MBA ungekuwa unaithamini huyo hasimu wake Sintah mbona anayo basi naye si umtetee... Hata ikiwa ya TEKU bado ni MBA.

Hahaaaaa! YA SINTAH YA MDOMO TU, HANAAAA! MI CV YAKE NINAYO SEMA NI PROPERTY YA QUALITY GROUP NITASHTAKIWA BUREEE, ALIKUWAGA SECRETARY WA MANJI IPO KWA HR NA VYETI VYAKE! Ndo maana hajawahi weka picha za graduation maisha yake hata ya 1st degree, au kuonesha tu kacheti! MANGE ALIWEKA MPAKA MATOKEA KITU CHA UPPER SECOND, LIST YA GRADUATES WA CHUO CHAO MWAKA HUO, PICHA ZA GRADUATION, HAINA UTATA KABISAAA!
 
wewe ndo una shida unaeshupalia mali za watu badala ya kutafuata zako, umuwache ile ni blog yake anafanya atakacho ata akionyesha anakunya ni yeye, kauli mbiu ya ile blog mashauzi ndo mahala pake, we kinakuuma nn? hutaki mashauzi unafata nn kule? kweeeeeeeenda luleeeeeeeeeeee.

We si ndo umeshupalia eti aonyeshe mali mumroge acheni ushabiki njaa ingekuwa hivyo matajiri wote wangerogwa.. Kwenye ukweli mseme sio ushabiki tu.
 
Hapo juu si umemtaja ooh sijui kaachikaa ooh sijui nini sasa huyo aliyeolewa na kuzaa akaachika na huyo aliye uzauza pussy akazaa kabla ya ndo mbona hujaelezea vizuri hapo kwenye cv yake.. Tufafanulie vizuri basi maana wengine tutajua hao wote wa3 wa mzungu
Hahaaa! Coz umeyataka ngoja nikupe mie! KAACHIKA AU KAMKIMBIA BWANANKISA LOFA. ? Kaiacha NDOA kufata hela! Haloooooooo!

Uzauza alizaa 20yrs, she was young, naiveee, she made a m7stake na sio kosa lake mwanaume alimuoa mtu mwengine! ILA BIBI ANAIKIMBIZA 40 ANAACHA NDOA KWEUPE KUFATA MSHIKO KWA BWANA WA SHOSTI YAKE.? Haloooooooo!
 
mbona mi naona hamna chuki kila mtu na mtazamo wake tatizo la wadada wengi kuwa na vitu vya kawaida kukosolewa ni chuki au wivu hapa tuangalie facts na uhalisia wa mambo bana[/QUOT

Kweli kila mtu na mtazomo wake.iwe Mange..sintah..wema etc uwez ukawa unamkosoa mtu unaingiza adi sijui miguu imefanyaje..Mara kaishia la pili.Mtoto kama kiwi..
 
YA SHAMIMI FORM SIX YA KUANDIKIA MAKOMBE IKO WAPI.? Nijibu kwanza hili! Hahaaaaaaa! Halooo! Na mengine ya INTERNATIONAL BANKING NA MODERATOR.? Usinichumishe dhambi mie! Porsche na kirav haloooo!
Jamani lara1 unamwonea Shamimu si alisoma pale CBE jamani?
 
mbona mi naona hamna chuki kila mtu na mtazamo wake tatizo la wadada wengi kuwa na vitu vya kawaida kukosolewa ni chuki au wivu hapa tuangalie facts na uhalisia wa mambo bana[/QUOT

Kweli kila mtu na mtazomo wake.iwe Mange..sintah..wema etc uwez ukawa unamkosoa mtu unaingiza adi sijui miguu imefanyaje..Mara kaishia la pili.Mtoto kama kiwi..

ila umesema kweli kuanza kukosoana maumbile hakufai mara watoto mara mie na phd hvo vinakuwa vyako haviusu bana hapo ndio wanapokeseaga mtu akifanya kitu kizuri una uppreciate ila kibongo sasa
 
Hahaaaaa! YA SINTAH YA MDOMO TU, HANAAAA! MI CV YAKE NINAYO SEMA NI PROPERTY YA QUALITY GROUP NITASHTAKIWA BUREEE, ALIKUWAGA SECRETARY WA MANJI IPO KWA HR NA VYETI VYAKE! Ndo maana hajawahi weka picha za graduation maisha yake hata ya 1st degree, au kuonesha tu kacheti! MANGE ALIWEKA MPAKA MATOKEA KITU CHA UPPER SECOND, LIST YA GRADUATES WA CHUO CHAO MWAKA HUO, PICHA ZA GRADUATION, HAINA UTATA KABISAAA!

weka bana tujue mbich na mbivu hapa wakudaganya na MA zao
 
Jamani lara1 unamwonea Shamimu si alisoma pale CBE jamani?
Sikuona pivha za GRADUATION, nikahisi DISCONTINUE, hapa haonewi myu haya tumpe nini Shammy DIPLOMA, CERTIFICATE, ADVANCED DIPLOMA.? Unauhakika lakini aligraduate maana kuanza sio kumaliza?
 
we mwanamke kuja fasta...

ina maana bado kajala analaliwa na mr sembe?

ina huuuuuuuuuuu lara 1




Hamjasema mna hela nyie SI NYIE NDO TIMU HAMCHOVI.??? NO FAKE ZONE,! Mnavaa tanzanite, saphire na ehuby?. We treni umeidandia kwa mbele hujajua chanzo kizima! Google TEAM HATUCHOVYI,!

Lazima tupige kelele WATU STROLLER MADE IN CHINA KILA SIKU MNAEUSHA INSTA,! Afu mnajifanya ya mwenzenu aliojikamua mwanae apate luxury sio ishu sanaaa! Nyooookolosti! BIMA MNAYOOOOO.? Au mnaongea tu mradi kuosha vinywa! Karatasi zenyewe za kuunga unga huko kwa watu itakuwa bima?

Mr. SEMBE KAJALA ANAMCHUNA SANAA JAMANI HE IS A DISGRACE TO SEMBE DEALERS,! Ndo nini kile? HAO LIMEWASHIKA SHUUUUU,!
 
Last edited by a moderator:
Sikuona pivha za GRADUATION, nikahisi DISCONTINUE, hapa haonewi myu haya tumpe nini Shammy DIPLOMA, CERTIFICATE, ADVANCED DIPLOMA.? Unauhakika lakini aligraduate maana kuanza sio kumaliza?
We ndo hukuziona lara1. Tumpe tu haki yake hicho hicho alichosomea angalau sio form six leaver....... Hahahahahahaha
 
We ndo hukuziona lara1. Tumpe tu haki yake hicho hicho alichosomea angalau sio form six leaver....... Hahahahahahaha
We ndo umeziona peke yako! But it doesnt mean sio kweli, haya namuongezea CBE, sijajua bado ngazi gani. Mnyonge namnyonga kweli ila haki yake nampa!
 
Hahaaaaaaa! Wametaka fact nimewapa FACT naona walikuwa hawazijui wanadandiaga treni mbele! AIBU YAO WENYEWEEEEEE,! Chezea ,MBA International banker!?
fact ipi? Kumbe kuwa na gari tena ya mkopo (liability) tayari mtu anawekwa kwa matajiri? Hata pango lake binafsi hana anaitwa tajiri? Kama kwa akili zako hizo ndio fact naomba nikuachie uwanja kwani vigezo vyako vya kupima utajiri viko so traditional. Na kwa maana hiyo tutaishia kuzunguka hapo hapo. Kama elimu hicho ni kianzio tu (japo yake ya makombe) ...okay what next???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom